Тёмный

Dada wa kanisa astuka kuona mambo ambayo wanafichwa na wachungaji uisilamu wazidi kuenea 

Salim Daawah Kenya
Подписаться 47 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 118   
@EuniceAngalushi
@EuniceAngalushi 6 месяцев назад
Am a christian but soon nachange dini naendelea kujifunza mengi sana kupitia mafunzo yako😢😢lazma nislim
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Inn shaa Allah karibu sana
@EuniceAngalushi
@EuniceAngalushi 6 месяцев назад
@@salimdaawah123 santii
@siadibrahim8111
@siadibrahim8111 6 месяцев назад
Kaimbu kwa dini ya haki na kweli
@hanifa9153
@hanifa9153 5 месяцев назад
Welcome❤❤❤
@hamzangunga1578
@hamzangunga1578 5 месяцев назад
Welcome to Islam my dear friend
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 6 месяцев назад
Kikweli ndani ya Nafsi yangu, nawaombea sana hawa wahadhili wetu wanao lingania dini kwa wasiokua waisilamu wanafanya kazi kubwa sana, kwasababu wanakutana na vichwa vigumu sana ambao wamelishwa matango poli na viongozi wao wa kikiristo, sasa unapokutana navichwa ambavo nivigumu mpka aje kuelewa na akawa muisilamu dah nikazi kubwa mnooo ,Allah awape Taufiq iliokua bora na muendelee na kazi ya Mwenyezi
@F.j84
@F.j84 6 месяцев назад
Mimi nawaombea wakristo mungu awape fahamu na kupata njia ya hakki kw idhni yake mola mtukufu Allah
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Aamiin amiin amiin
@daru2549
@daru2549 6 месяцев назад
Sheikh leo eti umekutana na msomi😂😂😂 Nmefurahi sana umewaleta kwa njia iliyo nzuri ALLAH awaeke sheikh
@husha6372
@husha6372 6 месяцев назад
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu jamaa Naona wakiristo WENGI huchanganyikiwa ku mjuwa Mungu Yesu na utatu
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@GamingLimbe
@GamingLimbe 6 месяцев назад
Mashaallah Allah atujaalie Janah sisi sote ❤
@shurlaally1686
@shurlaally1686 6 месяцев назад
Maashallah kazi nzuri
@rq21abdullahi96
@rq21abdullahi96 6 месяцев назад
Salim na Ali . Inshallah one we will drink soup together 😂
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Inn shaa Allah
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 6 месяцев назад
Inshaallah
@Zsdaughter
@Zsdaughter 6 месяцев назад
Send it now to them si wameweka number zao za sim. Changia na Allah atakuzidishia. Support so they use more time kwa daawah. Mana na wao wanakazi zao. So ili tuwape nguvu zaidi ya kuwa kwenye daawa lazma tutoe.
@sonaratz
@sonaratz 6 месяцев назад
Mimi nipo Tanzania na huwa nakufuatilia sana kwa ukaribu na huwa napenda sana mafundisho yako!
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Masha Allah karibu sana
@BakariAbeid-gp7iv
@BakariAbeid-gp7iv 6 месяцев назад
@SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm
@SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm 6 месяцев назад
Yan nafurahi kuwaona tuna wakaribisha Zanzibar muje mutembwee
@omarnzaro31
@omarnzaro31 6 месяцев назад
Maa Shaa Allah mushapost wacha tutizame Inn Shaa Allah tuelimike zaidi
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Karibu sana
@salimiddi7583
@salimiddi7583 6 месяцев назад
Hogera sheikh Salim somo wangu
@kanchorujarsomohamed4860
@kanchorujarsomohamed4860 6 месяцев назад
Masha Allah mola awajalie kila la kheri
@aishahazary4097
@aishahazary4097 6 месяцев назад
Maasha Allah ..ALLAH awalipe kila jema kwa kazi nzuri mashehe wetu vipenz.
