Тёмный

DUUH!! SHEIKH PONDA AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA HALI NI MBAYA HAKUNA NAFUU YA MAISHA 

ICON TV TZ
Подписаться 179 тыс.
Просмотров 87 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@josephmbeya5973
@josephmbeya5973 3 месяца назад
Daima nimeendelea KUKUPENDA SHEKHE Ponda Issa Ponda hakika Mungu aendelee kukupa afya njema kwa kuendelea kuwa mkweli kama mjumbe wa Mwenyezi Mungu❤
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@fadhilyassin5772
@fadhilyassin5772 3 месяца назад
Angalau shekhe wetu umetusemea Allah akuhifadhi inshaallah
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 3 месяца назад
Unashindwa kuitikia Dua kazi asante kwa kutufatilia tu au unaogopa ​@@ICONTVTZ
@mayanigerald
@mayanigerald 3 месяца назад
Huyu ndo mufti wa dunia
@rosehaule6765
@rosehaule6765 3 месяца назад
Mungu skutunze mufti tunakuombea hali mbaya mnoo mlo mmoja watu kwa ss kila mmoja magojwa ni madonda ya tumbo aside kutema mlo usio na vitamins magojwa tu kutokana na kukola mlo lishee 😢
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 3 месяца назад
SIJAWAHI KUKUCHOKA WEWE MZEE ...NAKUPENDA SANA JAPO NI DINI TOFAUTI LAKINI I ALWAYS SALUTE YOU..NAPENDA JINSI ULIVYO MKWELI NAPENDA MAONO YAKO NAPENDA MISIMAMO ULIYONAYO...HUPENDI UNAFIKI WALA KUJIPENDEKEZA .WEWE NI ZAO LA WAISLAMU WA KWELI WASIOYUMBISHWA...
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@akramissa3393
@akramissa3393 3 месяца назад
Alhamdulilaah! Huwezi kuja ni jinsi gani your statement touched me. Hakika nawe si mbaguzi wa dini bali msimamia kweli na haki
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 месяца назад
Viongozi wetu wa Dini wengekua na misimamo ya kweli na haki Nchi yetu ingekuwa na maisha bora kwa raia wake
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
@@bennymochiwa4800🤝Tanzania ni Nchi ya kupigiwa mfano kwenye Dunia lakini uongozi na siasa mbaya bila ya kujali Wananchi wao. Watalii ni Bora kuliko Wananchi.
@mrishotufu6859
@mrishotufu6859 3 месяца назад
Kuhusu chakula niduniya nzima chakula kimepanda apanilipo unga wasembe 10kg dola5$
@IsackIsacksamson
@IsackIsacksamson 3 месяца назад
Shehe ponda mm ni mkristo nakukubali sana huna unafiki kabsa kama walivyowengi viongozi wa dini ufanyiwe heri na mnyezi Mungu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@fabby1181
@fabby1181 3 месяца назад
Huyu Shekhe siyo kiongozi wa kidini tuu lakini ni katika jamii kiujumla, Hongera sana mzee wangu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@pascalsafari3476
@pascalsafari3476 3 месяца назад
Shehe ponda mwenyezi mungu muumba wa mbingu ardhi akupe maisha marefu kwenye uso wa ardhi
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад
Samahani ndugu Jitahidi sana Unapoandika MUNGU ANDIKA kwa herufi kubwa hususani Herufi ya kuanzia.
@IbrahimuAmiry
@IbrahimuAmiry 3 месяца назад
Nilibahati kukaa na Sheikh PONDA zaidi ya mara moja,Kuna vitu niliviona kwake ambavyo vilinifanya nione kuwa Sheikh ana uwezo mkubwa na ktk SERIKALI YETU anweza kufit nafasi yyte ile,hongera sana baraza la Maimam kutuwakilisha vyema ktk walaka uu, MUNGU ajaalie niwe km Sheikh PONDA,ALLAH akuweke zaidi Sheikh wetu akuzidishie ulinzi zaidi 🤲
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@PrudencianaPkiyagi
@PrudencianaPkiyagi 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe katika maisha Yako nimeipenda hii sanaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@elimborandewario8922
@elimborandewario8922 3 месяца назад
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu, ubarikiwe sana baba
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Sheikh ponda Mungu akubariki sana umeongea ukweli mtupu.Tatizo linaloisumbua serikali hii ni ufisadi,rushwa na ubadhirifu.ufisadi,rushwa na ubadhirifu ni kama umehalalishwa na ni sifa.Mafisadi wanaimaliza sana nchi hii na wanaiba waziwazi bila kuchukuliwa hatua kana kwamba hakuna serikali na vyombo vya usalama vinavyohusika.
