Davido ndo hajamove on na ukitaka kujua hilo tu Davido alimtolea vitisho tiwa savage kwa kuwa tu karibu na sophia na kisa cha Davido kustop kumuhudumia mtoto ni sophia kuwa na mahusiano na tajiri mmoja huko Nigeria ...sasa nani Haja move on hapo .....fatilieni mwanzo kwanza ndo muhukumu Davido ana makosa sana tuu