Тёмный

DDC Mlimani Park - Barua Toka Kwa Mama 

Tizedboy Zilipendwa Channel
Подписаться 54 тыс.
Просмотров 930 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 437   
@robinalex8536
@robinalex8536 8 дней назад
Nyimbo yenye uhalisia kwa kinachoendelea kwenye jamii ya Sasa. Niko hapa tena October 2024, Kama nyimbo hii inakugusa acha like hapa.
@abdallamatemba7484
@abdallamatemba7484 Год назад
Hapo Kuna pacha mbili, Abel, Mulenga na Gama (gitaaa),Cosmas, Hamis Juma na Gurumo(waimbaji)aliyefunga kazi na midomo ya Bata ni King Enock, hayo yote yamo kwenye maisha tuliyonayo Leo na vijana wa Sasa mgogoro wa wazazi anaamua kulalia upande mmoja, Cosmas katoa funzo Sana kwenye wimbo huo, ndio nyimbo za kwanza kabisa baada ya bendi kuanzishwa, (1)Barua-Cosmas(2)Celina-Mulenga(3)Kassimu-Gurumo, Nchi ilisimama kwa muda baada ya nyimbo hizi kutoka redioni kwa Mara ya kwanza, hongereni Sana Mlimani hasa hasa Abel Barthazal
@stanleyadamson9522
@stanleyadamson9522 6 лет назад
Kwa kweli hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kuna siku nimetoka Shule hela sikuwa nayo nimeshinda na njaa toka asubuhi mpaka natoka Shule mchana .nikapita nyumba moja hivi nikaona mama na mwanae wamekaa wanakula nikaenda nikaomba wanisaidie chakula wakanikaribisha nikakaa na kuanza kula.mda huo kulikuwa na Redio ya mkulima ukawa unaimba HUU wimbo. Daah kila nikiusikia nakumbuka hiyo siku aisee
@Salisalum
@Salisalum 4 месяца назад
Pole
@aidannzowa5502
@aidannzowa5502 5 лет назад
Miaka ya 78 baba akiwa masomoni Mzumbe, ss watoto na mama tunaenda shambani njaa inauma kishenzi lkn baba akirudi likizo ilikuwa faraja sana kwa kila mtoto, pia santuri mpya za muziki tunacheza tunakesha! It was real goldsh family! Hongera sana mama yangu! R.I.P. my dady
@pandoemmanuel2051
@pandoemmanuel2051 4 месяца назад
1983 na 84 nilikuwa nikisikia wimbo huu nilikuwa nalia sana sana. NI wakati nasoma primary, wakati huo naishi kwa bibi yangu na wazazi wangu walikuwa wametengana. Nikapoka barua kutoka wa mama. Mungu ampumzishe baba yangu. Bado nasikiliza 2024
@mursalseleman2174
@mursalseleman2174 4 года назад
Hakika hii nyimbo inasisimua mpka machozi yanatoka yenyew bila kujua duh ama kweli ya kale dhahabu gonga like 2020
@omaryjuma3714
@omaryjuma3714 Год назад
Kisa Cha kweli kabisa Mwenyezi mungu awapumzishe wazazi wangu mbele za haki Mama yangu amenilea kwa shida sna Sina baba simjui hata kwa sura kwa roho inaniuma R.I.P wazazi wote waliotanguria mbele za haki
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 8 месяцев назад
Pole sana Ndugu yangu, endelea kuwapmbea Wazazi maana wote tutaenda huko.
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 3 месяца назад
Pole My Dear ALLAH aupoze moyo wako n zid kuwaombea Dua
@stanslausmajalla8896
@stanslausmajalla8896 Месяц назад
Pole sana ndugu yangu,sote tunapita hivyo tuombeane heri sote,wapumunzike kwa amani wazazi wetu (baba na mama yako)😢
@khadijakassimu3710
@khadijakassimu3710 4 года назад
I miss my baba😍😍😘😘R.I.P my lovely father.Ndo vilikuwa vitu vyake hivi hadi nasi wanawe vimetuingia kwenye damu,Sasa mwezi wa 7 huu sinae duniani,.Nikisikiliza hivi kama namuona vile 😭😭😭dah sina la kusema yani
@jacksonchiwalanga4817
@jacksonchiwalanga4817 3 года назад
My parents separated 27 years now,, my mom struggle alone all those years and she only have me,, the only son,,, My love to her is unmeasurable this song make me cry 😭
@omondiabdi1971
@omondiabdi1971 3 года назад
Just a part of life bro.
