Тёмный

Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA 

Dr Ipyana
Подписаться 371 тыс.
Просмотров 1,4 млн
50% 1

Видеоклипы

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,5 тыс.   
@SamsaiMedia
@SamsaiMedia 2 месяца назад
Anyone from Kenya Tupia like hapa maze🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@eliufoosimonchuri4160
@eliufoosimonchuri4160 2 месяца назад
Our brothers and sisters mko safi sana. Many blessings to you. Namna hii hatujawahi ona.
@winymaomond2430
@winymaomond2430 2 месяца назад
Tuko🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nancynjeri4348
@nancynjeri4348 2 месяца назад
Tuko ndani 🇰🇪🇰🇪
@wafabian8116
@wafabian8116 2 месяца назад
Niko Niko🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nasiwezi kunyamaza
@marygokune2351
@marygokune2351 2 месяца назад
Here🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nvpmedia6467
@nvpmedia6467 2 месяца назад
Tanzania like ziko wapi 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tz Tunashindwa kunyamaza ni Makubwa anayo tutendea uyu Mungu
@ministerHappyAllan
@ministerHappyAllan 2 месяца назад
TUNAWEZAJE KUTULIA
@EmileLugendo
@EmileLugendo 2 месяца назад
Nawezaje kutulia Bwana
@julianalameck9045
@julianalameck9045 2 месяца назад
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
@leoniajohn8676
@leoniajohn8676 2 месяца назад
Nawezaje kutulia
@jasminesungura8730
@jasminesungura8730 2 месяца назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sophiaasenga298
@sophiaasenga298 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza. Naitwa Sophia Anselmu Asenga. Yesu aliniponya Asma na pumu iliyonitesa Kwa miaka 18. Jamani nitawezaje kunyamaza wakati kaniponya. Nakumbuka ulikuwa ikinibana, unabanwa kisawa Sawa ukweli ukweli. Glory to God. I glorify lord Jesus
@petermushi4024
@petermushi4024 2 месяца назад
🎉🎉🎉 unawezaje kutulia
@userbridgitnkatha
@userbridgitnkatha 2 месяца назад
I can't keep quiet Lord,, you have already done it ❤🙏🙏 from Kenya 🇰🇪❤
@ritaaliela7401
@ritaaliela7401 2 месяца назад
Sifa kwa Yesu
@marthawillium2547
@marthawillium2547 2 месяца назад
Oooh wooow.Yesu please keep this testimony for the future
@helenyohana1892
@helenyohana1892 2 месяца назад
Amen❤🙏
@MagrethAndrew-hj5ur
@MagrethAndrew-hj5ur 2 месяца назад
Naweza kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa, mwaka 2022 ujauzito uliharibika na miezi saba nilitoka damu mpaka ikabaki moja nikaa ICU siku tatu na kuongeza damu unit 11, kiufupi nilichungulia kaburi, nikashonwa shingo ya kizazi na nikaambiwa sitakiwi kubeba mimba ndani ya mwaka.mmoja, lakini baada ya miezi miwili tu nikabeba ujauzito mwingine na 2023 mwezi wa 11 nikapokea bby girl wangu mrembo sana, yuleyule wa kike niliyempoteza, nawezaja kunyamaza mimi, uponyaji nilipata, sikufa kabla ya mpango wa Mungu na bby ninaye!
@HellenKahema
@HellenKahema 2 месяца назад
😭😭😭😭😭
@dr_muyoka
@dr_muyoka 2 месяца назад
Amen dadangu. Asante kwa ushuuda wako. Utanyamazaje ilhali Mungu amekutendea makuu? Jina lake litukuzwe milele na milele, Amen. 🙏🙌
@upendokikwelele620
@upendokikwelele620 2 месяца назад
Hongera Sana hapo huwezi kunyamaza
@pendopaul8011
@pendopaul8011 2 месяца назад
😢😢😢😢😢😢😢🙌🙌
@NatovuakiThomas
@NatovuakiThomas 2 месяца назад
Glory to God Hongera sana dada
@deborahkabwe6057
@deborahkabwe6057 2 месяца назад
Nilipata ajali nikapasuka kichwani nikapoteza kumbukumbu kwa muda wa mwezi mzima. Yesu alinirejeshea Tena . Kumbukumbu . Nawezaje kunyamaza
@MaryLaizer-zy6nm
@MaryLaizer-zy6nm 2 месяца назад
🙌🙌🙌
@judyndaula6343
@judyndaula6343 Месяц назад
Glory be to God🙏
@ansilalulehana4715
@ansilalulehana4715 Месяц назад
Jamani jina la Bwana libarikiwe
@frankmbindi6362
@frankmbindi6362 Месяц назад
Dah nilijua ni mm tu
@Mr_batuku
@Mr_batuku Месяц назад
Na usinyamaze sifa zake na zivume siku zote
@denisbongore3098
@denisbongore3098 2 месяца назад
Waliojanzwa nguvu za Mungu kupitia huu wimbo tunaomba like jmn 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 atuwezi kunyamaza Yesuuuuuuuuu tunakupenda
@leonidamichael2664
@leonidamichael2664 Месяц назад
The crying the happynes the feeling is unexplainable
@ruthwangari1207
@ruthwangari1207 2 месяца назад
If you want Dr.Ipyana to visit Kenya for a worship night gonga like
@b.emmaqulate
@b.emmaqulate 2 месяца назад
@dr.Ipyana should see this
@lizgesare2614
@lizgesare2614 2 месяца назад
Kwani Ni Wa Wich country
@sallypeter1407
@sallypeter1407 2 месяца назад
Tz​@@lizgesare2614
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 2 месяца назад
