Naomba muwape eshima wandishi wahabali hao ndio wanawafanyamjulikane town unamtolea kidole we kama nani wanahakizao ☹️☹️☹️ mfano we vinywe doto tumekujuwa sababu yahao siishi bongo ila umenikela huna nidhamu
Anauliza eti DOTTO na Baba Levo different ni nini badala ya kusema difference kwa nini asijifunze lugha fasaha ya kiingereza kama wanapenda kuchomekea kabla ya kuwa mwanahabari?
Siunajua sisi waislum jamani waacheni waislum safi waswali mnajificha kwenye uislum hata mwijaku zuchu eti mimi muilum siwezi tangaza pombe ila anavaa vichupi