@allymganga3223
@allymganga3223 3 месяца назад
Apo msumali ni katiba ikiluusiwa laisi kushtakiwa mawazili kushtakiwa Kwa makosa ya makusudi na ata uzembe kutakuwa na uwoga lkn hii kuchekeana chekea kulindana U ccm umaskini Tanzania itakuwa ndoto
@respiciousbishubo1158
@respiciousbishubo1158 3 месяца назад
Upo sawa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 3 месяца назад
Asante sanaaa Shekhe, Mungu akubariki.
@dassustephen731
@dassustephen731 3 месяца назад
Serikali inayopenda kusifiwa Tu hata Kwa mambo yanayokwenda hovyo kabisa
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад
Shukran sana sheikh wetu ponda M.mungu akubariki
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@thomastemu3332
@thomastemu3332 3 месяца назад
I like sheekh ponda. You allways talk the truth
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up 3 месяца назад
Ni kweli kabisa
@YangaNews
@YangaNews 3 месяца назад
Mimi ni mkristo but leo nimeamini wapo watu duniani nje ya dini yaani100 shekh asante
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 3 месяца назад
Mimi ni mkrisoto lakini Mh shekhe Mungu akutunze sana sana , kwani nikiongozi unaongea kwaniaba ya wote bila kujali dini yeyote, kiukweli watanzania hawajawahi kuwa na nafuu ,nakuongea wanaogopa, huku tukiambiwa tumeingia uchumi wa kati huo uchumi wa kati kwaajili ya kuwa nufaisha vingozi wa serikali, watu wana teseka sana hakuna wakuwasemea , hongera sana shekhe, nahapo unatoa elimu ya kutosha juu yao, lakini sio wasikivu kabisa,
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@joejohn8115
@joejohn8115 3 месяца назад
Wewe usiwe mjinga, Hawa Waislam wote ni wanafiki. Tatizo lenu Wakiristo huwa mnanaswa kijinga na Taqqya yao. Hapo unachofanya ni kwa maslahi ya wao Waislam tu. Usifikiri atakuweka wewe mkristo kwenye interest zao
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 месяца назад
Mkristo gani wewe ujinga unakusumbua tu soma biblia uamke kifikra
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 3 месяца назад
@@charlesboniphace2249 hongera wewe usie na akili kwa wizi ulio nao sasa unaumia mbona utakoma mwakahuu
@ShaabanAbubakar-nx4vk
@ShaabanAbubakar-nx4vk 3 месяца назад
Hiidunia tu. Napita tu
@kajanksimon7432
@kajanksimon7432 3 месяца назад
shekhe ponda gombea mzee wetu unauwezo mkubwa sana na nimsema kweli huangalii anaeongoza ni mkristu au ni muislam hata kipindi cha magufuli ulikuwa unaongea ukweli mzee wangu Mungu akulinde sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 3 месяца назад
Asante sana shehe unaejitambua,usiye na unafiki wala ubaguzi, Umeongea ukweli na maneno yako ya hekima ,Mungu akulinde daima,akupe maisha marefu, Amen
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@YusuphRajabu-hz3pv
@YusuphRajabu-hz3pv 3 месяца назад
Mzee unahitaji Mauwa yako nimekupa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mzee leo kulasiku der eva anatungiwa shelia hali yakuwa wao hawajawai kumpambania masilai yake mzee sema tu japo watakusumbua ila kwasababu unalisemea taifa mungu atakulipa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 3 месяца назад
Shukrani sana shekhe umetusaidia wanyonge, na mola atasimama na wewe mpaka tupate ufumbuzi inshaallah, Tabarak Allah ashan halyqeen, Jazzak Allah kheri shekhe.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@asiaasia2908
@asiaasia2908 3 месяца назад
Shekh ponda issa ponda Mungu akujalie maisha marefu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@AndrewShiratu
@AndrewShiratu 3 месяца назад
Mzee hongera sana .viongozi wa dini mkiungana mkaamua kusema ukweri hawa mafisadi kinaereweka mapema tu.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 3 месяца назад
Asante shekher wetu kwa kusema ukweli
@albertvalentino130
@albertvalentino130 3 месяца назад
Hongereni Shura ya Maimamu kwa kusimamia kweli ---- Hivi hawa mafisadi " Tunawafuga au Wanafugana ? "
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 месяца назад
Huyu ndiye kiongoz sasa unaangalia ndan na inje she mimi ni mkirsto hua nakufatilia sana na nakukubali sana hakika mungu akupe maisha marefu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 3 месяца назад
Mungu akubariki sana mzee wetu shehe ponda Hakika umeongea ukweli tunaomba viongozi wa dini kama wewe
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@dignakanje4508
@dignakanje4508 3 месяца назад
Sheikh Asante kwakutusrmea watanzania wahali yachini.Kwasasa tunakula mlo mmoja kwasiku ,Kiukweli viongozi wetu hawaangalii kbisa maisha yamtanzania wahali yachini.Hla imekuwa ngumu sana,lakini wapo machawa wanaoshiba kupitia uchawa wao wanapinga hya nakutuletea siasa kwenye jmbo lauhai.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@kwisa4899
@kwisa4899 3 месяца назад
Huyu mzee ninampenda sana japo mimi ni mkristo ,lakini huyu Baba kichwa
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 3 месяца назад
Saana
@abuukarata9653
@abuukarata9653 3 месяца назад
Nadhani anachoongelea hakinaga dini. Hukuwa na haja ya kuweka mkristo. Anaongea maisha kwa jumla
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@DumishaTanzania
@DumishaTanzania 3 месяца назад
Kwanini umeona kuna umuhimu wa kusema "japo mimi ni mkristo"? Si unaweza kumpenda kwa matendo yake tu
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 3 месяца назад
Wachache sana wako hivyo. Huyu ndugu kajitahidi
@Donyo-rh8do
@Donyo-rh8do 3 месяца назад
Hongera Sana shrhe.. unaongea point tupu kisha kwa utulivu mkubwa. Una utulivu kwa kweli 👏👏👏
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@YussufPandu-es7ou
@YussufPandu-es7ou 3 месяца назад
Sijapata kuona sheikh madhubuti na ambaye si mnafiki kama sheikh ponda ,,hongera sheikh ponda wewe ni msema kweli na ni kipenzi cha watanzania wote na ni kipenzi cha mwenyezi mungu,mashehe wengi wa Tanzania ni wanafiki
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 3 месяца назад
KWELI MAISHA NI MAGUMU VITU BEI JUU SANA
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
Hakuna kitu kizuri kama Wananchi kuwa kitu kimoja msimamo mmoja. Siyo kusimama kwenye majukwaa na kuwadanganya Wananchi maskini.