Tanzania ​@@lizgesare2614
@b.emmaqulate
@b.emmaqulate 2 месяца назад
@@lizgesare2614 Tanzania
@GraceNafula-n1h
@GraceNafula-n1h 2 месяца назад
Nawazaje kunyamaza wakati amenipa mtoto wakati tuiliitwa taasa mimi na mume wangu👪
@DIGNAJASTIN-dl8yj
@DIGNAJASTIN-dl8yj 2 месяца назад
Mungu sio kama wanadamu nivwatofauti kabisa
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 месяца назад
Mungi yu mwema.Hongera
@vanesamedard1689
@vanesamedard1689 2 месяца назад
Mungu Mwaminifu 🙏
@soniamkumbwa5540
@soniamkumbwa5540 2 месяца назад
Hallelujah. Hakuna lililo gumu kwa Mungu
@MiliamNgozi
@MiliamNgozi 2 месяца назад
Ee Mungu wangu anitende na.mimi
@AlphonceDM
@AlphonceDM 2 месяца назад
Wale tulinaoangalia hii baada ya kuona Dr Ipyana akiwa amepiganiwa na Bwana baada ya kupata ajali mbaya ya Kifo lakin bado halalamiki anatutia moyo nione like za kutoshaaaa❤❤❤❤ Hatuwezi Kunyamaza
@OlivaMoshi
@OlivaMoshi 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza wakati nilikatiwa tamaa na kuwa sitaolewa wala sitazaa, na mimi pia nikajikatia tamaa kabisa. Pale nilipoishia Mungu ndio akaanzia! uuuwii Mungu akanishangaza na kuwashangaza watesi wangu. Mbele ya macho yao nikaolewa na God fearing man haswa tena muhubiri wa injili yeye na familia yake. Yaani nimeandaliwa meza mbele ya watesi. Mume ambaye ukimuangalia unaanza kulia tena machozi ya shukrani kwa Mungu. Jamani am blessed and I have the best Christian marriage. Wakwe watumishi yaani namtumikia Mungu kwa ushindi mkuu. Siwezi kunyamaza na kuwaambia mabinti kuwa Yesu bado anao waume bora kwa ajili yao. Mungu wangu anatenda zaidi ya tuombavyo na tuwazavyo!!!! Yesu hajaishiwa na hatokaa aishiwe. Acha tumtangaze huyu Yesu ya kuwa matendo yake yanatisha kama nini!!!
@LeahJoshuwa
@LeahJoshuwa Месяц назад
Oliva barikiwa sana
@magdalenamaziku9691
@magdalenamaziku9691 Месяц назад
SIFA NA UTUKUFU URUDI KWA MUNGU, Nashangalia na kuconnect na kibali hiki kwa Jina La Yesu
@magdalenamaziku9691
@magdalenamaziku9691 Месяц назад
SIFA NA UTUKUFU URUDI KWA MUNGU, Nashangalia na kuconnect na kibali hiki kwa Jina La Yesu
@deborasimon422
@deborasimon422 Месяц назад
Haleluya Atukuzwe Mungu
@GaudenciaMatutu
@GaudenciaMatutu Месяц назад
Napokeaa hii Kwa viwangoo
@irenemwikali7400
@irenemwikali7400 2 месяца назад
Sitaweza kunyamaza, Yesu amenitendea Amen 🙏🙏. Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi likes
@fredrickojiambo254
@fredrickojiambo254 Месяц назад
Sijaona namna hiii I can't be silent 🔕🔕
@matildaotieno7288
@matildaotieno7288 2 месяца назад
Kenyan mko wapi tupige kelele hatuezi kunyamaza , ametenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@benignendayizigiye224
@benignendayizigiye224 2 месяца назад
Nawezaje kunyamanza wakati Mungu katuokoa kwenye ajali ya Ndege with my brother and sister😭😭…na na tumezaliwa 3 tu ….nawezaje kutulia na wakati umefanya namna hii Bwana sijaona namna hiii😭😭
@graceilahamis7017
@graceilahamis7017 2 месяца назад
Hakika Mungu ni mkubwa
@syrinemwikali7700
@syrinemwikali7700 Месяц назад
Wow what a testimony Glory glory glory to the Most High God 🙌 🙏
@benignendayizigiye224
@benignendayizigiye224 Месяц назад
@@syrinemwikali7700 amen Glory to our almight God🙏🏾🧎🏻‍♀️
@benignendayizigiye224
@benignendayizigiye224 Месяц назад
@@graceilahamis7017 sana tutaendelea kusema ukuu wake 🧎🏻‍♀️🙏🏾
@benignendayizigiye224
@benignendayizigiye224 Месяц назад
@@graceilahamis7017Mungu apewe sifa na nitaendelea kumshkuru Mungu kila nikikumbuka hilo 🧎🏻‍♀️🙏🏾
@denisbongore3098
@denisbongore3098 2 месяца назад
Wooooooooiiiiiiiii jmn mm huu wimbo naweza usikiliza ata kwa siku mara saba kama wako walioupenda huu wimbo kama mm naomba like zenu nimeshindwa kunyamaza jmn!!!!!!!
@festobumi
@festobumi Месяц назад
umekua sehemu ya maisha yangu! yaaan ashukuriwe Mungu❤❤❤❤❤
@DCH-681
@DCH-681 2 месяца назад
Nawezaje kunyamanza wakati umefanya sijaona namna hii ❤❤❤❤❤❤❤❤ 2024, I got my visa and traveled, my wife got promoted, sijaona namna hiii, asante Yesu
@BlessingBaraka-i1s
@BlessingBaraka-i1s 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza na yeye aliniponya kwa mlipuko wa bomu 2013 sahi najivunia Yeye pekee ndani ya maisha yangu, ni Blessing from Kenya🇰🇪
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki 2 месяца назад
AMINA.UTUKUFU KWA MUNGU
@FATUMANgala-j1z
@FATUMANgala-j1z Месяц назад
Amen sifa zimrudie mungu
@user-Joykananu
@user-Joykananu 2 месяца назад
I will be back with a testimony soon. God please remember me, I want to be part of this testimony. Someone please like my comment.
