Sawa abdul umeongea jambo zuri sana kusameheana ni jambo kubwa sana na itakua vizur na dada diva akusamehe na wewe na miarejesha ndoa yenu kwani ndoa ni nusu ya dini👏
Heeee kwanini mnakuwa hivyo watu wapo na msiba na mnaongea mambo mengine khaaa kwanini lakini 😢 ila sawa tu ukweli mnaujua wenyewe 😢 huenda mlikua na utofauti na dida angekuepo basi mgeliweka sawa ila basi tu kazi ya MUNGU haina makosa malizeni tofauti zenu na pia muombeeni didah MUNGU amlaze mahala pema peponi na ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏
Mnatuumiza namaneno yasomana maden ya fatuma namsiba yanahusu nini kupitia divamjini ushaenda achen kelele tuzike tumuombee dua da mkubwa .ntakupenda hatahuko uliko