@TabuOdhiamboOmiya
@TabuOdhiamboOmiya 6 месяцев назад
Kuna wakati unaeza kosa subira pale unapo mwambia jambo na hataki kushikia ilhali kauli yako ndio sahihi
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 6 месяцев назад
Maa shaa Allah Sheikh Yusuf kumbe upo sambamba na mara umetuletea kitabu Allah akuhufadhini nyote na kila balaa. AMIIN
@ngureamosdaniel3945
@ngureamosdaniel3945 6 месяцев назад
this was very informative very impressive the moment you expose oneself to islam,one becomes i new being,daawah sahihi GOD bless you
@SalumNyanza
@SalumNyanza 3 месяца назад
Maashallah Allah awalipe kila laheri
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 6 месяцев назад
Da nilitamani sana mda usiishe muendelee maana tayali walikua washakubali nisawa na mchezo wa mpila gol kipa ashapotea harafu umebaki na golitu harafu refa anapiga firimbi ete mpila umeisha da Sasa sijui utafungatu naje ukifunga refa ataikubali ndivyo ilivyotokea Leo washakubali lakini mdaumeisha nanikweli lazima watu wakamuombe mungu hakuna jinsi inshaAllah sikunyingine wataelewatu kama niwakuelewa maana hata umfundishe mtu miaka kumi kamaniwakuelewa ataelewa nadakikatu lakini kama sikuelewa atasubuli mpaka yesu aludi nabado hataelewa mungu awabariki sana masheikh wetu tunawapenda sana mlitupotea kidogo shidailikua Nini maana tunatamanisana kuwaona kilasiku ila tunawaombea sana mungu awajaalie afya na uzima mzidi kutufundisha Yale ambayo hatuyajui tuweze kuyajua assalamualaikum wabillah taufiq amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah awaongoze waione haki
@RubanzintwariJeanclaude
@RubanzintwariJeanclaude 6 месяцев назад
Asaramuaraikum shehe Mungu akujariye Kwa dawa
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 6 месяцев назад
Tatizo la wakrsto wanadanganywa na wachungaji bila mchungaji kutoa ushaidi wa maandiko bali nimaneno wanayotoa mdomoni mwao
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 6 месяцев назад
Ushahidi uko nao? Ama tu ni maneno?
@ibrahimhajji6210
@ibrahimhajji6210 6 месяцев назад
Mzee Ali needs to be patient when Salim is handling people.
@andallaathman3856
@andallaathman3856 6 месяцев назад
Wallah tena anaongea Sana Hadi husikii kitu nasauti yake kubwaa mashaa llah hata na mtatiza sheikh salim mara nyingi
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 6 месяцев назад
Hez too annoying.
@saberaziz1789
@saberaziz1789 6 месяцев назад
Ali kuwa na subra na mwachie ustadh afanye kazi yake,wewe kazi yako ni kusoma
@Abuyusuf134
@Abuyusuf134 6 месяцев назад
Yah ni kweli. Sheikh Ali awe anasoma tu asichangie. Cause inaleta confusion.
@Jingajinga64
@Jingajinga64 6 месяцев назад
Assalamu Alaykum. Munajisumbua bure. Mzee Hassan hawachi, hiyo ni tabia na umri ni mkubwa. Mchukulieni kama mzee wetu aliyejitolea. Mimi nimemuelewa hivyo na nishakubali matokeo. Allah amjaalie umri twaweel.
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 6 месяцев назад
🤣🤣 hustadhi Salim na hustadhi aliy Leo mume patana mwana sacolojia naona mambo ni ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Tena sana 🤣😂😂😂
@sulimankarusi8345
@sulimankarusi8345 6 месяцев назад
Mashallah Allah wape kila kheri
@b.funditv4781
@b.funditv4781 5 месяцев назад
Mm npo Tanzania ila nawafuatilia sana mashekhe wetu nawapenda sana tena Allah awajaalie afya njema
@salimdaawah123
@salimdaawah123 5 месяцев назад
Aamiin amiin amiin sote
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 месяцев назад
Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh nshkr sheikh zetu nmpata vzr Allah amzidishie elimu n afya mzidi kuwapa daawa in Sha Allah
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Aamiin amiin amiin
@siadibrahim8111
@siadibrahim8111 6 месяцев назад
MashaAllah masheikh zetu mungu azidi kuwapa afya njema na maisha marefu
@salimkongoi6853
@salimkongoi6853 6 месяцев назад
Asalam aleikum ...napenda sana mafunzo yenu brothers ...lakini ningependa kujua hicho kitabu ambacho sheik Hassan amekishika ni kitabu Cha Nini mkiniambia naweza tafuta nijisomee niongezee elimu yangu ....shukran sana brothers
@zuenajuma-si7wp
@zuenajuma-si7wp 6 месяцев назад
Mashaalh mwenyezimung awaongezee elim ili tupate kujifunza zaid
@malikdodo5190