@kerubonancy5057
@kerubonancy5057 Месяц назад
Amen receive your testimony in Jesus name
@ingozescopion
@ingozescopion 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza wakati aliniponya na uraibu wa kamari na uvutaji wa bangi
@gracepaul5901
@gracepaul5901 2 месяца назад
Nilipata ajari mbaya sana nikielekea kazini nikiwa speed sana. Gari iliacha njia na kugonga Mti, kisha ikageuka na kurudi nilikotoka na kuniangusha tairi kushoto mbele na nyuma zikabaki ringi tupu.Mungu wangu akanitoa mzima kabisaa. Nikiwa naelekea Nairobi na Bus kampuni Easy coach baada ya Gari yetu kuondoka. ASB mlima wa Mayumayu uliyeyuka na kua matope, nyumba na ❤magari baadhi ikiwemo Bus LA Easy coach vikafunikwa na zaidi ya Watu 250 kufa. Nilipata attack ya kishindwa kupumua na kuvimba mwili wote nikiwa naendesha Gari . Mungu aliwezesha alinifikisha hadi getini kwangu. Hatimae hali ikazidi kua ngumu lakini niliweza kufikishwa hospital nikapata tiba ya dharula. Eeh Yesu ninakutenda dhambi kwa mawazo, maneno, matendo na kutitimiza amri zako. *Nisamehe Bwana* NAWEZAJE KUNYAMAZA SASA?
@ireneleonard4739
@ireneleonard4739 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza wakati Mungu ametenda makubwa kwangu nimehangaika n hormonal imbalance for 10 years n finally Mungu ametenda jambo jipya kwangu ! Tripplets on their way 🙏🙏🙏🙏naachaje kumsifu huyu Mungu mwenye matendo makubwa kwangu !!haikua rahisi kusubiri ila 18.08. 2024 God did it 🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
@dorynfao
@dorynfao 2 месяца назад
Glory to God🎉🎉🎉
@sarahoden1344
@sarahoden1344 Месяц назад
Hongera mamy shuhuda hzi zinanitia nguvu
@judyndaula6343
@judyndaula6343 Месяц назад
Glory be to God🙏🙏🙏🙏
@annafoya3851
@annafoya3851 Месяц назад
Glory be to God🙏
@RebecaKamwela-j1g
@RebecaKamwela-j1g Месяц назад
Groly to GOD.
@ebenezerchristopher9605
@ebenezerchristopher9605 2 месяца назад
Tunawezaje kunyamaza wakati Mungu umemuokoa mtumishi wako Dr. Ipyna na mauti ya ajali ❤️🙌🙌🙌
@saudaantony9152
@saudaantony9152 2 месяца назад
kwenye huu wimbo najisikia kulia tu😭😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamanii tusichoke kumshukuru na kumwabudu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@praiseandworship6293
@praiseandworship6293 2 месяца назад
Whoever reading this,God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen
@alexnyaga6606
@alexnyaga6606 2 месяца назад
Amen
@joanjohnson8308
@joanjohnson8308 2 месяца назад
Amen
@gracemunanie9313
@gracemunanie9313 2 месяца назад
Amen,am singing the song with much joy because I know He will do it for me
@joycelanda8987
@joycelanda8987 2 месяца назад
Amen
@JudithMsuya-pe1sx
@JudithMsuya-pe1sx 2 месяца назад
Ameen
@leah_km
@leah_km 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza mimi jaman 🥹 hapa dar nilkuja na kibeg tu cha mgongoni na kiswaswadu ila sasa Mungu amenipa kaz ya kufanya chumba chenye vitu vya kutosha 😭 na kabat lilolojaa nguo 🥹🥹😭😭 mimi ni nan jmn!! Leo Mungu kanipa na biashara yangu kabisa ndugu zangu wakija dar wanafikia dar na wanakula had wanasaza Ooh Lord!! Hi ni kubwa sana kwangu NAWEZAJE KUNYAMAZA MIMI 😭😭🙏
@SophiaChande
@SophiaChande 2 месяца назад
Be blessed Leah ❤️
@ZakiaSaid-wp6pm
@ZakiaSaid-wp6pm Месяц назад
Mungu mkubwa nahisi kulia machozi ya furaha Kwa ushuhuda huu😢
@lennykamau8100
@lennykamau8100 Месяц назад
Na sifa zimrejee mwenyezi mungu
@FATUMANgala-j1z
@FATUMANgala-j1z Месяц назад
God bless you more
@joycelanda8987
@joycelanda8987 4 дня назад
Oh Hallelujah!! Praise the Lord!!!