@josiahmuthemba115
@josiahmuthemba115 2 года назад
Ploe sana hayo ni mapito
@husseinhumbi6373
@husseinhumbi6373 2 года назад
Muda mwingine tunaweza kuwalaumu wazazi wa kiume lakini hatujui mama na baba walitengana kwa nn huwenda kuna Jambo gumu kuvumilika
@petersaria7125
@petersaria7125 2 года назад
@@husseinhumbi6373 kweli kiikubwa kuwapenda wote
@johnginni9926
@johnginni9926 2 года назад
Pole sana nadhani mengi Leo unashuhudia ndg yangu wangekuwa pamoja pengine wangukuwa hawapo kwani ugonvi huleta maafa
@hintazom1456
@hintazom1456 5 лет назад
Niligombana na mke wangu mtoto wangu wa kwanza alilia sana huku akisema,"dad plz don't ditch my mom i beg ye",ikabidi nimsikilize na mpaka leo tupo pamoja.
@travelbooking4192
@travelbooking4192 4 года назад
YAANI WE ACHA TU
@isimailshauri4989
@isimailshauri4989 4 года назад
Mungu awatangulie ktk maisha yenu ya ndoa
@linusleon7018
@linusleon7018 7 лет назад
N iutunzi wa cosmas chidumule.akiimba pamoja na hamisi juma maalim kinyasi.na muhidini gurumo.solo Abel Baltazar.ibass joseph mulenga.ridhim Abdala gama.tumba Haruna Lwali.drums Habib Abassj eff.saxfone juma town.Joseph Bernard.King michaelEnock Teacher.Trumpet Ibrahim mwinchande Bonifas Kachale.mafundi mitambo.chuma na kitwana....Sikinde ilitisha.....
@wilsonlukuwi8941
@wilsonlukuwi8941 6 лет назад
Linus Leon namna ulivyo wataja musicians hao unaninikumbusha namna Julius nyaisanga (RTD)na Fred obachi machoka (VOK) walivyokua wakiwataja kwa mbwembwe!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 6 лет назад
Umepatia hasa huyo ni Cosmas Thobias Chidumule akiwana Hassan Rehan Bitchuka na Gurumo enzi zao za Sikinde ngoma ya ukae 1979 nikiwa darasa LA Vi, walitisha mno mno.
@michaellukandi6800
@michaellukandi6800 6 лет назад
A true story refering to Chidumules' parents.They had familiy issue of which later they divorced.This song is as a consequence of this situation.Chidumules mother wrote to his son LETTERS (referred to this song)b regarding the hardships she was experiencing in her marriage.Fantastic,touching, song
@dominicmaluki5242
@dominicmaluki5242 6 лет назад
Pia marehemu MDJ Eddie Fondo,the best radio dj in the late 70s and 80s,complete with their dates and places of birth.Those were them days.I wonder whether any of our so called musician today will ever reach such levels.
@mathewmunthali3684
@mathewmunthali3684 6 лет назад
Burudani kwelikweli
@abiudoluoch7668
@abiudoluoch7668 6 лет назад
Ninaposikia nyimbo kama hizi natamani kutembelea ndugu zetu kule Tanzania, the home of many great musicians kama Mbaraka Mwinshehe, Remmy Ongala, DDC Milimani Park, Ramadhan Rajab na wengine wengi. Tz you're a blessed nation
@saidbakarimohamed4447
@saidbakarimohamed4447 5 лет назад
WAKATI HUWO MAMBO YANGU YALIKUWA KWENYE MSTARI YAANI NIKISIKZA HADI MACHOZI YANANITOKA
@abdallahpazi8168
@abdallahpazi8168 4 года назад
Abiud Oluoch Huu ndo muziki
@kakuruchiganga507
@kakuruchiganga507 8 месяцев назад
Karibu sana, nyumbani kutamu
@mosesnjeru1455
@mosesnjeru1455 Год назад
2022 listening to this song and I feel like crying....may the lord continue to keep my parents with good health and long life nawapenda sana...this song makes me visit my aged parents more often....
@onesmuskariuki1385
@onesmuskariuki1385 Год назад
This was very relevant composition by Chidumule.
@gracewahura3359
@gracewahura3359 Год назад
same here
@MoyiSanJose-eg1nr
@MoyiSanJose-eg1nr 8 месяцев назад
Me too bro😪
@georgeodoo9924
@georgeodoo9924 3 года назад
Inanikumbusha wakati nilipokua nikisoma Chuo ki Kikuu Dar es Salaam 1978/80. Mimi msudani na pia muamerikani. Ninapenda wa Tanzania na nchi yenu sana.