@malikdodo5190 6 месяцев назад
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@jumakumala1337
@jumakumala1337 6 месяцев назад
Allhamdhullillaih namshukuru ALLAH kwa kuwaona ndugu zangu katika Imani nilikuwa nimepotea kwa sbb ya internet lkn saii niko hewa ninawafatilia kila kona
@user-nt4qc4zg7y
@user-nt4qc4zg7y 6 месяцев назад
Mashaallah Allah wape afya njema na nguvu ya kupigania dini ya kiislam
@Marim-qp8gs
@Marim-qp8gs Месяц назад
Shukran sana kwa katanga a dini yetu ya kislam
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Kazi yetu nikufikisha ujumbe wa Allah
@SalimHumud
@SalimHumud Месяц назад
Somo Mungu akupe nguvu upeleke neno la Mungu
@salimdaawah123
@salimdaawah123 Месяц назад
Aamiin amiin amiin sote
@ShaliphZbel-it8id
@ShaliphZbel-it8id 6 месяцев назад
Allah,awape,afya,njema,then,mzid,kutoa,dawa,mtaan
@abdikhalifdahir3220
@abdikhalifdahir3220 Месяц назад
Ma'sha Allah
@user-mp7gr1ct8p
@user-mp7gr1ct8p 6 месяцев назад
Mashallah mungu awap umri
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Aamiin amiin amiin
@abdikuta9333
@abdikuta9333 3 месяца назад
Mi ni muislamu naomba msomaji ampe.nafasi mwalimu aelemishe naye abakike kwavitabu
@zakiaanwar677
@zakiaanwar677 6 месяцев назад
MashaAllah Allah barik
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 6 месяцев назад
Imani ya utatu hakuna mkristo anaeweza kuielezea sababu ni Imani ya kubuni
@JoyceMbise-zr2xh
@JoyceMbise-zr2xh 19 дней назад
Mimi ni mkristo lakini hakuna mchungaji anayewaambia watu wavae mavazi yasiyofaa
@salimdaawah123
@salimdaawah123 19 дней назад
Okey but huwa mnakatazwa
@Rajkumar-gz4qr
@Rajkumar-gz4qr 2 месяца назад
Wakristo hufanda kitabu gani, juu hii yao sio hata bibilia
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 6 месяцев назад
Allah awajaliye kwa kweli manshallah
@Hi_20206
@Hi_20206 6 месяцев назад
Asalaam mashekh wetu..mbona hamjaeka option ya ku download?
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh iko my sister
@sulemohdi2013
@sulemohdi2013 6 месяцев назад
Wakristo wanasema Mungu ndo Yesu na Yesu ndo Mungu, eti Mungu amejifanya mtu!, na Yesu anasema hakutumwa bali kwa wana Israel, na wana sema kasulibiwa ili abebe zambi zao ila hata yeye Yesu alilalamika Mangu wangu Mungu mbona umeniacha hapo kajivuwa kuzamini watu wakati analala mika ameachwa na Mungu wake, ikiwa Mungu alikuja kwa mwili wa binaada , huo mwili hajauvuwa mpaka leo na kama hajaivuwa atakuwa dhaifu na kama kauvuwa mwili basi hakuna haja katika kipindi hichi kumuabudu Yesu wakati hayupo tena duniani vipi abudiwe wakati hakuna andika ale sema yeye Yesu Mungu na kama halipo, Yesu hana Mungu ? Ikiwa anae Mungu na saa hii hayupo duniani kwa mwili wa binaadamu vipi abudiwe Yesu ikiwa Wakristo wanasema kaja duniani akiwa amevaa mwili sasa huo mwili hajauvuwa ?
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 6 месяцев назад
Mwalimu ni wangi na wasomaji ni wangapi. Hii imekuwa maudhi wallahi.kuweni na maelewano baina yenu. Samahani.
@djhassim_254
@djhassim_254 4 месяца назад
watu kujieleza kwamba ni wakristo is just a slogan iliyokuja wapotosha viumbe za mwenyezi mungu. Ustadhi Salim na mwalimu Ali msichoke tafadhali. one day people will revert back from the slavary mission of christianity.
@user-qn6xf4nw7d
@user-qn6xf4nw7d 6 месяцев назад
Tanzania unakuj lin shekhe🙏
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Inn shaa Allah tutapanga
@Rajkumar-gz4qr
@Rajkumar-gz4qr 2 месяца назад
Uislamu dini ya ukweli, inaridhisha
@alisaleh7040
@alisaleh7040 6 месяцев назад
Duh ikiwa mohammad mafkirio yako ni yessu bas ata yessu wako humjui huyu dada akupat kuijua vzr dini anaez akawa muislam
@sheemaryam
@sheemaryam 6 месяцев назад
Mariam alikuwa anaambudu nani wakati MUNGU alikuwa kwa tumbo yake??? kweli watu wamepotoka 😂😂
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Месяц назад
💖
@ruthnalex
@ruthnalex 6 месяцев назад
Dini ya repentance and holyn ess wanafunza hayo yote but kwingine Sio rahizi nikutoa tu nakubarikiwa,good job bro mi hukufuatilia sana
@ShaliphZbel-it8id
@ShaliphZbel-it8id 6 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤
@abdallasuleiman8785
@abdallasuleiman8785 6 месяцев назад
Msomi na anasema kuna dhambi ya asili.