@Lioness_2407
@Lioness_2407 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza..Mungu umemponya mwanangu aliekua na matundu kwenye moyo mawili, nilikua nampeleka clinic Muhimbili kila baada ya miezi miwili...tangu kuzaliwa...now ana miaka 8 amepona bila operation wala dawa za hospitali...siwezi kunyamaza kabisaaa....eeeeh namna hii sijaona namna hii Yesu🙌🙌🙇
@FridaMwita
@FridaMwita 2 месяца назад
I can feel dear,siwez kunyamaza pia sickle cell,miez kumi na Moja Sasa mwanangu hajalala hospitali wala kuona mlango wa hosp,hajaongezewa damu,I ntank God for this,ilikua Kila week hosp Kila baada ya miez miwil tunalazwa anaongezewa damu.siwez kunyamaza mim😢
@Lioness_2407
@Lioness_2407 2 месяца назад
@@FridaMwita halafu mtu aje kuniambia et Yesu ni scam..aaah hapana jamani siwezi kunyamaza kabisaa huu wimbo naweza nikausikiliza siku mzima nisichoke kipenzi,Yesu ni mzuri mnoo🔥🔥🙌
@SophiaChande
@SophiaChande 2 месяца назад
❤❤❤❤
@mselledamas9078
@mselledamas9078 Месяц назад
Ooooh haleluya ninalia kushukuru kwaajili yako
@Lioness_2407
@Lioness_2407 Месяц назад
@@mselledamas9078 ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeen 🙌
@barakazakayo7000
@barakazakayo7000 2 месяца назад
Tuliokua tunaisubiria hii video tujuane jmn🙏🙏🙏🙏 Nawezaje kunyamazaa sasa❤❤❤ Barikiwaa sanaa Kaka Dr Ipyana❣️❣️❣️🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏
@goddiegilbert2147
@goddiegilbert2147 2 месяца назад
Nipo hapa kaka
@barakazakayo7000
@barakazakayo7000 2 месяца назад
@@goddiegilbert2147 Ameen sanaa kaka Barikiwaa 🙏🙏🙏🙏
@NadhiriBlessing
@NadhiriBlessing 2 месяца назад
Tupoooooo😅
@barakazakayo7000
@barakazakayo7000 2 месяца назад
@@NadhiriBlessing Ameeen kaka ♥️🙏🙏
@winnieprice5014
@winnieprice5014 2 месяца назад
Nimewasili hapa hallelujah 🎉
@MsMamemy
@MsMamemy 2 месяца назад
Jamani likes hazitoshi huu wimbo ni zaidi ya deliverance... Huyu mtumishi wa Mungu azidi kulindwa na damu ya Yesu na he is unstoppable hata shetani alipotaka kumzuia kwenda kuhudumu Rwanda hakuweza... Sijaona likes za kutosha from Rwanda let's thank God for the life of Dr Ipyana... Thumbs up from 🇷🇼🇹🇿🇰🇪🇺🇬.... Let love lead
@jackeminja9694
@jackeminja9694 2 месяца назад
Anyone from Tanzania likes here.
@elizabethjohnson4089
@elizabethjohnson4089 2 месяца назад
Ee Yesu sijaona namna hii siwezi kunyamaza, mengi uliyotenda kwenye maisha yangu, umenipa wazazi, umenipa mume, umenipa watoto wawili wazuri, umenipa kazi nzuri yenye heshima, na umenipa wadogo wazurii , Yesu siwez kunyamaza
@jacklinejuvenal2364
@jacklinejuvenal2364 2 месяца назад
Mungu BABA, ameniokoa na ajari mbaya , Lori limetugonga nilikuwa kwenye daladala.Hakika siwezi kunyamaza kama wengine wamefariki Mimi npo hai 🥺🥺🙏🙏😔
@sylviadanford9138
@sylviadanford9138 2 месяца назад
Nimetaza video hii Leo Leo usiku nikapokea pesa ya mtaji wa biashara ambao kisutegemea kama ntapata🎉❤😁nawezaje kunyamaza Yehova wakati umefanya kwangu...Glory to Jesus ,ubarikiwe sana Mtumishi hakika Bwana anakutumia kweli.Miujiza imekuja kwangu kama nilivyosema siku unatangaza unatoa hivi karibuni nikasema utoapo hii nyimbo Ije na muujiza wangu na God did❤❤❤fireeeeeee
@AnnalesiaFredrick-n5v
@AnnalesiaFredrick-n5v 8 дней назад
14 October 2024, soon nitarudi hapa kumshuhudia huyu Mungu....
@Olivier_Ndanyuzwe
@Olivier_Ndanyuzwe 2 месяца назад
Heavenly Father I pray that you keep the person reading this alive, safe, healthy and financially blessed Amen 🙏.
@judyndaula6343
@judyndaula6343 Месяц назад
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
@justinamautice9730
@justinamautice9730 29 дней назад
Amen 🙏🙏🙏
@REHEMACONERIOCOSTANCE
@REHEMACONERIOCOSTANCE 2 месяца назад
Naweza kunyamaza mim jmn wakat Mungu hamenitendea mumewangu alipo fariki ndug wa mumewangu walinipokonya kila kitu na mpka watt wangu wakawakata kbs nikawa sijui watt wangu watasomaje na wataishije, lkn Yesu halitenda akatoka mtu wa kuwasomesha watt wangu wote wa 3 tena shule za boding, jmn naweza kunyamaza mim zaid yakulitukuza jina lake
@MercyKundu-te7zi
@MercyKundu-te7zi Месяц назад
Niligonjeka kanza ya macho na ilikuwa imebaki one week na nikufe nilitolewa jicho moja sai niko na nko mzima na hilo jicho moja praise God 🙏🏾nitawezaje kunyamaza mm , Kenya's 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yusterjoseph3595
@yusterjoseph3595 Месяц назад
glory to God
@FATUMANgala-j1z
@FATUMANgala-j1z Месяц назад
Glory be to God
@cynthiaawuor-bk8eg
@cynthiaawuor-bk8eg 4 часа назад
Glory be to God
@faithmwangi6204
@faithmwangi6204 2 месяца назад
Like from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I can't get enough of this song😊.It is timely.I cannot afford to be silent to my God.The things He has done and the things He's doing are marvelous in my eyes.
@keziahmumina4507
@keziahmumina4507 2 месяца назад
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 loves you Doc Ipyana.. praying for your speedy recovery
@Sheddiengomar
@Sheddiengomar 2 месяца назад
Kama unaupenda wimbo huuu basiii eka emoji ya love kuashiria kuuupenda wimbo huuu
@RachelNgalya
@RachelNgalya 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@nabenderodgers1954
@nabenderodgers1954 2 месяца назад
Nawezaje kweli wee, moto pasi
@lutumbinduta1702
@lutumbinduta1702 2 месяца назад
❤❤❤❤
@lutumbinduta1702
@lutumbinduta1702 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤
@EmileLugendo
@EmileLugendo 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@mammai6798
@mammai6798 Месяц назад
Nawezaje kunyamaza Wkt Nilimuona Mungu live alivoshuka haraka kuniokoa baada ya kugonga Treni na gari lng tena nikiwa na firstborn wng wa miezi tuu alienizawadia Mungu baada ya uzazi kusumbua muda mrefu lkn hatukufa wala kuumia ! Ingawa gari lilikuwa hoi !