@victoriamaleko9699
@victoriamaleko9699 9 месяцев назад
Welcome back Tanzania
@othumanyahya9168
@othumanyahya9168 5 лет назад
Wimbo huu sitoweza kuusahau katika maisha yangu, kwani mwaka 1986 nikiwa chuo cha elimu ya ualimu ilinibidi nifanye uamuzi mgumu ili kuwapatanisha wazazi wangu ambao walitengana. Daah! Chidumule Cosmas nitaendelea kukumbuka kwa kuwa mkweli katika maisha halisi.
@damaskimaro9111
@damaskimaro9111 6 лет назад
Kisa cha kweli wazazi wa chidumule walitengana wakati huo wakiw Tanga,chidumule alilazimika kurudi songea pamoja na mama yake,then alijiunga na Butiama jazz ,Urafiki jazz,Dar international then akaenda kuanzisha Mlimani park na ndio akatunga wimbo huo
@mwinyimgeni8850
@mwinyimgeni8850 5 лет назад
Damas Kimaro Hapana mlimani hajaanzisha yeye
@jovinjoseph4887
@jovinjoseph4887 5 лет назад
Chidumule bado yupo ila siku hizi ameokoka
@chasoh
@chasoh 5 лет назад
Huyu hapa Chidumule na ushuhuda wake, ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-nZnavV13DpI.html
@johnndambuki21
@johnndambuki21 4 года назад
Thanks for the story behind the song.
@henrychaula1174
@henrychaula1174 4 года назад
Hakuanzisha aliwakuta kina Hassan Rehan Bichuka, Gurumo na wengineo pale
@leahngugi5918
@leahngugi5918 8 лет назад
Ujumbe wa wimbo huu unaonyesha vile watoto wanavyoteseka wazazi wao wakiachana.
@AthumanyakawaidamwanaJuma
@AthumanyakawaidamwanaJuma 8 лет назад
Unanifanya kesho niende home nikamuone mama kijijini.
@vicenttheophil2033
@vicenttheophil2033 4 года назад
Haswaaa
@fredrickkassilly8479
@fredrickkassilly8479 3 месяца назад
I Heard This Song When I Was In High School At Alliance High School In Kenya. We Used To Sing It Without Paying Much Attention To It. Now I Do. A Master Piece For All Ages!! Congratulations DDC Mlimani Park.
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 2 месяца назад
Sifa za fasihi ni kuishi asante ddc kwa zawadi hii asante waimbaji
@josephinejoseph7358
@josephinejoseph7358 8 лет назад
loooh...!! jamani kipande hiki namaliza kdt cha 6 Mzumbe High School Morogoro. ...lkn nikaendelea kuupenda mpaka nikiwa " kuruta Mafinga National Service 1979.
@bonifacemusee3498
@bonifacemusee3498 6 дней назад
Wimbo huu sitoweza kuusahau katika maisha yangu, kwani ni kielekezo kwa maisha yangu
@sylvesterokumu2695
@sylvesterokumu2695 6 лет назад
I watched mzee Chidumule narrating how he came with this song.This is a true story that was happening in his family.His father and mother were separated and thus the song.He is an inteligent old man.Kongole kwa utunzi huo.
@ramadhanisebogwe9011
@ramadhanisebogwe9011 8 лет назад
Huwezi choka kusikiliza hizi nyimbo kamwe, zamani ndio kulikuwa na wanamuziki sasa hv kuna wasanii tu
@omand1761
@omand1761 8 лет назад
na hata mtu akiisifu sikinde kwa nyimbo hizi anamaanisha sikinde ya enzi hizooo sio ya sasa.Asikilize safu ya wanasikinde ktk tufurahi na wanasikinde.Asifkirie hii ya sasa.Ilikuwa nadra kuiskia sauti ya muhidin ngurumo bila rehani bitchuka.
@omand1761
@omand1761 8 лет назад
hazichoshi,mimi binafsi nikizungumzia zilipendwa mziki wa dansi,moja kwa moja namaanisha sikinde
@stephenmwithiga164
@stephenmwithiga164 8 лет назад
Bwana Ramadhani siku hizi kila mtu ni msanii.
@gasperleonard9411
@gasperleonard9411 6 лет назад
Chidumule kweli ulikuwa na kipaji cha sauti kutoka kwa mungu
@nicholaslikombe4900
@nicholaslikombe4900 4 года назад
Sasa hivi wapo wasanii wa kuganga njaa basi.......☺😁😉😉
@bingwason
@bingwason 11 лет назад
Vocalists: Muhidin Mwalimu 'Gurumo', Hamisi Juma, Cosmas Chidumule Solo: Abel Balthazar Rhythm: Abdallah Gama Bass: Joseph Mulenga Keyboard: George Kessy Omondi Alto Sax: Michael Enock Drums: Habib Abbas 'Jeff'
@richardgaya3965
@richardgaya3965 3 года назад
Most appreciative of the information...it acts as a perpetual record of heritage!!!
