Muandaa shamba na mpandani mungine'na mvunaji mungine!tujifunze kurudisha fadhila na kumuheshimisha mtu alie kushika mkono na kukusafishia njia,binadamu tunasahau haraka watu walio nyuma ya mafanikio yetu!ubinadamu kazi!kaka amechoka uvumilivu baada ya kufunikwa hali akiwa hai!mbaya zaidi kutupwa kapuni!kila akiomba nafasi Nandy anamtolea nje,aibu kwa Nandy, mtu huyu si wa kumsahau kwenye mafanikio yako