Ligi imeanza tarehe 17 kwani mwezi umeisha kàma tuzo ya wiki sawa ila sio tuzo ya mwezi ila We Mo walipo kufila ukawanyenyekea Sasa unatafuta kurud Tena kwenye uchawa
Tuzo zinaangalia usawa wa mechi kwhy kumbe unaweza ukapewa Ubingwa endapo mwenzio hajacheza nmech labda 2 na wewe umemzid point 2 inawezekana hiyo bas mjue hiyo imefanika kinyemela ila nanyi mjifukahishe
Baada ya kukosa ubora NBC na kukosa tuzo mwaka uliyopita mmempewa tuzo za kuvizia wakati timu kubwa hazijacheza... siyo tuzo mujarabu siyo halali..😮😮😮😮
Yaani hawa jamaa zetu yanga roho mbaya sana yan hiki kitunzo cha mwezi kinawafukuta ku roho vibaya, kwann kwann simba mweee mbona mnaumia kwa vitu vidogo wenzetu vipi hamlali kisa tuzo ya mwezi aaa acheni hiyo nafsi mbovu
Ivi ili choko gamondi mechi ya kwanza kacheza ugenini yule kocha wa simba katoka bunju mbaka mwenge tu yupi amepata mechi ngumu. alafu uyu choko kila mtu rafiki yake
Sema nn we sio mtu wa mpira we ni mshamba sasa matusi yann kwenye mpira ww toa mauni Yako sio matusi kila mtu kakuzarau data huna unalopoka maneno kama make mdogo jitahidi uwe mshabiki wa singeri sio mpira huuwezi we mshamba