@charlesbayona9090
@charlesbayona9090 2 года назад
Tshmanga Kalala Assosa one of vocalists in this song.
@kondonassoro26
@kondonassoro26 2 года назад
Mzee Gurumo kipindi hicho Hahaha R I P hakika ya kale ni dhahabu
@wilsonmalias3122
@wilsonmalias3122 11 месяцев назад
Assosa aliondoka kabla ya recording ila ndiye mtunzi wa wimbo gama
@jumaomary5657
@jumaomary5657 5 лет назад
Nimekumbuka 1976 baba yangu alipofariki RIP my daddy pia nakumbuka 1993 alipofariki mama yangu RIP my mummy!!
@ramakazina170
@ramakazina170 5 лет назад
Juma Omary Mm jana tu nimepata msg kutoka kwa mama huu wimbo umeniliza
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 года назад
Pole
@kakuruchiganga507
@kakuruchiganga507 6 лет назад
Barua zangu wakati niko shule nimezitunza hadi leo haswa zile zilizokuwa unakunja karatasi hiyohiyo upande mwingine ni bahasha, huu wimbo huwa unanitoa machozi kwani mama na baba walitengana nikiwa na miaka 3, na mama akapambana hadi nikamaliza chuo.Mwezi mmoja toka nimalize chuo kbla hata kazi sijapata mama yangu akatangulia mbele za haki, Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mama yangu pahala pema peponi, Amina.
@zadimidasi6266
@zadimidasi6266 6 лет назад
Miziki hii ilikuwa inaadabisha,elimisha na kuburudisha pia
@sunriseradiotz
@sunriseradiotz 6 лет назад
loh, pole sana
@mwakalingalusajo8054
@mwakalingalusajo8054 6 лет назад
Kakuru Chiganga pole sana mipango ya mungu
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 6 лет назад
Kakuru Chiganga amina Amina
@mujahidalinaseem6213
@mujahidalinaseem6213 5 лет назад
Daah... story yako tamu lkn INASIKITISHA sana.. pole sana..!
@jimmymayunga9070
@jimmymayunga9070 8 лет назад
kwakweli tungo za mashiri ya mziki huu imetulia, inagusa huwa ninapo usikiliza wimbo huu huwa namkumbuka sana mamaangu, kwakweli mziki wa zamani bado ungali unaishi.....
@mohamedikilinga2889
@mohamedikilinga2889 6 лет назад
Nilikuepo kwenye tamasha la kutimiza miaka 40 ya mlimani park pale viwanja vya bandari wiki iliyopita lkn badala ya kufurahi nilitoka pale nikiwa na huzuni kubwa baada ya kumuona mpiga rythim ya wimbo huu ABDALAH GAMA akiwa hoi bin taaban,ni mlevi kupindukia hawez tena kufanya chochote,,,kwakweli iliniuma sana nikimuangalia
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 5 лет назад
Mohamedi Kilinga Ni kweri Gama kachoka sana yuko na kibendi kinaitwa Exel bend wanapiga zing zong
@mujahidalinaseem6213
@mujahidalinaseem6213 5 лет назад
Wakati strees zinachangia kuwatoa nje ya mstari wamefanya makubwa lakini of the and NOTHING EVERTHING
@simbaphonez
@simbaphonez 2 месяца назад
“MAISHA YA ZAMANI🪘 Ukienda Kwa Mjomba Unakaa Muda Mrefu Huwezi Kusikia Hata Kelele za Kuchokwa..😭 Mnakaa Kwenye Mbalamwezi Mnapiga Story..🎑 Siku Hizi Muda Wote Watu Wanafuatilia Watu Amabao Hata Hawajawai Kuwaona Kuliko Ndugu😥 HAYA MAISHA YA PESA HAYANA FURAHA KABISA😭
@mujahidalinaseem6213
@mujahidalinaseem6213 4 года назад
2020.. niliishi na kulelewa na mama wa kambo na alikuwa muungwana sana kwangu lkn bado nilikuwa nikisikiliza kibao hiki nilimkumbuka mama mzazi ambaye kimsingi alishaachika na baba..!!
@LinusLembeni
@LinusLembeni 11 дней назад
Kiukweli huu wimbo huwa unanitoa machozi bila kujua sababu yaani kiufupi una sisimua ni maisha halisi ambayo wengi tumeyaishi
@fridachally6150
@fridachally6150 4 года назад
aehe mama ee jaribuni kuyasuluhisha mambo hayo kutengana kwenu kunanipa wasisi ,sina kaka ,sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo.