@FATUMANgala-j1z
@FATUMANgala-j1z Месяц назад
Sifa kwa mungu
@rosemarympatamali5172
@rosemarympatamali5172 2 месяца назад
Yesu aliyenipa watoto nawezaje kunyamanza sijaona Namna hiii❤❤❤❤❤❤❤❤
@yvonnekwikiriza9107
@yvonnekwikiriza9107 2 месяца назад
Here after Dr. Ipyana's public announcement of the accident. Shetani atashindwa milele. JESUS CHRIST is enthroned forever more AMEN.
@moseshunja1792
@moseshunja1792 2 месяца назад
Ashashindwa, hana nguvu. Mungu ni mwema.
@yvonnekwikiriza9107
@yvonnekwikiriza9107 2 месяца назад
@@moseshunja1792 AMEN
@naomiicks5178
@naomiicks5178 Месяц назад
Amen, don’t touch my anointed and do them no harm. Says the Lord psalm 105:15 so the Devil has to pay. He will not die but live to declare the goodness of the lord in the land of the living. May the angels of the lord protect him day and Night and his family too . We cover him with the blood of Jesus
@bambe117
@bambe117 Месяц назад
Number yake inapatikanaje
@lenahbrooke6096
@lenahbrooke6096 2 месяца назад
How can I not talk about Him when He has literally protected me from my evil workmates 🙏🙏😭😭😭😭
@anethteodos6208
@anethteodos6208 2 месяца назад
Yesu akutetee😢
@emmyhellen727
@emmyhellen727 2 дня назад
Mungu azidi kukutetea na Ushindi ni wako
@zebedayombera8213
@zebedayombera8213 2 месяца назад
Nawezaje kunyamanza umenitendea makubwa from rwanda 🇷🇼 like zetu ziko wapi tukishukuru mungu wetu tumeona rwanda 🇷🇼
@lizpallangyo8057
@lizpallangyo8057 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza hali Mungu amemponya Dr.Ipyana na roho ya mauti, nimekumbuka Mungu alivyoniokoa na ajali ya mauti,gari ya Noah iliponigonga na kunirusha mbele na kunipitia juu hadi leo nipo hai nina nguvu,namtukuza Mungu
@joyceassey2347
@joyceassey2347 2 месяца назад
Sitaweza kunyamaza Mungu anakwenda kunipa kazi nzuri ,,,nitarudi hapa hapa kupiga kelele zaidi siku si nyingi
@JoyceHaule-o7b
@JoyceHaule-o7b Месяц назад
Amina amina
@joyceassey2347
@joyceassey2347 Месяц назад
Here I am kupiga kelele na uyu Mungu jaman,,ametenda kwa kishindo acheni tu🙏🙏🙏🙏
@joyceassey2347
@joyceassey2347 Месяц назад
@@JoyceHaule-o7b Mungu amejibu
@anngithere7951
@anngithere7951 2 месяца назад
Siwezi kunyamaza kwa yale Mungu ametenda ntaimba nitaruka nitacheza kwa sababu ametenda eeeiiiii kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@geraldinho240
@geraldinho240 2 месяца назад
Nawezaje kulia wakati mungu umefanya Kama unamkubali dr ipyana tujuane like zene 👍👍👍
@pascalinamwabena99
@pascalinamwabena99 2 месяца назад
Sijaiona namna hii kwa taifa kama Tanzania kuinua watu wenye Roho ya uamsho wa kumuinua Mungu kwa ibada ya nyimbo nzuri namna hii sitoweza kunyamaza... Mungu akutunze chombo kiteule cha Mungu wetu shukrani apewe Mungu ametupendelea TZ
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki 2 месяца назад
AMINA.HUU NI USHUHUDA HALI YA JUU
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
@@CatherineNzekiamen❤
@NzwallaNzwalla-t9v
@NzwallaNzwalla-t9v 28 дней назад
najua sijachelewa sana naomba hata like moja, mimi siwezi kunyamaza🙇
@MagdaleneKemboi
@MagdaleneKemboi 4 дня назад
Naweza kunyamaza,aiyeeee
@boazdanken
@boazdanken 2 месяца назад
Namna hii sijaona namna God Bless you Mtumishi wa Mungu
@Israviwa7777
@Israviwa7777 2 месяца назад
Barikiwa zaidi Boaz Danken
@siashayo6466
@siashayo6466 2 месяца назад
Hakika hatuwezi kunyamaza mtumishi
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
Sijaona namna hiii blessing over blessing❤❤❤❤
@collinsshitandi6176
@collinsshitandi6176 Месяц назад
Barikiwa sana pia mtumishi wa Mungu.
@DavidMugunda
@DavidMugunda Месяц назад
Furaha festival Mbeya ❤❤❤
@jackeminja9694
@jackeminja9694 2 месяца назад
Dr ipyana ameshindwa kunyamazaa na amemtukuza Mungu hata kwa Hali aliyopitia siku ya uzinduzi WA nyimbo badooo Mungu amemtendea Nami cwez kunyamaza kumtukuz Mungu kwa ajili yake...Glory to God Bwana amejivika utukufu na heshima..Mungu yupo jamani
@tumainirwela6488
@tumainirwela6488 2 месяца назад
Alipitia hali gani?