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up 3 месяца назад
Asante sana Shekh Ponda MUNGU akubariki sana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@amadally5837
@amadally5837 3 месяца назад
Nakuomba ALLAH umhifadhi sheikh ponda
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад
Kumbe Shekhe uko vizuri Hata Mkaguzi mmoja alipoteza nafasi kutoa maono yake
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf 3 месяца назад
Asalaam Alekyum warahmatullah wabarakatuh... Asante sana kiongozi kwa kutetea maskini na wanyonge ... Kikubwa tujipange kwa uchaguzi wa mwakani
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@omargargaar5611
@omargargaar5611 3 месяца назад
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 3 месяца назад
Matatizo ya nchi yetu yanasababishwa na wezi waliochukua madaraka,kodi wanakusanya kila sehemu lakini wanashindwa kuisimamia kuboresha maisha ya watu.CCM ni tatizo kwa maisha yetu maana wameshindwa kututoa kwenye umasikini,
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@IddiKhamis-u6c
@IddiKhamis-u6c 3 месяца назад
Kweli CCM ndio kikwazo kikuu cha maendeleo ya Tanzania.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 месяца назад
Swadakta
@kingngojea
@kingngojea 3 месяца назад
Mimi ni mkristo lakini wewe ni shehee wangu nakupenda buree mungu akupe miaka mingi sanaaaaa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@chezariboy
@chezariboy 3 месяца назад
Hazungumziii mtu wa itikadi gani hampendi au anampenda,, ufahamu wako 0' kweli elimu haipo kichwani, SHEKHE ANAZUNGUZA UKWELI NA EVIDENCE KUPITIA REPORT ZA CAG, SHERIA ZILIVVYO, SHEKHE ANAZUNGUMZIA MALI ZA TAIFA ZINAVYOPOTEA bila huruma na ushahidi upo lakini hakuna hatua inayochukuliwa na wenye mamlaka,, japo mali za umma SIO ZA WAISLAM AU WAKRISTO zinaibwa huku mifumo nayo ikiwa ni mibovu tangu miaka yote.
@lwakainaza
@lwakainaza 3 месяца назад
Umekumbusha jambo muhimu shehe.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@irambadc5167
@irambadc5167 3 месяца назад
Huyu sheikh hana lolote,hakuna mta nzania aliyeshindwa kununua sembe,unatudhalilisha,watania wanafanya kazi,we mnafik
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 3 месяца назад
ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH WETU UZIDI KUSIMAMIA HAKI.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
Amin.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
Kusimamiya haki na kufundisha vijana Elimu alokuwa nayo.
@salimabdul4424
@salimabdul4424 3 месяца назад
Vizuri kwa taarifa nzuri..
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 месяца назад
Wezi na mafisadi ni viongozi wa juu wa selikari nani atakae washughulikia .
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@akramissa3393
@akramissa3393 3 месяца назад
Katika. Mashekhe naoamini kabisa kutoka moyoni kwamba Mwenyezi Mungu kawatuma kusimamia ukweli na HAKI basi huyu kwangu ni namba moja. Nasema Alhamdulilahi, Inshalaah upewe baraka na Nguvu nyingi kusimamia yaliyoyakweli Inshalaah🙏
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 месяца назад
Asante sana sheikh. Tanzania tumekuwa ombaomba kwaajiri ya uongozi mbaya. Tanzania ni tajiri, lakini fedha zinazoibiwa, ni nyingi sana na serikali haichuiuwi hatuwa. Tusidanganywe mambo hayaendi sawa. Basi hii ombaomba ya mikopo itapunguwa. Viongozi wa dini, musikae kijmya. Mukikaa kimya wananchi wa kawaida kwa kacha yetu ndiyo hawatasema kitu. Asante sana Sheikh kwa statement yako.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@lasttrumpettv1784
@lasttrumpettv1784 3 месяца назад
Barikiwa mtumishi kwa maneno ya hekima kwa jinsi ulivyowasilisha. Tumepokea
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 3 месяца назад
Shukran sheikh Ponda ni wakati muafaka kuwaombea kuachiwa walioko mahabusu kwa mda mrefu kwa tuhuma za ugaid
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 3 месяца назад
The only one 😇 shekhe ponda Allah akuweke miaka mingi ww sio mnafki...tujitahid kuwezavyo kuwaondoa ccm
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@KarimuMkini
@KarimuMkini 3 месяца назад
Thank you very much Shekh wetu Mungu akubariki Sana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@josephudoba5563
@josephudoba5563 3 месяца назад
Asante shekhe huo ndio ukweli watanzania tutafakari viongozi wetu ni waaina hani
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@panadomadola3064
@panadomadola3064 3 месяца назад
Shekh Ponda kwa kweli hali ya maisha ya watu huku mtaani ni mbaya sana na ufisadi na rushwa ndivyo vilivyo shamiri kwa sasa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 3 месяца назад
Sheikh Mponda umekuwa mtetezi wa HAKI mara zote. Kuhusu ufisadi kutamalaki nchi, SIO tatizo la Serikali (kama ulivyosema). Ufisadi umehalalishwa Kikatiba. Rais wa Nchi hafunguliwi mashtaka hata akifanya ufisadi wa aina yoyote. Rais akiwa FISADI (Kama ilivyoisha/ inavyoendelea kutokea), ripoti ya CAG haina nguvu ya kuwashtaki Viongozi mafisadi. Ktk mazingira haya nchi itaendelea kuingia kwenye Umasikini wa kutupwa..
