Mungu skutunze mufti tunakuombea hali mbaya mnoo mlo mmoja watu kwa ss kila mmoja magojwa ni madonda ya tumbo aside kutema mlo usio na vitamins magojwa tu kutokana na kukola mlo lishee 😢
SIJAWAHI KUKUCHOKA WEWE MZEE ...NAKUPENDA SANA JAPO NI DINI TOFAUTI LAKINI I ALWAYS SALUTE YOU..NAPENDA JINSI ULIVYO MKWELI NAPENDA MAONO YAKO NAPENDA MISIMAMO ULIYONAYO...HUPENDI UNAFIKI WALA KUJIPENDEKEZA .WEWE NI ZAO LA WAISLAMU WA KWELI WASIOYUMBISHWA...
@@bennymochiwa4800🤝Tanzania ni Nchi ya kupigiwa mfano kwenye Dunia lakini uongozi na siasa mbaya bila ya kujali Wananchi wao. Watalii ni Bora kuliko Wananchi.
Nilibahati kukaa na Sheikh PONDA zaidi ya mara moja,Kuna vitu niliviona kwake ambavyo vilinifanya nione kuwa Sheikh ana uwezo mkubwa na ktk SERIKALI YETU anweza kufit nafasi yyte ile,hongera sana baraza la Maimam kutuwakilisha vyema ktk walaka uu, MUNGU ajaalie niwe km Sheikh PONDA,ALLAH akuweke zaidi Sheikh wetu akuzidishie ulinzi zaidi 🤲
Sheikh ponda Mungu akubariki sana umeongea ukweli mtupu.Tatizo linaloisumbua serikali hii ni ufisadi,rushwa na ubadhirifu.ufisadi,rushwa na ubadhirifu ni kama umehalalishwa na ni sifa.Mafisadi wanaimaliza sana nchi hii na wanaiba waziwazi bila kuchukuliwa hatua kana kwamba hakuna serikali na vyombo vya usalama vinavyohusika.
Apo msumali ni katiba ikiluusiwa laisi kushtakiwa mawazili kushtakiwa Kwa makosa ya makusudi na ata uzembe kutakuwa na uwoga lkn hii kuchekeana chekea kulindana U ccm umaskini Tanzania itakuwa ndoto
Mimi ni mkrisoto lakini Mh shekhe Mungu akutunze sana sana , kwani nikiongozi unaongea kwaniaba ya wote bila kujali dini yeyote, kiukweli watanzania hawajawahi kuwa na nafuu ,nakuongea wanaogopa, huku tukiambiwa tumeingia uchumi wa kati huo uchumi wa kati kwaajili ya kuwa nufaisha vingozi wa serikali, watu wana teseka sana hakuna wakuwasemea , hongera sana shekhe, nahapo unatoa elimu ya kutosha juu yao, lakini sio wasikivu kabisa,
Wewe usiwe mjinga, Hawa Waislam wote ni wanafiki. Tatizo lenu Wakiristo huwa mnanaswa kijinga na Taqqya yao. Hapo unachofanya ni kwa maslahi ya wao Waislam tu. Usifikiri atakuweka wewe mkristo kwenye interest zao
shekhe ponda gombea mzee wetu unauwezo mkubwa sana na nimsema kweli huangalii anaeongoza ni mkristu au ni muislam hata kipindi cha magufuli ulikuwa unaongea ukweli mzee wangu Mungu akulinde sana
Mzee unahitaji Mauwa yako nimekupa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mzee leo kulasiku der eva anatungiwa shelia hali yakuwa wao hawajawai kumpambania masilai yake mzee sema tu japo watakusumbua ila kwasababu unalisemea taifa mungu atakulipa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shukrani sana shekhe umetusaidia wanyonge, na mola atasimama na wewe mpaka tupate ufumbuzi inshaallah, Tabarak Allah ashan halyqeen, Jazzak Allah kheri shekhe.