@neboughtkalwila
@neboughtkalwila 2 месяца назад
@@tumainirwela6488 angalia video amepost kwenye akaunti yake, alipata ajali mbaya sana, Bwana kamtoa salama, ijapo alijeruhiwa
@reginakaniki4209
@reginakaniki4209 2 месяца назад
​@@tumainirwela6488alipata ajali my kagongwa na gari
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
@@tumainirwela6488alipata ajalii
@benbaratv4718
@benbaratv4718 2 месяца назад
like za dr ipyana hapa
@WycliffeMugoye
@WycliffeMugoye День назад
Nawezaje Kunyamaza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 the least in the house of the Lord is great than greatest in the darkness. I Love y’all who Loves Jesus a Christ.
@BettyGeorge-el1gb
@BettyGeorge-el1gb 2 месяца назад
Nawezaje kutulia wakati Yesu umefanya umenipa mume , umenipa kazi, umenipa na biashara kubwa, umewaokoa ndugu zangu. Na ulevi umemponya baba 😭😭😭 ee Yesu nmna hii sjaona namna hii🙌🏽🙌🏽
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
Sifa na utukufu n kwake ninaomba akatende nakwawengine wanaoteseka🙏🙏
@BettyGeorge-el1gb
@BettyGeorge-el1gb 2 месяца назад
Amen and ameeen 🙏🏿
@richardsangano6592
@richardsangano6592 Месяц назад
Mungu nimwema
@LightneesAgustino-q8t
@LightneesAgustino-q8t 22 дня назад
Wimbo unanibaliki sana ♥️❤️♥️♥️
@sikolianafula
@sikolianafula 2 месяца назад
2 weeks to my graduation Indeed the journey was not a walk in the park but my God did it for me Financially and in everything Jamani nawezaje kunyamaza🙇 Blessings🥳
@b.emmaqulate
@b.emmaqulate 2 месяца назад
Congratulations Mwana mhana❤ God has done it
@sikolianafula
@sikolianafula 2 месяца назад
@@b.emmaqulate amen yaya
@alicemwangi4909
@alicemwangi4909 2 месяца назад
🎉🎉🎉Nashangilia na kumpa Mfalme wa Amani ibada ya Sifa amenitendea siwezi kunyamaza🙏🙏🙏🙏
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
Cangatulation dr🎉❤
@markkyalo8583
@markkyalo8583 2 месяца назад
Lot's of love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God is lifting you for the sake of our generation! more Grace
@puritymakena2842
@puritymakena2842 2 месяца назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@BeatriceOchieng-t2w
@BeatriceOchieng-t2w 4 дня назад
@chrystonegybe1077
@chrystonegybe1077 2 месяца назад
🇰🇪🇰🇪This new song by Dr. Ipyana is nothing short of heavenly. The lyrics and melody touch the heart and lift the spirit. Every note of this song resonates with pure worship and praise. It's a beautiful reminder of the joy and hope we find in our faith. Truly uplifting thank you for this incredible blessing Man of God it's already hitting here in Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Siwezi nyamaza
@lydiawambui6470
@lydiawambui6470 2 месяца назад
Suffered depression since 2018 but am very free know,siwezi nyamaza....God has done it again
@JoyceHaule-o7b
@JoyceHaule-o7b Месяц назад
Nawezaje kunyamaza 2002 Mungu alinipinya na ajali mbaya ya tren Dodoma Mungu alinipa kazi nzuri serikalini nimetumikia miaka 34 leo nimestaafu kwa usalama bila shida yeyote nawezaje kunyamaza
@kipkiruigillie4332
@kipkiruigillie4332 2 месяца назад
Emmanuel Peter kwenye bass yuko hatari Sana ,kepha mndeme the MD pia anafanya kazi safiii 🔥 huku Kenya 🇰🇪 Moore love.. wimbo huu wa baraka na mvuto sana God bless you servant of the Lord Dr lpyana ...kenya ns twende na likes kama zotee
@anjelineo.ms.osindi9007
@anjelineo.ms.osindi9007 2 месяца назад
Just like the Samaritan woman in the book of John who couldn't keep quiet after meeting Jesus,,NAWEZAJE KUNYAMAZA JAMANI?
@annblessed111
@annblessed111 2 месяца назад
Amen my sister
@kapeljjkapeljj5407
@kapeljjkapeljj5407 2 месяца назад
Nilinyimwa visa mara 3 nikakata tamaa finaly mara ya4 nikapewa kirahis kabisa now niko US sjaona namna hii woow Glory to God
@josephinejoseph799
@josephinejoseph799 2 месяца назад
Nawazaje kunyamaza . Yesu aliniponya kivyimba cha mukichwa. He is our healer
@judithtz3509
@judithtz3509 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza Kwa vile tu Yesu alovyonitoa katika maisha ya mateso ya tatizo lakukosa choo,miaka kwa miaka ikifika swala la haja kubwa kwangu,ulikua ni msiba,madaktari uwezo wao uliishia kwenye hamna namna yakupona isipokua upasuaji,Yesu Kwa damu Yako umeniponya bureee,mimi Judith ni mzimaa mzimaa,mimi niliekua nakaa mawiki bila kupata choo,nanikija kukipata ni maumivu makali,lkn Leo Ninapata choo kawaida Kwa amani,nawezaje kunyamaza jamani wakati tatizo hili limechukua maisha wa wengine na mm umeniponya kabisaaaa.
@SophiaChande
@SophiaChande 2 месяца назад
Amen be blessed Judith ❤️
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
Blessing❤❤
@joycelanda8987
@joycelanda8987 17 дней назад
Amen! Glory to God!