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@ThobiasAlexander
@ThobiasAlexander 3 месяца назад
Wakristo mnajidhihirisha kuwa mmepewa ufahamu mkubwa,kwani hamuangalii ni nani anaongea,bali mnaangalia ni kipi kinaongelewa.Komenti nyingi sana nimeona hapo.Nitofauti kabisa kama angekuwa anaongea mkristo,tusingeona shukrani zikitoka upande mwingine namna hii.Mzee wangu nakupongeza sana kwa ukumbusho juu ya viongozi wetu.Ni kweli tuna wakati mgumu.Mungu akubariki.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 3 месяца назад
🙏
@JumaGwae-qw2qk
@JumaGwae-qw2qk 3 месяца назад
Kaka magufuli alipendwa sana na waislam sana soma koment za klip za magufuli tuone kama hamna koment nyingi za waislam sasa nikuulize magufuli alikua muislam acha udini kaka sote ni wahanga wa maisha magumu
@shabanizayumba5432
@shabanizayumba5432 3 месяца назад
Asante sana mzee,shekh Ponda,mungu akupe nguvu na akulinde n'a yote mabayo wanayokusudia mafisadi,umesema ukweli n'a. Mungu atakulinda,nchi yetu inamahali panapwaya katika suala zima la uongozi,kuna kulindana kwa viongozi wa juu.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@shakaurembo477
@shakaurembo477 3 месяца назад
Asante sana mzee umetisha 🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@hamzamajenja4891
@hamzamajenja4891 3 месяца назад
Hongera Sana shekhe Wangu Hakika wewe msema ukweli na umeletwa na mwenyezimungu akulinde na maadui Zako wote
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@wanguwangu34
@wanguwangu34 3 месяца назад
Huyu mzee yuko makini sana, big up, mimi nimekuwa kila siku najiuliza hivi hizi sheria zimetungwa na watanzania au wazungu?, mfano wewe mgombea halafu unateua wasimamizi wa uchaguzi ambao na wewe unashirika, pili mtu anapewa madaraka ya kufuta chama cghenye mamilioni ya watu, hongera sana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@MirajiOmary-jm7wc
@MirajiOmary-jm7wc 3 месяца назад
shekhe ahsante sana kwa kuliona hili na siyo kumpamba mtu halafu hakuna chochote kinacho fanyika
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@charlesmtangi9046
@charlesmtangi9046 3 месяца назад
Tuko pamoja shekhe wangu Allah azidi kujuongoza amina
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@mtigandibori7244
@mtigandibori7244 3 месяца назад
Mungu akupe maisha marefu na sauti yako isitoke masikioni kwao pengine wanaweza kuwa na hofu mioyoni mwao
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 3 месяца назад
Mashehe wetu tafuteni vyanzo vya pesa ili mjikwamue kimaisha iwapohuna vyanzo vya pesa utaona hali ya maisha ngumu shehe ponda
@daudykasherente8667
@daudykasherente8667 3 месяца назад
ACHA unafi​@@adamlubawa1281
@daudykasherente8667
@daudykasherente8667 3 месяца назад
​@@adamlubawa1281ACHA unafiki
@juliusmalanga7185
@juliusmalanga7185 3 дня назад
Mzee Ponda mungu akulinde wewe Baba yangu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 дня назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 3 месяца назад
Allah akulipe sheikh Hizi ndio kazi za viongozi wa dini
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@titus_maridhia
@titus_maridhia 3 месяца назад
Barikiwa Sana Sheikh Ponda
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@juliusmalanga7185
@juliusmalanga7185 3 дня назад
May God bless you Ponda we are dying in this country
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 дня назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 месяца назад
Sasa hivi maji yaneanza kukatika hovyo sijui kwanini wakati mito ilikuwa imejaa mpaka mvua inauwa watu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
Tusemage tuu ukweli .Tuache unafïki wa kupigapiga makofi hata pasipofaa.
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 3 месяца назад
Kweli😢
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
Jiulize makosa mnayo yafanya kwenye Nchi yenu. Mengi anokataza Mungu nyiye ndio mnayo yafanya.
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 3 месяца назад
BRAVO SHEKH PONDA NA SHURA YA MAIMAMU....MMEWAWAKILISHA MAMILIONI YA WATANZANIA BILA KUJALI DINI ZAO....MMEKUWA WAKWELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@DamasKihungu
@DamasKihungu 3 месяца назад
Hii inatokana na kuwa na bunge dhaifu lisilo na naono
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@dassustephen731
@dassustephen731 3 месяца назад
Kazi yao NI kusifiasifia serikali Tu.Nonsensw
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 3 месяца назад
She Ponda Kwa hakika Bila unafiki moyoni mwnangu Mwenyenzi MUNGU akujalie baraka,Ww ni mzalendo halizi nakweli ni nani WA Mnyanzi MUNGU.Ahla akujalie Rehema kubwakubwa nandogondogo Baba yeti.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@BakariMtangenange
@BakariMtangenange 3 месяца назад
Bakwata wataambiwa na serikal wakujibu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 3 месяца назад
Mungu akubariki sheikh Ponda mpenda aki si mkabila c mdini asante sana kwa mawaitha yako
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@HawangaMohamed
@HawangaMohamed 3 месяца назад
Asante sana shekhe endelea kutusemea kwa kweli hali ni mbaya sana nchi hii usichoke tunakuombea
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@DdAs-ti5bo
@DdAs-ti5bo 3 месяца назад
Mungu akuweke shekhr❤🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 3 месяца назад
TUKO PAMOJA SANA SHEIKHE WANGU...SHEHE MSEMA KWELI...WEWE NI KIONGOZI ❤
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 месяца назад
WELL SAID OUR LEADER SHEIK PONDA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 3 месяца назад
Shekhe Ponda umeongea ukweli mtupu. Mungu aendelee kukutunza.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@poolkingservices6928
@poolkingservices6928 3 месяца назад
Hongera sana kiongozi Shekh Ponda. Mungu akubariki sana kwa kutufunulia yote hayo. kwa kuwa wanao fanya ufisadi na ukiukaji wa haki za watanzania wanakijua vizuri kitabu cha Qumran Tukufu na wengine Biblia Takatifu na huapa kwavyo, Hukumu ya Mungu itawajia ghafla. Vyakula wanavyokula vilivyo patiala kwa fedha haramu wanavyolisha familia zao, elimu na majengo ya kifahari
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 месяца назад
Sheikh Ponda,gombea nafasi za ya uongozi siasa,nimekusikia sana na nimechoka.una uwezo.watu wanataka kukuona kuwa mbunge au Waziri 😂
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY 3 месяца назад
Sio sehem yake hiyo, nafasi aliyonayo ni kubwa mnoo.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 3 месяца назад
Huyu shekhe mzalendo sanaa mimi mkristo lakini nakukubali sana Tunakupenda sana!!