@sammylwendo1496
@sammylwendo1496 2 месяца назад
Kama mama yangu angekua hai, I swear baada ya kusikiliza wimbo huu, kesho ningepanda basi niende popote alipo nikamsalimie na kumuambia nampenda kwa kiwango gani!Rest in power my mom Christina Mballa Mwakatah!
@rizikimsule6592
@rizikimsule6592 5 лет назад
Tears falling down on my chicks
@hamidually1138
@hamidually1138 8 лет назад
Ddc mlimani park wanajua, hasa hiyo sauti ya marehemu Hamisi juma huwa naipenda Sana.
@emmanuelpaul5704
@emmanuelpaul5704 6 лет назад
kweli mimi ni kijana wa 90 lkn napenda sana hz nyimbo ujumbe wake unapelekea hsia zangu kwenda mbali sana
@saidihabibu8779
@saidihabibu8779 5 лет назад
Hizi nyimbo za kale kwa kweli hazina mfano ni nzuri sana na zinafikisha ujumbe kwa jamii,mimi binafsi kwa ujumla ni shabiki kindakindaki wa nyimbo hizi nawapongezeni sana kutupatia uhondo huu asanteni sana
@uhondotv7335
@uhondotv7335 2 года назад
Ujumbe wa aina yake, heko na kongole zangu zimfikie Mzee Cosmas Chidimule popote alipo, kazi kuntu kwa vizazi vya kale na vizazi vijavyo🇰🇪💥
@maheligati2936
@maheligati2936 6 лет назад
hizo ndo nyimbo sio hizi za kizazi kipya nakupenda nakupenda Mara unanipa mambo ya uani kesho wa meachana
@ambakisyemwakatumbula4238
@ambakisyemwakatumbula4238 5 лет назад
Daaaaaah yani natamani ningekuwa na helaa nyingi awa wazee wotee walikuwa wanaimba izi nyimbo niwaweke kwenye maisha mazuri ngoja nipigane kwa nguvu zote daaaah
@christopherokado5054
@christopherokado5054 Год назад
Have separated with my wife for 24 yes. This song makes remember my children's feelings. So sad.
@royalmbwana
@royalmbwana 10 месяцев назад
My apologies sir, do you make an effort to connect with the kids
@pslymrobert4627
@pslymrobert4627 8 лет назад
Daah huu wimbo unaniliza ila sina jinsi... God protect my family mom and dad though they are not together.
@rashidymsenga714
@rashidymsenga714 6 лет назад
Nani kama mama, kila nisikiapo wimbo huu huwa najiuliza nimlipe mama yangu kitu gani ukweli nikwamba sina chakumlipa mama yangu nampenda sana mama.
@jamesmnjeru824
@jamesmnjeru824 5 лет назад
still love this song decades later...
@leahngugi5918
@leahngugi5918 8 лет назад
And the message is as relevant today as it was those days the song was compossed.
@irenebilauni7534
@irenebilauni7534 6 лет назад
Leah Ngugi kama ujuavyo msani ni kioo cha jamii, wana foreseability, waliona mbali,jumbe zao zitadumu milele
@danieljuma1921
@danieljuma1921 6 лет назад
Leah Ngugi And even more relevant today than ever before....with deterioration in family values....
@leahngugi5918
@leahngugi5918 2 года назад
@@danieljuma1921 Very true. We need to hear such today than ever before
@josephkazungukombe8688
@josephkazungukombe8688 3 года назад
Nasikia kanyimbo kanapenya mpaka ndani,old is gold
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 3 месяца назад
Huu wimbo unanikumbusha Mbali sana NI Wimbo Wenye Mafunzo Ndani Yake ALLAH Awarehemu Wzz Wangu n Wote Waliotangulia Mbele y Haki
@wilsonmalias3122
@wilsonmalias3122 11 месяцев назад
I don't know why always when listening to this song tears irrigate my cheeks
@mohamedshineni2122
@mohamedshineni2122 2 года назад
Huu wimbo unanikumbusha mbali hadi unanitoa machozi
@gracechalagwa1122
@gracechalagwa1122 5 лет назад
Mungu atusaidie , inaonesha Mtoto aliumia sana!
@simonjosephnyangusi569
@simonjosephnyangusi569 8 лет назад
Wazungu wengine wanasema miziki ya waafrika vurugu kelele tu,,ngoma ngoma na kuruka...lakini hapo JEE meseji ya maana mziki umetulia classic namiss hiome mama yangu
@irenebilauni7534
@irenebilauni7534 6 лет назад
simon joseph nyangusi wazungu wanataka waonekane kiichopo afrika ni upumbavu, ila sisi tunayaju mambo yetu yalivyo azuri kama haya ya wazee wetu,hivyo tuwaenzi.
