Yaani Mondi hata huko pia ameenda kuwachanganya!!!!! Yaani huyu anapenya tuu hata iweje! Alafu kuna kikaragosi wa kikonde amejilinganisha naye......fyuuuu!
@@sarahmuhammed6872 jifunze ku andika mwanzo alafu u comment! Umeona nimemchukia nani? Nimetoa wazo langu na nazidi kutoa tena kikonde fyuuuuuuuuu! Hapo alipofika ndio basi!!!!!! Soko lake ni tz peke yake!!!! Ona Mondi kapiga show Kwa harusi ya mtoto wa Serengeti!!!!! Tena ufaransa! We huogopi?