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@DamasKihungu
@DamasKihungu 3 месяца назад
Damasi mdudumbe nashukuru sana nikweli tunamaumivu makubwa sisi watu watchin. Tunaumizwa sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад
Kwanza ieleweke kuwa WAISLAMU SIO MAGAIDI. Sheria ya UGAIDI IONGEZEWE UKALI ILI MAGAIDI WAOGOPE KUFANYA UGAIDI WAO. Hilo ni pendekezo langu tu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад
paka hawezi kumkamata paka mwenzie wakati wa magufuli mlisema yy katili hana ubinadam ngoja tuone hii movie
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@gidongailo7174
@gidongailo7174 3 месяца назад
Wewe ulikuwa ukisema nini
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 3 месяца назад
ni mpumbav usiyejua utendalo
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 3 месяца назад
umeona ee ndugu hawa hawa walikua wanasema magu katili kwa akiwawajibisha mafisad
@muzzoonlinetv7446
@muzzoonlinetv7446 3 месяца назад
Kila mmoja atasemwa kwa maovu yake
@DdAs-ti5bo
@DdAs-ti5bo 3 месяца назад
Mungu akuweke shekhr
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@MasoudSnani
@MasoudSnani 3 месяца назад
hio title na anachoongea sheikh mbona haviendani? neno kukosoa au kukemea na hio sound ya Sheikh no tofauti sana. yeye kama kiongozi wa dini katoa maoni yake na sio hio tittle yenu.
@allymusira2153
@allymusira2153 3 месяца назад
Yaani hawa jamaa walishatuona wajinga ni vichwa vyao vya habari
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@enockgogy5458
@enockgogy5458 3 месяца назад
Asant mzee wang kpitia ayo mauzui itanibidi nisilimu kabisa napenda ukweli sana asa mtu anasimama kuongea ukweli inapendeza sana .. awa wengine wamebaki kuzikomba nakjikosa ili waonekane nawakat mnaviki wakbwa sana .. inchi awezi kpata unafuu uku mafuta yakiwa zuuu wee ptroli paka iko juu paka tunajiuliza tnaenda wap naviongozi wapo wamenyamaza au ndio nchi imeizwa kama inavyo daiwa
@mansourkhamis457
@mansourkhamis457 3 месяца назад
Karibu kwenye Uislamu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@AmaniFundi-c7z
@AmaniFundi-c7z 3 месяца назад
Shekhe Mw.mungu akuweke sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад
Sheikh ponda tuko pamoja sema kweli. Msaidie mama samia. Hao viongozi wengi wanamuangusha mama samia. Wana kula.pesa tu.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 3 месяца назад
Salim, ndugu yangu usimtete mtu mwovu hats kama ni WA Dini yako wala ndugu yako ni dhambi mbaya!!! Rais Kwa mujibu wa katiba yetu ana mamlaka yote, sasa unaposema anaangushwa asaidiwe anaangushwaje na watu walio Chini yake na ndiye mwenye mamlaka nao!!! Salim ogopa Sana kuwa MDINI penda sana kuwa MWANADI!!!
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@salmajafari6838
@salmajafari6838 3 месяца назад
Hivi ilikuwaje Samia mama Abdull akawa raisi, maana mie sikupiga kura
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 3 месяца назад
Mama anakopa kila siku alafu fedha zinaibiwa na wachache
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@Rashid-pk4ge
@Rashid-pk4ge 3 месяца назад
Allah akulinde Sheikh
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 месяца назад
Leo shekh PONDA nipo na wewe hapo kwenye ufisadi.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@Trys6254
@Trys6254 3 месяца назад
I don't understand the language but to be honest shekhe ponda ni mtu na nusu big up sana 😅
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@KiagoBakari
@KiagoBakari 3 месяца назад
Huyu aache usheikh aende tu kwenye siasa hamna sheikh hapa huyu ni sheikh siasa au sheikh ubwabwa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@robertphilip385
@robertphilip385 3 месяца назад
Mbona wafalme wa Sadia Arabia ni wanasiasa ponda hanakasa ktk hili Wacha asemeukweli
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 3 месяца назад
Huyo ni mwananchi na Ana haki,kikatiba, kuongea mambo ya dini na siasa.Kama humuungi mkono kwa hayo basi ni hiyari yako,nawe una uhuru
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 3 месяца назад
