Nawezaje kunyamaza. Naitwa Sophia Anselmu Asenga. Yesu aliniponya Asma na pumu iliyonitesa Kwa miaka 18. Jamani nitawezaje kunyamaza wakati kaniponya. Nakumbuka ulikuwa ikinibana, unabanwa kisawa Sawa ukweli ukweli. Glory to God. I glorify lord Jesus
Naweza kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa, mwaka 2022 ujauzito uliharibika na miezi saba nilitoka damu mpaka ikabaki moja nikaa ICU siku tatu na kuongeza damu unit 11, kiufupi nilichungulia kaburi, nikashonwa shingo ya kizazi na nikaambiwa sitakiwi kubeba mimba ndani ya mwaka.mmoja, lakini baada ya miezi miwili tu nikabeba ujauzito mwingine na 2023 mwezi wa 11 nikapokea bby girl wangu mrembo sana, yuleyule wa kike niliyempoteza, nawezaja kunyamaza mimi, uponyaji nilipata, sikufa kabla ya mpango wa Mungu na bby ninaye!
Wale tulinaoangalia hii baada ya kuona Dr Ipyana akiwa amepiganiwa na Bwana baada ya kupata ajali mbaya ya Kifo lakin bado halalamiki anatutia moyo nione like za kutoshaaaa❤❤❤❤ Hatuwezi Kunyamaza
Nawezaje kunyamaza wakati nilikatiwa tamaa na kuwa sitaolewa wala sitazaa, na mimi pia nikajikatia tamaa kabisa. Pale nilipoishia Mungu ndio akaanzia! uuuwii Mungu akanishangaza na kuwashangaza watesi wangu. Mbele ya macho yao nikaolewa na God fearing man haswa tena muhubiri wa injili yeye na familia yake. Yaani nimeandaliwa meza mbele ya watesi. Mume ambaye ukimuangalia unaanza kulia tena machozi ya shukrani kwa Mungu. Jamani am blessed and I have the best Christian marriage. Wakwe watumishi yaani namtumikia Mungu kwa ushindi mkuu. Siwezi kunyamaza na kuwaambia mabinti kuwa Yesu bado anao waume bora kwa ajili yao. Mungu wangu anatenda zaidi ya tuombavyo na tuwazavyo!!!! Yesu hajaishiwa na hatokaa aishiwe. Acha tumtangaze huyu Yesu ya kuwa matendo yake yanatisha kama nini!!!
Nawezaje kunyamanza wakati Mungu katuokoa kwenye ajali ya Ndege with my brother and sister😭😭…na na tumezaliwa 3 tu ….nawezaje kutulia na wakati umefanya namna hii Bwana sijaona namna hiii😭😭
Wooooooooiiiiiiiii jmn mm huu wimbo naweza usikiliza ata kwa siku mara saba kama wako walioupenda huu wimbo kama mm naomba like zenu nimeshindwa kunyamaza jmn!!!!!!!
Nilipata ajari mbaya sana nikielekea kazini nikiwa speed sana. Gari iliacha njia na kugonga Mti, kisha ikageuka na kurudi nilikotoka na kuniangusha tairi kushoto mbele na nyuma zikabaki ringi tupu.Mungu wangu akanitoa mzima kabisaa. Nikiwa naelekea Nairobi na Bus kampuni Easy coach baada ya Gari yetu kuondoka. ASB mlima wa Mayumayu uliyeyuka na kua matope, nyumba na ❤magari baadhi ikiwemo Bus LA Easy coach vikafunikwa na zaidi ya Watu 250 kufa. Nilipata attack ya kishindwa kupumua na kuvimba mwili wote nikiwa naendesha Gari . Mungu aliwezesha alinifikisha hadi getini kwangu. Hatimae hali ikazidi kua ngumu lakini niliweza kufikishwa hospital nikapata tiba ya dharula. Eeh Yesu ninakutenda dhambi kwa mawazo, maneno, matendo na kutitimiza amri zako. *Nisamehe Bwana* NAWEZAJE KUNYAMAZA SASA?
Nawezaje kunyamaza wakati Mungu ametenda makubwa kwangu nimehangaika n hormonal imbalance for 10 years n finally Mungu ametenda jambo jipya kwangu ! Tripplets on their way 🙏🙏🙏🙏naachaje kumsifu huyu Mungu mwenye matendo makubwa kwangu !!haikua rahisi kusubiri ila 18.08. 2024 God did it 🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Nawezaje kunyamaza mimi jaman 🥹 hapa dar nilkuja na kibeg tu cha mgongoni na kiswaswadu ila sasa Mungu amenipa kaz ya kufanya chumba chenye vitu vya kutosha 😭 na kabat lilolojaa nguo 🥹🥹😭😭 mimi ni nan jmn!! Leo Mungu kanipa na biashara yangu kabisa ndugu zangu wakija dar wanafikia dar na wanakula had wanasaza Ooh Lord!! Hi ni kubwa sana kwangu NAWEZAJE KUNYAMAZA MIMI 😭😭🙏
Nawezaje kunyamaza..Mungu umemponya mwanangu aliekua na matundu kwenye moyo mawili, nilikua nampeleka clinic Muhimbili kila baada ya miezi miwili...tangu kuzaliwa...now ana miaka 8 amepona bila operation wala dawa za hospitali...siwezi kunyamaza kabisaaa....eeeeh namna hii sijaona namna hii Yesu🙌🙌🙇
I can feel dear,siwez kunyamaza pia sickle cell,miez kumi na Moja Sasa mwanangu hajalala hospitali wala kuona mlango wa hosp,hajaongezewa damu,I ntank God for this,ilikua Kila week hosp Kila baada ya miez miwil tunalazwa anaongezewa damu.siwez kunyamaza mim😢
@@FridaMwita halafu mtu aje kuniambia et Yesu ni scam..aaah hapana jamani siwezi kunyamaza kabisaa huu wimbo naweza nikausikiliza siku mzima nisichoke kipenzi,Yesu ni mzuri mnoo🔥🔥🙌
Jamani likes hazitoshi huu wimbo ni zaidi ya deliverance... Huyu mtumishi wa Mungu azidi kulindwa na damu ya Yesu na he is unstoppable hata shetani alipotaka kumzuia kwenda kuhudumu Rwanda hakuweza... Sijaona likes za kutosha from Rwanda let's thank God for the life of Dr Ipyana... Thumbs up from 🇷🇼🇹🇿🇰🇪🇺🇬.... Let love lead
Ee Yesu sijaona namna hii siwezi kunyamaza, mengi uliyotenda kwenye maisha yangu, umenipa wazazi, umenipa mume, umenipa watoto wawili wazuri, umenipa kazi nzuri yenye heshima, na umenipa wadogo wazurii , Yesu siwez kunyamaza
Nimetaza video hii Leo Leo usiku nikapokea pesa ya mtaji wa biashara ambao kisutegemea kama ntapata🎉❤😁nawezaje kunyamaza Yehova wakati umefanya kwangu...Glory to Jesus ,ubarikiwe sana Mtumishi hakika Bwana anakutumia kweli.Miujiza imekuja kwangu kama nilivyosema siku unatangaza unatoa hivi karibuni nikasema utoapo hii nyimbo Ije na muujiza wangu na God did❤❤❤fireeeeeee
Naweza kunyamaza mim jmn wakat Mungu hamenitendea mumewangu alipo fariki ndug wa mumewangu walinipokonya kila kitu na mpka watt wangu wakawakata kbs nikawa sijui watt wangu watasomaje na wataishije, lkn Yesu halitenda akatoka mtu wa kuwasomesha watt wangu wote wa 3 tena shule za boding, jmn naweza kunyamaza mim zaid yakulitukuza jina lake
Niligonjeka kanza ya macho na ilikuwa imebaki one week na nikufe nilitolewa jicho moja sai niko na nko mzima na hilo jicho moja praise God 🙏🏾nitawezaje kunyamaza mm , Kenya's 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Like from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I can't get enough of this song😊.It is timely.I cannot afford to be silent to my God.The things He has done and the things He's doing are marvelous in my eyes.
Nawezaje kunyamaza Wkt Nilimuona Mungu live alivoshuka haraka kuniokoa baada ya kugonga Treni na gari lng tena nikiwa na firstborn wng wa miezi tuu alienizawadia Mungu baada ya uzazi kusumbua muda mrefu lkn hatukufa wala kuumia ! Ingawa gari lilikuwa hoi !
Amen, don’t touch my anointed and do them no harm. Says the Lord psalm 105:15 so the Devil has to pay. He will not die but live to declare the goodness of the lord in the land of the living. May the angels of the lord protect him day and Night and his family too . We cover him with the blood of Jesus
Nawezaje kunyamaza hali Mungu amemponya Dr.Ipyana na roho ya mauti, nimekumbuka Mungu alivyoniokoa na ajali ya mauti,gari ya Noah iliponigonga na kunirusha mbele na kunipitia juu hadi leo nipo hai nina nguvu,namtukuza Mungu
Sijaiona namna hii kwa taifa kama Tanzania kuinua watu wenye Roho ya uamsho wa kumuinua Mungu kwa ibada ya nyimbo nzuri namna hii sitoweza kunyamaza... Mungu akutunze chombo kiteule cha Mungu wetu shukrani apewe Mungu ametupendelea TZ
Dr ipyana ameshindwa kunyamazaa na amemtukuza Mungu hata kwa Hali aliyopitia siku ya uzinduzi WA nyimbo badooo Mungu amemtendea Nami cwez kunyamaza kumtukuz Mungu kwa ajili yake...Glory to God Bwana amejivika utukufu na heshima..Mungu yupo jamani
Nawezaje Kunyamaza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 the least in the house of the Lord is great than greatest in the darkness. I Love y’all who Loves Jesus a Christ.
Nawezaje kutulia wakati Yesu umefanya umenipa mume , umenipa kazi, umenipa na biashara kubwa, umewaokoa ndugu zangu. Na ulevi umemponya baba 😭😭😭 ee Yesu nmna hii sjaona namna hii🙌🏽🙌🏽
2 weeks to my graduation Indeed the journey was not a walk in the park but my God did it for me Financially and in everything Jamani nawezaje kunyamaza🙇 Blessings🥳
🇰🇪🇰🇪This new song by Dr. Ipyana is nothing short of heavenly. The lyrics and melody touch the heart and lift the spirit. Every note of this song resonates with pure worship and praise. It's a beautiful reminder of the joy and hope we find in our faith. Truly uplifting thank you for this incredible blessing Man of God it's already hitting here in Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Siwezi nyamaza
Nawezaje kunyamaza 2002 Mungu alinipinya na ajali mbaya ya tren Dodoma Mungu alinipa kazi nzuri serikalini nimetumikia miaka 34 leo nimestaafu kwa usalama bila shida yeyote nawezaje kunyamaza
Emmanuel Peter kwenye bass yuko hatari Sana ,kepha mndeme the MD pia anafanya kazi safiii 🔥 huku Kenya 🇰🇪 Moore love.. wimbo huu wa baraka na mvuto sana God bless you servant of the Lord Dr lpyana ...kenya ns twende na likes kama zotee
Nawezaje kunyamaza Kwa vile tu Yesu alovyonitoa katika maisha ya mateso ya tatizo lakukosa choo,miaka kwa miaka ikifika swala la haja kubwa kwangu,ulikua ni msiba,madaktari uwezo wao uliishia kwenye hamna namna yakupona isipokua upasuaji,Yesu Kwa damu Yako umeniponya bureee,mimi Judith ni mzimaa mzimaa,mimi niliekua nakaa mawiki bila kupata choo,nanikija kukipata ni maumivu makali,lkn Leo Ninapata choo kawaida Kwa amani,nawezaje kunyamaza jamani wakati tatizo hili limechukua maisha wa wengine na mm umeniponya kabisaaaa.
