Aya maisha niliyapitia uko na mtoto mgogoni mzigo kichwani na pembeni umeshika watoto wawili mzee kazi yake nikuzugusha makegele acha nikae galf nitafutie watoto wagu
mi nampenda kurya anachokifany sio kwamba kina husu wa kurya tu hapan bali massage send kwa wale wanaume wote wokorofi wamakabil tofauti tofauti hususan wa wa vijijini ua wakijamjini wañawafanyia wake zao vitendo vingi vya udalilishaji...yeyot anaesema kuryaboy anamuhaibisha anamambo ya sirini
Mm nisivopenda kugombezwa ni siku moja tu ningeondoka yaani mm wananijua wazazi wangu na maboss zangu mm uwa sipendi kelele kabsa nlivokuwaga mdogo nlikuwa namwambiaga mama nipige kuliko Makele