@mohamedshineni2122
@mohamedshineni2122 7 лет назад
ukisema cha kale ni dhahabu nadhani hakuna wa kubisha usemi huu NYIMBO ZILIKUWA NA MAFUNDISHO NA HUKUCHOKA KUZISIKILIZA
@hildermkamburi1301
@hildermkamburi1301 2 года назад
Jamani old is Gold nyimbo imepangika inaimbika vizuri, sio nyimbo za kisasa zimechanikachanika
@AllyMsita
@AllyMsita 4 месяца назад
Ni wimbo wa miaka mingi sana rakin unaishi mwaka2006 juzi tu apa niradhimika kusikiliza wimbo wa mwyaka ya 80 nikiwa bukoba mama akiwa wilaya ya manyoni Kijiji Cha makale, hakika watunzi mulikuwepo hatuko nanyi nyimbo zenu zinaishi duniani tunapita nyie mbele sisi nyuma yenu
@petertosh1057
@petertosh1057 4 года назад
Mungu mkubwa. In Krefeld,Germany.
@joyceamogolla5473
@joyceamogolla5473 8 лет назад
Heard this song recently on Rogaroga radio citizen when Obachi Machoka was hosting Chidimule the composer of the song. Very inspiring music! The songs had a message and lesson to be learnt. Gone are those days.
@stephenmwithiga164
@stephenmwithiga164 8 лет назад
Thank Machokaa for hosting Chidimule. song that bring back the days of VOK, natuma salamu nikiwa kakamega show.Ujumbe dawa ya ndeni ni kulipa.Goods days No HIV,No CORD NO JAP.
@edwardgerald8602
@edwardgerald8602 7 лет назад
I have never known Chidumule to have worked together with Muhidin Gurumo!
@ipyanamwakanosya2744
@ipyanamwakanosya2744 7 лет назад
Joyce Amogolla where is Rogaroga radio?
@saidachekaaali1307
@saidachekaaali1307 6 лет назад
Ipyana Mwakanosya Rogaroga ni kipindi kwenye Radio Citizen ya Kenya.Na Fred Obachi Machokaa ndie anaekiendesha hicho kipindi.Husikika siku ya Jumamosi na Jumapili,kianzia saa Nne asubuhi hadi saa Saba mchana.Na sasa pia kiko kwenye runinga ya Citizen.Hata mie nlipata fursa ya kusikia hayo mahojiano kati yake Fred naye Chidumule,pia nkawahi kurekodi sehemu tu ya hayo mahojiano.Natumai nmekujibu vyema ndugu.
@fredmachoka8599
@fredmachoka8599 Год назад
Thanks for listening to RogaRoga on Radio Citizen FM-Kenya. Hope you enjoyed listening. It was indeed a privilege and pleasure to host the legend of Rhumba.
@73Bundala
@73Bundala 9 лет назад
No comment! Machozi tu,
@allonjoseph5467
@allonjoseph5467 5 лет назад
Pole aseee nikwel nyimbo his hutufunza Mambo mengi saana
@omarikhalfan1079
@omarikhalfan1079 4 года назад
Hiii Ndio miziki
@Salisalum
@Salisalum 4 месяца назад
Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Sina kaka sina dada Kwa hiyo naomba Muishi kama vile mwanzo
@philipmbunda3610
@philipmbunda3610 8 лет назад
Mama salamu zako nimezipata, ninashukuru kwa kunikumbuka. Taabu na mateso unayoyapata yananiumiza roho......Mambo haya yapo sana katika jamii yetu, hongera sana Mlimani Park.
@jacksonshiling8956
@jacksonshiling8956 6 лет назад
Hii nyimbo imeimbwa kwa hisia sana hadi chozi linalenga lenga
@dominicmaluki5242
@dominicmaluki5242 Год назад
The moment I listen to this sad song I always go visiting my mother the following day bearing in mind that she lives alone with home assistants and my father died many years ago and we her children left to start our own homes far apart
@henrychaula1174
@henrychaula1174 4 года назад
Beat ya hii nyimbo inafanana sana na ile ya Celina
@mordally
@mordally 12 лет назад
ndugu yangu Abdallah nimekuwa naitafuta ile nyimbo ya DDC inyoanza na kusema ''niliusiwa na babu na babu, ukimya busara ndio heshima, maisha bora popote duniani, sio chuki choyo au fitina, '' tafadhali sikumbuki inaitwaje ila utenzi wake unaanza hivyo, tafadhali
@whanson2001
@whanson2001 6 лет назад
How can you dislike something like this... Kuna watu wanahitaji kupiwa akili
@saidsalum151
@saidsalum151 8 лет назад
Wee acha tu,zamani kila wimbo mzuri.