Nawezaje kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa katika maisha haya. Kwanza kabisa nimepona pumu iliyonisumbua kwa muda mrefu,Mungu aliniokoa katika ajali ambayo ingechukua uhai wangu. Pia,wengi walizani sitaweza kusoma kabisa lakini Mungu amenifunulia njia . Sitachoka kumtukuza Huyu Mungu aliye Mfalme wa Mbingu na Nchi.🙏
Uliyenipa ujauzito full term miezi tisa adi Sasa napoelekea kwenye kujifungia na kwenda kumpokea mtoto wangu wa kiume niwewe tu umefanya...nakutumainia bwana siwezi nyamaza wala kutulia kwa Yale umetenda na utakayotenda Amina
Nawezaje Kunyamaza na kutulia kwa huyu Mungu jamani.... Aliyenifaulisha Mitihani yangu ya chuo 2023 miongoni mwa wanafunzi wa tano (5/43). Ninampenda Mungu jamn kwa kuwa anasikia maombi yetu. Nitamtukuza siku zote Na kwa wimbo sitanyamaza.Barikiwa sana Anointed Man of God. Hakika utavikwa taji kubwa MBINGUNI
Psalms 149:3 says, “Let them praise his name with dancing…Praise him with tambourine and dance…”3 In 2 Samuel 6:14-22, David dances before the Lord with all his might, providing us with a wonderful example of what it truly means to surrender to God in worship. Amen Amen
Nawezaje kunyamanza kwa matendo makuu ulio nitendea 😭😭😭😭umenipigania umenitetea mpaka sasa tumaini langu ni ww YESU Christo,,,,,nawezaje kutulia kwa ulinzi wako juu ya familia yangu ninachoomba badilisha history ya familia yangu 😭😭usituache BABA yetu
Nawezaje kunyamaza Mungu wakati ulimponya baba angu mzazi ambae tuliangaika nae sio chini ya Miaka miwili alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo pamoja na inni ila mpaka Sasa baba angu Bado yupo na anaendelea vizuri eeeeh Mungu naomba uzid kumpigania baba angu Kila iitwapo leo nampenda sana baba angu ❤🙏
Nawezaje kunyamaza wakati umefanya🙌 Sophie here +254 Been trusting God for a job it had taken lonnnnng,but who is like our God,in his own way in his own time He has done it for me❤
Hakika hatuwezi nyamaza Kwa anavyofanya... Nimempoteza Mama yangu mwaka Jana na ni mzazi niliyebaki nae Ila huyu Baba amefanya makubwa.. quick recovery nisivyotegemea, amesimama Nami kwa namna ya ajabu, now Niko na furaha, amenipa watu ambao wamesimama kama wazazi kwangu.... Oooh Mungu wa namna sijaona
Hakika Mungu ni mwema siwezi nyamaza kusimulia ukuu wake..siku ya tarehe 5August 2024 ameniepusha na ajali tukiwa tunarejea nyumbani kutoka kazini gari yetu iligongwa kwa nyuma ila Mkono wa Mungu ni mkuu mno tulifika salama wachache warijeruhiwa..
Nitaweza aje kunyamaza wakati amenipa ushindi ,nimenyamazia kilio kwa miaka miwili sasa siwezi kunyamazia furaha,sijaona namna hii,,walioniahidi kilio huu mwaka nasherehekea ushindi na mungu kawanyamazisha,Mungu ni mkuu,Mungu yupo guys❤
Kwa kweli siwezi kunyamaza...sijaona matendo ya namna hii...🙌🙌🙏🙏ooh glory be the most high siwezi kutulia kamwe kwa maana nmeuona mko wake bwana maishani mwangu 😢😢nlipo fikiria nimefika mwisho kumbe ndo ulikua mwanzo wako Jehovah..kwa kweli sifa na shukrani ni zako baba yangu...nayakabidhi maisha yangu kwako familia yangu naikabidhi mkononi mwako mungu baba...sio kwa nguvu zangu mbali ni uwezo na matendo yako katika maisha yangu yesu kristo..nakutumainia bwana 🙌🙌🙏 🙏..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