Masha Allah namuona mjomba sheikh nuru kijongoo kutoka mtongwe Familia ya dhikri nyumbani maganyakulo kwa mwalim mbwana Allah amrehemu Sijamuona Sheikh kidzeru Love DHIKRI ❤❤❤❤❤
Maalim Jumaa mwatetema na mwamlondwa na hamis kombo na mwamadi wa matuga na swaleh nilikosa uwondo hii ngoma ni kubwa sanaa na nitataka yangu zaidi ya hii inshallah inikishuka bila kuwasaharau mahalifa watatu nawaoma Allah atupe umri nije kuwakuta nyote inshaallah
Wewe endelea sunnah zenye unamjua na pia mtume alikua akisilimisha watu wewe ngangana na kusilimisha watu na kuswali wacha watu wazidi kutaja Allah na mtume kwa uwenzo wa uhai wao wewe baki na sunnah ya kuswali na kuhji na kubaki na dini yako Kim ya kimnya
Wala hakuna ukweli wowote na pia asante KW tusi lako kama wenye kupinga wenye kumtaja Allah na mtume wake nalkn wanaruhusiwa kutukana ndio sunnah basi pia haina shda watu watakufata ww mwenye matu waa he wenye kumtaja Allah na mtume waka Pia usisahau kua hutaulizwa ulifanya dhikri au maulidi au kutukana ila Mali yako, umri na watoto wako. Wala hutaulizwa kwnn hukuwakataza wenye kumtaja Allah na mtume wake
@@bibiali2713 samahani Wacha kuongea na machungu shida watu wakiambia mnakuwa wakali . Hamna mtu kakutusi illa katafute kujuwa dini zaidi . Hata mimi nilikuwa sijui lakini Alhamdullilah nimejifinza mengi . Watu wa coast tuko nyuma na dini