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 8 лет назад
There is a football made in Spain but there is aRhumba made inTanzania like that one hii sio mchezo mzee Ngurumo ananung'unika mno
@yahyasoud7721
@yahyasoud7721 6 лет назад
najma saleh yes yes he was one of the best rip gurumo
@chillogeorge1383
@chillogeorge1383 6 лет назад
Huu ni utunzi wake Cosmas Thobias Chidumule. Na wimbo huu ni kisa cha kweli cha kutengana kwa wazazi wake.
@Ridhiwani617
@Ridhiwani617 5 месяцев назад
Naisikiliza leo Tarehe 15/05/2024 nakumbuka nikiwa bado mdogo miaka 17 ilio pita
@aishamkomwa6125
@aishamkomwa6125 5 лет назад
Hii nyimbo imeniliza nimewakumbuka kakazangu nadadaangu pia babaangu kipindi hicho tunasikiliza.kwenye.redio yetu.mkulima.huu.wimbo.kwasasa wote. wamefariki.dah.inauma sana
@norbertkyara96
@norbertkyara96 6 лет назад
Binasfi huwa nazikubali mno hz nyimbo nakumbuka miaka ya 90- nikiwa kijana nlikua Namibia baba dude prufuu yake nakanayo chumbani kipindi hicho rdo Tanzania wanapiga nyimbo hz....
@latasimon5708
@latasimon5708 6 лет назад
Zitaendelea kuvutamba milele tofaut na nyimbo za sku hz ikitoka sku mbili mmeshaichoka
@careyrume
@careyrume Год назад
I miss my mama and my father 😭😭😭
@titusjoseph7513
@titusjoseph7513 10 лет назад
kwa kweli we acha tu hiz nyimbo ziitwe yakale dhahabu!enz hizo nilikuwa na radio ya mbao
@saidabdallah2668
@saidabdallah2668 3 года назад
🎷🎷🎷bin🎺🎺🎺bin🎸🎸🎸bin🎹🎹🎹=🎶🎶🎶 😭😭😭
@danieljuma1921
@danieljuma1921 6 лет назад
The true feeling of parents separation...
@deogratiuswakwesa5894
@deogratiuswakwesa5894 5 лет назад
Wimbo unaeza kukuliza Kama ni kweli wazazi wako kuna ugumu wanapitia
@epson5446
@epson5446 5 лет назад
Wimbo huu unanikumbusha mbali sana. enzi hizo nasoma Malangali Secondary School mwaka 1985
@sylivanusstanislaus3360
@sylivanusstanislaus3360 11 дней назад
Nakumbuka mwaka 79 nikiwa darasa la nne,sauti ya maalim Gulumo dah!
@ibrahimmrisho3646
@ibrahimmrisho3646 4 месяца назад
Nyimbo hizi Zina mafundisho makubwa na ujumbe sahihi kabisa nakumbuka mbali sana
@LucianDevenus
@LucianDevenus 6 месяцев назад
Ukweli nimekumbuka mbali sana nilikuwa dalasa la tano mwaka 1978 kwetu shule ya msingi Nyamighadu Morogoro Vijijini
@judithoguna8265
@judithoguna8265 5 лет назад
DDC Asante Sana Tena kwa hiki kipande jameni naenda nyumbani Tuesday asubui kumwona mama
@moshyjanga5181
@moshyjanga5181 8 лет назад
Jamani basi tu enzi hazirudi,asubuhi njema,wakati Wa kazi ,mchana mwema,ugua pole ,jioni njema,ombi lako....acha bwana.
@jacobmakono389
@jacobmakono389 5 лет назад
Na kweli!longtime!
@johnshile9246
@johnshile9246 4 года назад
Wimbo huu unanitoa machozi kwani no ukweli Mama walitengana na baba mwaka huo nokiwa mbali Uganda vitani
@gordonnyagudi8166
@gordonnyagudi8166 Год назад
Great and nostalgic music around 1978. Great vocals and instrument organization
@edquest5764
@edquest5764 5 лет назад
Haya sasa, zama kweli, Hino inanikumbusha Magongo Mombasa 1982 tumehamia Soweto customes Mjombangu ametuelekeza radio daresalama Dhaaa!!!!! Time fly's Kelli.
@kagilwawilson6930
@kagilwawilson6930 4 года назад
Daa ujumbe una mafunzo makubwa kwa familia zetu
@philipachikindubi5128
@philipachikindubi5128 Год назад
Nostalgia, how i miss those days i was growing up.when music was music.
@rwezahurarevocatus1886
@rwezahurarevocatus1886 4 года назад
I salute all musicians who organized this massage espeially Mr chidumule .
@hamismbwani4655
@hamismbwani4655 9 лет назад
Daah huo wimbo una mafunzo kadhaa, kua tukumbuke nyumbani,
@mariaemmanuel6479
@mariaemmanuel6479 4 года назад
Umenikumbusha mbali sana nikiusikilza unanipa uchungu kipindi Baba na mama wametengana nami Mdogo naumia tu
@mokogotiobwari7697
@mokogotiobwari7697 6 лет назад
Kama wazazi wangeheshimu watoto wenye Mungu amewabariki nao hakungetokea na taraka......matesoooo...
@MtashobyaJosia-wt9jq
@MtashobyaJosia-wt9jq 5 месяцев назад
Mtashobya josia nikiwa kenya awa waimbaji wazamani warikua no wa u
@shabanishija3489
@shabanishija3489 7 лет назад
R I P mungu akulaze mahali pema pepon AMINA
@neattechnologiestz8636
@neattechnologiestz8636 5 месяцев назад
Ninakumbuka mbali sana. Utoto una raha ila nikikumbuka ndugu waliotangulia mbele ya haki machozi yananitoka kwa masikitiko
@mohameddaawahkenyatv5529
@mohameddaawahkenyatv5529 2 года назад
Dah hii Nyimbo inanikumbusha zamani sana nilipokuwa darasa la nne kule Kijijini kwetu tulipokuwa naenda shamba kulinda zao la mpunga na Mahindi yasiliwe na tumbiri
@SadicKrisala
@SadicKrisala 9 месяцев назад
Hisia ni kubwa sana moyoni kutokana na huu wimbo baada ya Allah wazazi ni muhimu katika maisha big up mlimani pack
@DeboraMwakaje
@DeboraMwakaje 7 месяцев назад
Yan acha tuuu nikiusikiliza huu wimbo machoz yananibubujika mno
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 6 лет назад
Utunzi was COSMAS Thobias Chidumule. Mwimbaji kiongozi Muhidini Gurumo. Chidumule ni mwimbaji wa nyimbo za injili na mchungaji kwa sasa
@raskenneth1981
@raskenneth1981 9 лет назад
Nyimbo hii imenikumbusha enzi za makuzi yangu wakati huo RTD tupo shule ya msingi nk nimekumbuka mengi sana na watu kibao wengine wapo hai wengi Marehemu RIP.
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 года назад
Rtd huku salam za jambo uku majira uku kipindi cha ugua pole uku mama na mwana duh Sara dumba malima ndelema Ahmed kipozi EDA sanga
@nakoemponda6453
@nakoemponda6453 4 года назад
DUUHH NIKO MUSOMA SARAGANA NYAMBONO P/SCHOOL STD 4 1978.RAAHA.
@davidwanjohi1733
@davidwanjohi1733 4 года назад
I salute all musicians from Tanzania!nice song i like it
@hamzabakari5224
@hamzabakari5224 2 года назад
Mwimbo huu unanikumbusha mbali sana. Naomba anaefahamu namna ya kudownload barua toka kwa mama namba 2 anisaidie. Nautafia sana.
@IssaSalimu-uc3ro
@IssaSalimu-uc3ro 5 месяцев назад
Nakumbuka enzi ya usagara mabangi na shule darajani wakati huo😊
Далее
DDC Mlimani Park - Celina
7:36
Просмотров 510 тыс.
Vijana Jazz - Mundinde
6:18
Просмотров 233 тыс.
Learn the National Anthem
5:46
Просмотров 8 тыс.
DDC Mlimani Park - Uzuri wa Mtu Sio Sura
6:35
Просмотров 443 тыс.
Zilipendwa RTD - Salaam Baba na Mama
4:53
Просмотров 287 тыс.
Shilingi Yaua Tena Maua
9:44
Просмотров 111 тыс.
DDC Mlimani Park Orchestra ~ Majirani Huzima Radio
7:08
Msondo Ngoma Music Band - Ajali (Official Video)
9:06
Tanzania - Marijani Raajab - Namsaka Mbaya Wangu
8:26
Просмотров 584 тыс.
Visa Vimenichosha
7:54
Просмотров 236 тыс.
Teddy Mwana Zanzibar - DDC Mlimani Park
10:31
Просмотров 69 тыс.
DUNIA UWANJA WA FUJO  MARIJANI new)
7:43
Просмотров 155 тыс.