Wengi sana wamejuta baada ya kugundua kuwa walikosea walipo mshirikisha mtu fulani mambo binafsi. Kuna mambo ya kushirikisha na kuna mambo ya kubaki nayo. Je unaya jua yapi usijaribu kabisa kushirikisha mtu? Haya hapa mambo matano kamwe usi shirikishe watu.
#DrChrisMauki#Mambo5#Usiendekeze
11 фев 2022