Turn this thing into a Podcast. You can call it The SNS podcast or something like that, change the studio setting to comfortable couches then do 1 hour + content of different topics. Mwachie Recap kaka Sky.
I love it when you guys do recap Don’t change the name roho inapenda kuwasikiliza sanaaaaaaaa na hapa giant man namuelewa vizuriiiii team sns tuongee team
Grammy award is coming to Tanzania, no doubt at all. No song can battle with Komasava, the song and video it's just Wow , highest level.(That Michael Jackson level)
@@Lassana755never bro just check the numbers komasava iko mbele ki views but pia iliwekwa nyuma yake so komasava iko Na all chances ZA kua ngoma Bora 😊
Ile siku diamond atakufa mujie kua mziki wa bongo fever umekufa kabsaa coz diamond ni kama kanumba tu alienda industry itachanganyikiwa kama miaka kumi hivi ndio wajipate Tena kidogooo ila kiukweli itakua hamna Tena mtu wakujivunia nae tena
@@isacksimonmahungilo bongo hua mnadhamini mtu anapolifa ila anapokua hai hamumthamini ispokua mnamtaka aanguke kisanaa na kumlinganisha na wasanii wadogo wadogo ila akishakifa ndio mnajifanya kumjali na kumuenzi