Sijapata kuona sheikh madhubuti na ambaye si mnafiki kama sheikh ponda ,,hongera sheikh ponda wewe ni msema kweli na ni kipenzi cha watanzania wote na ni kipenzi cha mwenyezi mungu,mashehe wengi wa Tanzania ni wanafiki
Matatizo ya nchi yetu yanasababishwa na wezi waliochukua madaraka,kodi wanakusanya kila sehemu lakini wanashindwa kuisimamia kuboresha maisha ya watu.CCM ni tatizo kwa maisha yetu maana wameshindwa kututoa kwenye umasikini,
Hazungumziii mtu wa itikadi gani hampendi au anampenda,, ufahamu wako 0' kweli elimu haipo kichwani, SHEKHE ANAZUNGUZA UKWELI NA EVIDENCE KUPITIA REPORT ZA CAG, SHERIA ZILIVVYO, SHEKHE ANAZUNGUMZIA MALI ZA TAIFA ZINAVYOPOTEA bila huruma na ushahidi upo lakini hakuna hatua inayochukuliwa na wenye mamlaka,, japo mali za umma SIO ZA WAISLAM AU WAKRISTO zinaibwa huku mifumo nayo ikiwa ni mibovu tangu miaka yote.
Katika. Mashekhe naoamini kabisa kutoka moyoni kwamba Mwenyezi Mungu kawatuma kusimamia ukweli na HAKI basi huyu kwangu ni namba moja. Nasema Alhamdulilahi, Inshalaah upewe baraka na Nguvu nyingi kusimamia yaliyoyakweli Inshalaah🙏
Asante sana sheikh. Tanzania tumekuwa ombaomba kwaajiri ya uongozi mbaya. Tanzania ni tajiri, lakini fedha zinazoibiwa, ni nyingi sana na serikali haichuiuwi hatuwa. Tusidanganywe mambo hayaendi sawa. Basi hii ombaomba ya mikopo itapunguwa. Viongozi wa dini, musikae kijmya. Mukikaa kimya wananchi wa kawaida kwa kacha yetu ndiyo hawatasema kitu. Asante sana Sheikh kwa statement yako.
Sheikh Mponda umekuwa mtetezi wa HAKI mara zote. Kuhusu ufisadi kutamalaki nchi, SIO tatizo la Serikali (kama ulivyosema). Ufisadi umehalalishwa Kikatiba. Rais wa Nchi hafunguliwi mashtaka hata akifanya ufisadi wa aina yoyote. Rais akiwa FISADI (Kama ilivyoisha/ inavyoendelea kutokea), ripoti ya CAG haina nguvu ya kuwashtaki Viongozi mafisadi. Ktk mazingira haya nchi itaendelea kuingia kwenye Umasikini wa kutupwa..
Wakristo mnajidhihirisha kuwa mmepewa ufahamu mkubwa,kwani hamuangalii ni nani anaongea,bali mnaangalia ni kipi kinaongelewa.Komenti nyingi sana nimeona hapo.Nitofauti kabisa kama angekuwa anaongea mkristo,tusingeona shukrani zikitoka upande mwingine namna hii.Mzee wangu nakupongeza sana kwa ukumbusho juu ya viongozi wetu.Ni kweli tuna wakati mgumu.Mungu akubariki.
Kaka magufuli alipendwa sana na waislam sana soma koment za klip za magufuli tuone kama hamna koment nyingi za waislam sasa nikuulize magufuli alikua muislam acha udini kaka sote ni wahanga wa maisha magumu
Asante sana mzee,shekh Ponda,mungu akupe nguvu na akulinde n'a yote mabayo wanayokusudia mafisadi,umesema ukweli n'a. Mungu atakulinda,nchi yetu inamahali panapwaya katika suala zima la uongozi,kuna kulindana kwa viongozi wa juu.
Huyu mzee yuko makini sana, big up, mimi nimekuwa kila siku najiuliza hivi hizi sheria zimetungwa na watanzania au wazungu?, mfano wewe mgombea halafu unateua wasimamizi wa uchaguzi ambao na wewe unashirika, pili mtu anapewa madaraka ya kufuta chama cghenye mamilioni ya watu, hongera sana.
BRAVO SHEKH PONDA NA SHURA YA MAIMAMU....MMEWAWAKILISHA MAMILIONI YA WATANZANIA BILA KUJALI DINI ZAO....MMEKUWA WAKWELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
She Ponda Kwa hakika Bila unafiki moyoni mwnangu Mwenyenzi MUNGU akujalie baraka,Ww ni mzalendo halizi nakweli ni nani WA Mnyanzi MUNGU.Ahla akujalie Rehema kubwakubwa nandogondogo Baba yeti.
Hongera sana kiongozi Shekh Ponda. Mungu akubariki sana kwa kutufunulia yote hayo. kwa kuwa wanao fanya ufisadi na ukiukaji wa haki za watanzania wanakijua vizuri kitabu cha Qumran Tukufu na wengine Biblia Takatifu na huapa kwavyo, