MaahaAllah Dawah ime fika Mpeketoni, stronghold ya WaBaraa kutoka Mlima Kenya. Jaribuni ku ongwa na watu wengi kul7ko ku spend time na hutu Mtu moja tuu wa Khamba! BarikAllah Team.
Uctadh Ramadhan na timu yko Allah awape subra ktk uwalishaji wa da'awa kwn ni kazi ngumu mnoo kiwackisha daawa kwa watu ambao hawaijui dini ya khaq. Namuomba awalipe bighari hisabu.Dunian na kesho akhera Allahumma Amiiyn.
Subhanallah hakika hii ndio akhir zaman imefika.Allah atujalie tuwe ktk misingi ambaye yy Allah Swt anaikubal Biidhinilah. Allahumma Amiiyn. Yaa Rabby.
Subhaana llahu wallahi wamama wabaya toka zama zamutume swalla llahu alaihi wasalam mufano muke wa abu lahabi akiwekea mutume wetu Muhammad miba nchiani huyu muke mukali anaweza mupoteza mume wake anamuzuwiya kuongoka shes not supportive she can led the husband to hell
Si hawa Watu wanao promote Khamba zakuji Nyonga, si wana weza ku naswa na POLICE? Mji wa WaPAGANI, la ANTIOCH, ni 950Km from Jerusalem. WaPAGANI kama LUKE na WaPagani wenzawake walio TUNGA stories za GOSPEL, kule ANTIOCH, Upagani WAO, haziku FIKA Jerusalem na Kwa WA YAHUDI, ambao ni 950 km away! TabarakAllah Team.
Kweli huyu mwanamke adhihirisha ubaya wao imagine Hawa watu wanafanya dawa county zote hawajawhi kuona vituko hivi but imagine mpeketoni avillage imezungukwa namiji ya waislam that lady aonesha ubaya na chuki juu ya waislam shame on you
We dada👆, Huyo kijana ni mtu mzima, ana uhuru wa kuchagua MBIVU na MBICHI, Hawezi kudanganywa kila siku, Ati YESU Ni MUNGU au MWANA WA MUNGU. "YESU NI MTUME WA MWENYEZI MUNGU" Kubali usikubali, ndivyo ilivyo. KASOME BIBLIA📖 KWA MAKINI, WEWE MWENYEWE, USINGOJE KUSOMEWA NA MCHUNGAJI AU PADRI. Amkaaaaaa🤷♂️
Si makosa yake huyo mdada ni yale ulosema ww shaikh rama...uislamu umepakwa matope haswa hp mpeketoni lkn namuombea huyo mdada roho yake itulie ili aione haki na aujue uislamu sio wanaojiita waislamu wenye kuharibu jina la uislamu...i hope nimeelweka
Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
@@mahmoudmohamed-w3l Zeph 3:9 9 "Then will I purify the lips of the peoples, that all of them may call on the name of the Lord and serve him shoulder to shoulder. Unaashiria nini kwa andiko hili?
Ai Atoro Ngon'go, hio Nusu Mkate Brain yako, ita OVERHEAT uki overthink hizi Nonsense WaKristo huwa wana come up with against ISLAM! Here is some 'NusuMkate Brain' COOLING info: The reason we PRAY in ONE PURE LANGUAGE of ARABIC, is because it is a COMMAND from the Quran,.. AND also from the 'Bible': Zephaniah 3:9 King James Bible For then will I turn to the people A PURE LANGUAGE (one), that they may all call upon the name of the LORD, to serve him with ONE consent!!! That is why, a Chinese Muslim can arrive in Nairobi, and then go to ANY MOSQUE , and UNDERSTAND the SALAT and KHUTBAH being delivered in the ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! Because of this ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! OMERA, ume elewa, Kata BileBile?
Anajua bwanake akisilimu ndoa yao itaisha. Wengine watatu pap. Islam is all about sex ndio unaona wengi wanaosilimu ni wanaume. Dini inayodhalilisha wanawake kiasi cha haja.
Watatu wa ndoa lakini sio wenu hamsini wakumanga manga mukijifanya muna mmoja na huyo pia unoa baada ushazaa nae watoto nje ya ndoa sawa na kuishi na kahaba