Hivi unajua mpenzi wako akikuchoka kuna vitu utaviona kwenye tabia yake? Sasa kama huvijui ndio unaweza kukuta unajipotezea muda tu. Nataka kukusaidia kujua, Hizi hapa Dalili 4 kwamba mpenzi wako amekuchoka#DrChrisMauki#Dalili#Amekuchoka
Kiukweli dr kwa upande wangu nayaona hayo yote ila nimejipanga kutokumwambia chochote kinachonihusu mimi na tupo ndani yandoa Nimeamua kuwa karibu na mungu
Suala la ndoa ni gumu Crismauki,linahitaji msaada wa Mungu,ndoa nyingi zina shida sababu ya kuacha Agano la Mungu,kujali khari mwili kuliko kujali Roho aongozaye.
Yaaan acheni nilie mwenzenuuuu😢😢mm nakosea kila kitu hata wtt hana mda nao tena hanijal hata iweje akirud na cm yke anaongea akimaliza kachoka kuongea na mm analala fofofo kiufup cjui chochote kuhusu yeye mpk nataman nipate mwanaume wa kuniliwaza nnje naamin hvo ntakaa sw mana sina aman kibaya zaid sina baba wala mama hata wa kunipa moyo sina naumia sanaa nkimpgia cm hapokei kazn akpokea ukali npo bz na kaz
Pole ila ukweli tayari wapo anao wazingatia pembeni,kwako kakinai,ila wanaume tubadilike kwakweli mtu kama huna upendo ni heri kuto mtongoza mdada wa watu mwisho kumtesa tu.aaaaahhh😢😢😢😢
Daktari you are very important to us. Watu tunapaswa kufahamu. Tunazidi kujifunza. Ubarikiwe sana na Bwana YESU Kristo wa Nazareth azidi kukukirimia neema na hekima zaidi. Tunabarikiwa mno na Asikiaye afahamu. Binafsi nafunguka sana ufahamu ili kuacha kupenda kizembe. Haleluyah tunapona jamani🙏🙏🙏🙏
Yan umenigusa sana kwenye hii mada yako yote yananihusu mimi ila kwa sasa moyo wngu kwenye eneo hili la mahusiano umekufa kabisa nataka ku move on kwa huyu niliyeko nae maana naona hana faida yoyote kwenye maisha yangu ya sasa,wala yajayo namuomba Mungu anikutanishe na mwanaume sasahihi kwenye maisha yngu amen,
nashukuru sana, kwakweli hali somo umenifundisha mimi kabisaaa yaan hivyo dalio ya 3 jamani nitakua nateseka sana ila baada ya hili somo nimeelewa sasa asante babaangu Mungu azidi kukutunza
Na mimi piya asha nito asante kwa mashauri yako Mungu akumbariki mimi piya yame sha nikuta ayo tu liishi naye vizuri ila alipo safiri alimbadilika kama una nviyosema niliumiya sana ila nashukuru Mungu amenipanguvu
Dhaaaaa Yani nimefurahi kuipata hicheneli Yani ikosahihi sana sana sana mungu awabariki wausika kwani kwanafndisha nakutupa moyo namafuzo Mimi binafsi nilisha kata Tama nahaya Maisha kisa mausiyano yalokufa ila kwasasa nimeipata Nuru nyingine mupya mungu awabariki
Kaka Hapo kwenye vitimbi Nakupenda sna Ndio shida kaka halaf Kwel hasemi Unampenda lakn yy anakuwa wakiongeelea wana wake Wengine maana yake na bado unampenda
Ila wanaume wengi ni kolofi,unaanza kumtongoza mdada wa watu ,mwisho anakupenda , halafu unamcheat sio vizuri,Bora mtu usimtongoze kabsa kama unajua ni mlaji tu
Mimi nmechoka na nimejiondoa maanake huyu mchumba tulihaidiana ndoa hadi akanipeleka keep nikajuana na watu wao. Shida ilikuwa ni tulipokutana kila wakati , it was all about sex. Alafu mbaya zaidi he could depart to the city and come back without informing me and wanted to take it normal. While in the city, every time I called him via phone, he could only tell me he is tired.
Mimi nmechoka na nimejiondoa maanake huyu mchumba tulihaidiana ndoa hadi akanipeleka keep nikajuana na watu wao. Shida ilikuwa ni tulipokutana kila wakati , it was all about sex. Alafu mbaya zaidi he could depart to the city and come back without informing me and wanted to take it normal. While in the city, every time I called him via phone, he could only tell me he is tired.
aki haya yote nayaona kwangu nashindwa kuelewa mimi ndo mwenye shida au yeye ndo anashida duh Mungu anipe ukomavu jamani najitahidi kukomaa lakini nashindwaa kabisa .... Mungu nisaidie mimi