Ustadh Muhammad Bachu kuna radd uliniweka mdomo wazi pale uliposema kukosea Qur'aankimatamshi ni kumzuliaAllaah uongo😳 Je muislamu kumzulia Allaah uongo atabaki kuwa muislamu kweli❓
Muhammed bachuri naona ukizidiwa t huwa hutaraja bali unakaa kimyaa kuna kipindi cha nyuma ulianzisha mada akaja Abul Abass wa Zanzibar ukakimbia ukatoa udhuru na sas iv Abuu Fawzaan nae unajifanya kama hukuanzisha mada rudi kijana utarajaa hutabadilika bali ndio Allaah anapenda na mshkuru aliekufundisha usikae kimya rudi utarajaa
@@Hamis-ks1sy wala hakuna namna kubwa yy kasema kesi dismis huo sio uungwana uungwana aweke wazi tu kwani atapungukiwa nin zaid ya kuongezeka katika ilmu yake aseme t ukweli na aombe msamaha yanaisha uko ndio kutarajaa na ikitokea Abuu Fawzaan akiendelea baada ya yy kutarajaa tutasema hakukusudia dini ila kwasas muhammad bachu anaonekana hataki dini bali ilkuwa ni ushabik t wa kulazimisha makosa na iyo haki inayokubaliwa ppot aliyoilingania iko wapi aoneshe kivtendo hatopungukiwa chcht kile
Sheikhe Muhammad tunapata faida sana kwa darsa yako ya lugha na tunakufaham sana tu kwasababu unajuwa kusomesha MashaAllah kwahyo sisi wengne tunaomba muendelezo uwendelee mpaka mwisho wa ktabu hchi na chengne InshaAllah,
Katika yako wew bachu na abuu ruduudi nani Allah kamdhalilisha kwenye neno هذيان kama ulivyosema mwenyew maana tunaona kimya hujibu hoja za ubuu rududi