I told them Haya maangamizi yatakuwa ya Hatari sana, SHAULIN SENETA ni mgodi uliosheheni madini mazito, RESPECT SANA SHAULIN PIA RESPECT NYINGI KWA EAST AFRICA RADIO KUPITIA DAKIKA KUMI ZA MAANGAMIZI VICHWA VIKALI VILIVYOJIFICHA HANDAKINI VINASKIKA... #HipHopIsAlive #OkoaHipHop #HarakatiKanuni #ChemChemSaanaNawana ✊🏿✊🏿✊🏿💪🏿
One of the best rappers in TZ right now! SHAULIN SENATOR ✊🏿🖤 EATV wekeni watu wenye mzuka wa RAP kwenye kipindi kama hiki! Sio Kila presenter na DJ wanaweza nogesha hii mizuka 💪🏿💯
Hichi ndicho kimeniangusha kwenye pindi la leo kwakweli, Shaulin ana hasira na anachokifanya ila mzuka wa presenter uko chini sana yani hana vibe wakati kinachofanyika hapo ni unyama tupu. Shado 🔞🔞🔞🔞
Dizasta hajamuinspire SHAULIN, n washikaji kitambo walianza game pamoja, inaonekana ww ulikuwa humfahamu SHAULIN, nenda kazitafute nyimbo za SHAULIN msikilize KWA umakini utaona utafauti wake na Dizasta
Hajawa inspired na Dizasta vina usiwe una comment kama HUJUI, SHAULIN na Dizasta walianza game pamoja nenda kazitafute nyimbo za SHAULIN msikilize KWA umakini utaona utafauti wake na Dizasta SAWA
Sema dj wa hip hop ni Dj dea peke yake huyu wa leo fala tu... 2.presenter pia kapooza kisenge hajui punch line wala nini?hiki kipindi kitammisi sana Jr junior na Fifi,wale walikua wanajua wana wanachofanya......huyu bonge leo hapana kwa kweli huyo mwamba anayechana sio mdogo sana kwenye kinasa ana balaa lake
Mwanetu kaua kinyama ILA Presenter amezingua hajampa mwana vibes ina maana alikuwa haoni UNYAMA unaofanyika hapo??? SHENZI SANA UYU DEMU!!!, session kama hizi sio kila presenter anaziweza EATV wanapaswa kufanya maboresho
Presenter amezingua kinoma au huwa anawafagilia mabishoo ina maana alikuwa haoni UNYAMA unaofanyika hapo??? Amezingua sana angekuwepo Frida Amani hapo Show ingefana sana