Jopo la viongozi wa juu kutoka baadhi ya nchi za afrika wameelekea Ulaya kwa lengo la kukutana na viongozi wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy rais wa nchi hiyo pamoja na rais wa Urusi, Vladmir Putin.
Je, lipi ni ujumbe wa viongozi wao na nini linatarajiwa kutokana na hilo? Unagana na Raymond Nyamwihula kwenye CHEKECHE ili kuyafahamu yote kiundani.
15 сен 2024