BONGO BHNANA mtu anataka ukitoka kwake uteseke yaaani kama iliiandikwa apitie kwa mario ilitakiwa apite hapo OYA MUNGU ATOKI TANGA chini piga vibunda mzee
Muwe mnakumbuka mlikotoka ,marioo amenyamaza kimya ila ww KUTWA palata patala kila sehem ,ata kama marioo angekupiga ngumi enzi zako ni sawa tu mana alikuwa kama mwalimu wako
Chino katoa wezake kafara anataka amtoe na Mario hayo simaisha Hamo rayvan lukamba sikwamba waliazia maisha kwadai mondi ila watu wanajua dai ndio kawatoa wakihojiwa wanajibu tunashukuru daimondi kwasapoti chino unashindwa hicho