Waandishi tuweni wa kweli sio kukimbilia kupa views tu Title inahusu kivamiwa kwa danguro ila haikuwa ivyo ni tofauti kabisa tuweni wa kweli waandishi wa habari
Wana habari wa Zanzibar wooote wanaigana sauti kama mawio upuuzi hem jiongezeni bana kila mtu awe na ubunifu wake mmeregeaaa hem changamkeni mkiripoti kila kitu sie tupo nyuma
Hiyo kaya si ina afadhali hilo neno changamoto cjui wamelipata wapi tng nizaliwe sijalisikiapo ila siku hizi 😂 mimi nnavojua matatizo hilo changa ilikuajee 😭 maskini zanzibar yng wapii
@@nailamohd7693 ni hatari mara utasikia shule, kuongea,kwa majina naitwa ,wakati sisi wa zanzibar tuna kiswahili fasaha kabisa tunakipoteza kwa kuiga mambo yaliokuwa hayana maana
@@salmaelhinai833 kweli kabisaa mpk viongozi wao ndio wasemaji wakubwa wa hicho kiswahili kibovu wakati wao ndio waseme kiswahili kizur wawe mfano ili hao wanaoiga waone km sisi kumbe tunasema wrong lkn wapiii
Changamsheni midomo yaani wazenji tunaongea kam tumekatwa taya za midomo sasa uwakute hao watu wa kaskazini uuuwiii wapemba lafuzi yao inachekwa lakini wamechangamka wakiongea