@carlosmatto615
@carlosmatto615 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza wakati Mungu amenitendea makubwa katika maisha haya. Kwanza kabisa nimepona pumu iliyonisumbua kwa muda mrefu,Mungu aliniokoa katika ajali ambayo ingechukua uhai wangu. Pia,wengi walizani sitaweza kusoma kabisa lakini Mungu amenifunulia njia . Sitachoka kumtukuza Huyu Mungu aliye Mfalme wa Mbingu na Nchi.🙏
@marymwahalende5128
@marymwahalende5128 2 месяца назад
Huu wimbo imetoka siku ambayo nashukuru mungu kwa kuniongezea mwaka hakika nawezaje kinyamaza wakati yeye amenivusha na mengi tangu mwaka jana
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki 2 месяца назад
AMINA SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU
@shyrosueTumaini
@shyrosueTumaini 2 месяца назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪siwezi na sitawahi nyamaza kushuhudia Yale Mungu amefanya in my life......
@FayzaF-y6y
@FayzaF-y6y Месяц назад
Uliyenipa ujauzito full term miezi tisa adi Sasa napoelekea kwenye kujifungia na kwenda kumpokea mtoto wangu wa kiume niwewe tu umefanya...nakutumainia bwana siwezi nyamaza wala kutulia kwa Yale umetenda na utakayotenda Amina
@TrasielifasiElisha-c8x
@TrasielifasiElisha-c8x 2 месяца назад
Naitwa trasi elifasi nawezaje kunyamanza na ikiwa Mungu Amemsaidia mdogo wangu kupata ajira Sifa na utukufu vimludie Mungu 👏👏👏
@samwelelias-z3c
@samwelelias-z3c 2 месяца назад
Nawezaje Kunyamaza na kutulia kwa huyu Mungu jamani.... Aliyenifaulisha Mitihani yangu ya chuo 2023 miongoni mwa wanafunzi wa tano (5/43). Ninampenda Mungu jamn kwa kuwa anasikia maombi yetu. Nitamtukuza siku zote Na kwa wimbo sitanyamaza.Barikiwa sana Anointed Man of God. Hakika utavikwa taji kubwa MBINGUNI
@nasrahgdjuma930
@nasrahgdjuma930 2 месяца назад
Psalms 149:3 says, “Let them praise his name with dancing…Praise him with tambourine and dance…”3 In 2 Samuel 6:14-22, David dances before the Lord with all his might, providing us with a wonderful example of what it truly means to surrender to God in worship. Amen Amen
@butwawestonmwailubi
@butwawestonmwailubi 2 месяца назад
Ahsante MUNGU...NAMNA HII SIJAONA , MUNGU UTUKUZWE MILELE YOTE
@hakizimanasylvie5772
@hakizimanasylvie5772 2 месяца назад
Nawezaje kunyamanza kwa matendo makuu ulio nitendea 😭😭😭😭umenipigania umenitetea mpaka sasa tumaini langu ni ww YESU Christo,,,,,nawezaje kutulia kwa ulinzi wako juu ya familia yangu ninachoomba badilisha history ya familia yangu 😭😭usituache BABA yetu
@HappyShirima-k9t
@HappyShirima-k9t Месяц назад
Nawezaje kunyamaza Mungu wakati ulimponya baba angu mzazi ambae tuliangaika nae sio chini ya Miaka miwili alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo pamoja na inni ila mpaka Sasa baba angu Bado yupo na anaendelea vizuri eeeeh Mungu naomba uzid kumpigania baba angu Kila iitwapo leo nampenda sana baba angu ❤🙏
@sophiaabukutsa5739
@sophiaabukutsa5739 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza wakati umefanya🙌 Sophie here +254 Been trusting God for a job it had taken lonnnnng,but who is like our God,in his own way in his own time He has done it for me❤
@eglajebichii4543
@eglajebichii4543 2 месяца назад
Tapping this blessing in Jesus name 🙏🙏
@BrendaBoke-t3m
@BrendaBoke-t3m 2 месяца назад
What God cannot do, doesn't exist.
@littlephina33
@littlephina33 2 месяца назад
Hakika hatuwezi nyamaza Kwa anavyofanya... Nimempoteza Mama yangu mwaka Jana na ni mzazi niliyebaki nae Ila huyu Baba amefanya makubwa.. quick recovery nisivyotegemea, amesimama Nami kwa namna ya ajabu, now Niko na furaha, amenipa watu ambao wamesimama kama wazazi kwangu.... Oooh Mungu wa namna sijaona
@DicksonNelson-d1f
@DicksonNelson-d1f 2 месяца назад
Pole
@EliasBoniphace-oi4ww
@EliasBoniphace-oi4ww 2 месяца назад
Kwakweli wimbo huu ukawe faraja kwako 🤝
@littlephina33
@littlephina33 2 месяца назад
@@DicksonNelson-d1f 🙏❤️
@littlephina33
@littlephina33 2 месяца назад
@@EliasBoniphace-oi4ww 🙏❤️
@littlephina33
@littlephina33 2 месяца назад
@@DicksonNelson-d1f 🙏❤️
@herosonsylivester5165
@herosonsylivester5165 2 месяца назад
Hivi kwa mfano nanyamazaje wakati Yesu aliniponya ugonjwa nikapona kabisa kabisa 😭😭😭🕺🏿🕺🏿
@Matilda-qs5eo
@Matilda-qs5eo 2 месяца назад
Hakika Mungu ni mwema siwezi nyamaza kusimulia ukuu wake..siku ya tarehe 5August 2024 ameniepusha na ajali tukiwa tunarejea nyumbani kutoka kazini gari yetu iligongwa kwa nyuma ila Mkono wa Mungu ni mkuu mno tulifika salama wachache warijeruhiwa..