Hana ukweli Tatizo la mashehe wetj baadhi yao hawana vyanzo vya pesa wanategemea pesa za ibada ziwaendeshe kimaisha
@bakarifakih4228
@bakarifakih4228 3 месяца назад
hayo ni maoni yako, tena inaonesha ulivokuwa mbinafsi kwa shekh wetu
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze 2 месяца назад
Hongeraa shekhe halafu watu utasikiya mitano tenaa pumbavu haliyakuwa watu wafa njaa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 2 месяца назад
Asante Kwa kutufatilia
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 3 месяца назад
Jazaaka llaahu kheir shekh,Allah akubarik sana,kiukweli hali huku mtaani ni ngumu sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@hayahamtu7512
@hayahamtu7512 6 дней назад
Mungu akupe maisha malefu wewe ni mfano wa kuigwa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 6 дней назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@fadhilihussein6580
@fadhilihussein6580 3 месяца назад
Asante Sheikh
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@Adonkamotci
@Adonkamotci 3 месяца назад
Uko vizuli sana shekhe wangu mponda👏👏
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@CharlesAlly-jp1ms
@CharlesAlly-jp1ms 3 месяца назад
Kwa hili uko vizuri sana shida watanzania tunakazi yakushangilia simba na yanga hongera sana😂😢
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@AbdallaDaudi
@AbdallaDaudi 3 месяца назад
Ni kwel kabisa shekh viongoz wet wana matumbo jaba yasiyo jaa wamezid tamaa wakidhan pesa waenda nazo mbinguni
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 3 месяца назад
Shekh mwenyezi mungu akupe kheri katika dunia insha allah. Ni kweli ufisadi unaofanywa na waliopewa dhamana ni muda sasa unakuwa ni suala la kawaida, ila wapo waliokamatwa na kilo 4 za nyama ya swala walisha hukumiwa vifungo na kama khisan za baadhi ya mawakili wangeozea magerezani😢😢
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@mackjonathan1005
@mackjonathan1005 3 месяца назад
Hivi ww ni nani kama sheikh anajitokeza kusema ukweli wa mwenyezi mungu arafu utasikia oooh anamkosoa rais, kumbuka rais ni cheo tu ila ni binadamu anakosoa lzm akosolewa na ajue hapa hapana nilekebishe mm naumia sana kuona hii inchi tunaenda wapi nduguzanguni, tuna haki ya kusema tusipo sema tukasemee makaburin maisha magumu sana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 3 месяца назад
Tatizo viongozi wetu kukosolewa hawataki wamekuwa ni miungu watu
@issaomari5297
@issaomari5297 3 месяца назад
Naumia sana majinga mengi hayajui kuhusu hili mm ni msomi sijsifu ila Tz itabadilika mpka wasomi waongezeke sana kama majiran zetu ndomaana wanajua wajibu wao na haki zao za msingi kwasasa ngja watz wawe wanaelimika taratibu mbelen itatatua changamoto ...maana nchi ikiwa na watu wengi hawajitambui wanaumia huku wanacheka wakiwa na vilio vya machozi
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@zaydamos874
@zaydamos874 3 месяца назад
Safi sana sheikh ponda we n msema kweli miaka yote ujawah kuongopa Wala kusingizia jambo na ndio maana mungu anakusimamia
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@AmaniFundi-c7z
@AmaniFundi-c7z 3 месяца назад
Hakununuliki chochote shekhe ongea tu ukwel mungu atakulinda maisha niyakwao wao.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 3 месяца назад
Aksante sana bro. Ponda. Shekhe, kwa muda mrefu nimekuwa nimekukubali kutokana na msimamo wako. Leo kwa clipp hii umejiongezea sifa. Umetekeleza wajibu wako kwa umma. Umenigusa sana hasa pale ulipomvaa braza Isidori Mpango kuhusu ufisadi. Na katika yote haya nazidi kukuhakukishia utaendelea kuwa katika orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya Tanzania. Usijebadilika endelea hivo hivo. Naam na salaam zako hizi kupitia clipp hii, naomba sana zimfikie rais, mzee Steave Wasira, sheikh Mwaipopo, rafiki yangu ustaadhi Gershon Msigwa na wote kwa ujumla si rahisi kuwataja hapa, itifaki imezingatiwa.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 3 месяца назад
Asante Kwa Kutufuatilia
Далее
Alichokisema, Sheikh Ponda, Baada ya Kuonana na Lissu
10:16