@mjaaliakhalfan9030
@mjaaliakhalfan9030 6 месяцев назад
Yesu (Masihi Issa mwana wa Maryam)si Mungu bali ni Mjumbe wa Mungu قال الله تعالى:{وإذقال الله ياعيسى ابن مريم ءأنت للناس اتخذني وأمي إلهين من دون الله قال سنحانك ما يكون لى أن أقول ما ليس لى بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علم الغيوب}المائدة 116 {ما قلت لهم إلا مآ أمرتني به أن اعبدوا الله ربي وربكم ..} المائدة 117 {قال الله هذا يوم ينفع الصادقين صدقهم لهم جنات تجري من تحتها الأنهار خالدين فيهآ أبدا رضي الله عنهم ورضوا عنه ذلك الفوز العظيم} سورة المائدة 119 {ورضوان من الله أكبر}
@user-rl4nv7ls4e
@user-rl4nv7ls4e 5 месяцев назад
Swala la uvaaji ni mtu mwenyewe.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 5 месяцев назад
Ni amri ya Mwenyezi Mungu sio mtu mwenyewe
@Hi_20206
@Hi_20206 6 месяцев назад
Huyo msomi amesoma nini exactly juu sioni
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Hahaaaaaaa 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤔🤔
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 месяцев назад
Ak wakirsto wanashagaza Mungu ajilete mtu azaliwe n akufe azikw n afufuke is that make sense?
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 6 месяцев назад
It makes sense only to those people who understand
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 2 месяца назад
Pia nashagaa Muumba kila kitu afe auliwe n watu aliwaumba yeye mmmmmmm ilo haliwezekani.Mungu mwenyezi hana udhaifu ata nukta
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 6 месяцев назад
Mbona msikitini hamuwaambii watu kama baadhi ya majini ni waislamu na ni ndugu zenu😅
@salimdaawah123
@salimdaawah123 6 месяцев назад
Aya gani kwa Qur'an inasema hivyo???
@Jingajinga64
@Jingajinga64 6 месяцев назад
Ukweli unauma dada yangu. Kula panadol tembe mbili mara tatu kwa siku itakupunguzia maumivu.😅
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 2 месяца назад
Uzushi.toa andiko majini n ndugu
@Bahati47
@Bahati47 Месяц назад
Hiyo kwenye Quran Kila muislam anajua na tunawapenda sana hao ndugu zetu wa ki jini ❤️
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 29 дней назад
"Wamaa khalaktu l-insaa wal-jina illaa liyaabuduun". Allah anasema sikuumba majini na watu ispokuwa waniabudu mm tu. Alhadith Almuslim akhwa lmuslim laa yadhlimuhu walaa yaslibuhu". Muislam ni ndugu WA muislam asimdhulumu Wala asimsulubu ama kumtesa. Qur-an, "wamaa arsalnaa illaa rahmata lil-aalamiin" Allah anasema" na hatukukupeleka ewe Muhammad ispokuwa ukawe rehema kwa walimwengu wote. Swali 1.kwani majini ni viumbe ama si viumbe. 2.km ni viumbe nani kaviumba?. 3.wanaishi ulimwenguni ni kina nani? 4.kwann Mungu akuumbe akose kukuwekea utaratibu km baba kwenye nyumba ana uratibu wake kwa watoto jee Mungu anakosaje kukuwekea utaratibu anaoutaka yeye? Someni maandiko msisomewe maandiko.
@makalajonas
@makalajonas 6 месяцев назад
Tusome neno wakristo sivyo tutayumbishwa sana
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 2 месяца назад
Msome mmjue Muumba si mtu wala hakufa msalabani wala hana udhaifu wowote
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 2 месяца назад
Karibu ndugu katika dini y haki kunyenyekea amri za Muumba wetu
@macwiz5696
@macwiz5696 5 месяцев назад
Jesus is the way and truth ISLAM worship moon look at the mosque sign
@salimdaawah123
@salimdaawah123 5 месяцев назад
Propaganda za kanisani hizo
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 2 месяца назад
We worship almight creater who create all mankind and every thing and our lord is the lord of jesus
Далее
OVOZ
01:00
Просмотров 477 тыс.
SIMULIZI YA KIJANA ALIYEKUWA MSAIDIZI WA PADRI.
19:09