@neboughtkalwila
@neboughtkalwila 2 месяца назад
Bwana ni mwema sana, utukufu ni kwake
@Matilda-qs5eo
@Matilda-qs5eo 2 месяца назад
Amen
@antussatemba6676
@antussatemba6676 2 месяца назад
Mungu ni mwema❤
@MulasiKizungu
@MulasiKizungu 2 месяца назад
Germany niko hapa Mungu amefanya Nawezaje kunyamanza
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 2 месяца назад
Mungu akuponye mtumishi wake mapema, nawezaje kunyamaza wakati Mungu amefanya kwa kukuokoa na mauti
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki 2 месяца назад
AMINA NA ATAZIDI KUMPA MAISHA MAREFU ILI AMUIMBIE NA KUMTUMIKIA
@fridah-w8b
@fridah-w8b 2 месяца назад
Hallelujah. Umefanya Mungu wangu. Thank you Father ❤❤❤,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@puritymakena2842
@puritymakena2842 2 месяца назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@joycechelulei5194
@joycechelulei5194 2 месяца назад
🎉🎉🎉 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@officialquochezdonshwari2336
@officialquochezdonshwari2336 2 месяца назад
Wakenya tujuane hapa , gonga like
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Месяц назад
Kama umebarikiwa Sana na wimbo huu gonna like hapa, me nimebarikiwa SANA❤ JESUS
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 2 месяца назад
Mungu ana Watu jamani.. like za Kenya team gulf njooni muone Yesu anaenda ❤❤🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@SmartDigital-j6s
@SmartDigital-j6s 2 месяца назад
piga keleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee bila kunyamaza , mataifa yote gonga like
@NdalimaPaul
@NdalimaPaul Месяц назад
Namshukuru mung kwa matendo yake daima siwezi kunyamaza nitalitumuza jina lk milele kwa kumponya mke wng🙏🙏🙏⛪❤️ 2:07
@wamuyunguthari1523
@wamuyunguthari1523 2 месяца назад
Just seen your message over the accident. This is a true testimony that you are ordained to minister through songs. Quick recovery 🇰🇪🇰🇪🙏🙏
@faridaaloyce4330
@faridaaloyce4330 13 дней назад
Nawezaje kunyamaza Mungu amenipendelea kijana wangu mzuri ❤❤❤
@BrotherHoodMentality
@BrotherHoodMentality 2 месяца назад
I believe this is the Swahili version of Jesus Iye 🔥🙌🏽❤🇰🇪
@EliasBoniphace-oi4ww
@EliasBoniphace-oi4ww 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza kwakweli, nlikaa miaka 7 bila majibu ya jambo langu, hatimae Yesu alinijibu,, Lazima nisinyamaze kabsa🙏🙏
@KarimJerry-qb1gm
@KarimJerry-qb1gm 2 месяца назад
Waooh naweza kunyamaza kwa Yale Bwana umefanya kwenye maisha yangu 😭😭🙇🙇
@petermushi4024
@petermushi4024 2 месяца назад
🔥🔥🔥🔥
@faithmngongo3962
@faithmngongo3962 2 месяца назад
@nanyangeclara2222
@nanyangeclara2222 2 месяца назад
Nawezaje kunyamaza na wakati umetenda juu yangu na familia yangu. Naninaamini utatenda zaidi hayo. 🙏
@BeatriceMassae
@BeatriceMassae 6 дней назад
Nawezaj🙌🏻
@NessiJasonJournalist
@NessiJasonJournalist 2 месяца назад
Nitaweza aje kunyamaza wakati amenipa ushindi ,nimenyamazia kilio kwa miaka miwili sasa siwezi kunyamazia furaha,sijaona namna hii,,walioniahidi kilio huu mwaka nasherehekea ushindi na mungu kawanyamazisha,Mungu ni mkuu,Mungu yupo guys❤
@catherinedavid5902
@catherinedavid5902 2 месяца назад
Nikinyamaza nitakuwa mjinga😢😢Haya matendo ya Yesu jamani 🙌🏽🙏🏽
@janethnarsis188
@janethnarsis188 2 месяца назад
Haijalishi unapitia nini USINYAMAZEE msifu Mungu hata katika mapito yako Muamini kuwa amefanya Ameen
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 2 месяца назад
Adui ameshindwa kukuangamiza kwenye ajali ya gari! Kweli atuwezi kunyamaza wakati YESU amefanya.
@AngelaOrinaBosibori
@AngelaOrinaBosibori 2 месяца назад
Aki jameni tutembelee 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪. God is great Nawezaje kunyamaza.❤😊
@janeleennjeri7851
@janeleennjeri7851 2 месяца назад
Kwa kweli siwezi kunyamaza...sijaona matendo ya namna hii...🙌🙌🙏🙏ooh glory be the most high siwezi kutulia kamwe kwa maana nmeuona mko wake bwana maishani mwangu 😢😢nlipo fikiria nimefika mwisho kumbe ndo ulikua mwanzo wako Jehovah..kwa kweli sifa na shukrani ni zako baba yangu...nayakabidhi maisha yangu kwako familia yangu naikabidhi mkononi mwako mungu baba...sio kwa nguvu zangu mbali ni uwezo na matendo yako katika maisha yangu yesu kristo..nakutumainia bwana 🙌🙌🙏 🙏..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Далее
aespa 에스파 'Whiplash' MV
03:11
Просмотров 22 млн
Nita Amini (Live)
13:00
Просмотров 1,6 млн
Nikurejeshee
12:42
Просмотров 517 тыс.
Nathaniel Bassey   Hallelujah Challenge Praise Medley
13:48
Nice Ndatabaye Ft Dr ipyana - Umeamua Kunipenda.
11:17
Просмотров 515 тыс.
Israel Mbonyi - Kaa Nami
13:40
Просмотров 1,9 млн
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Vefa Serifova - Qurban Olum 2024 (Yeni Klip) 4K
3:35
ITZY "GOLD" M/V
3:20
Просмотров 14 млн
2Pac - Only Fear Of Death (Hamidshax Remix)
8:19
Просмотров 793 тыс.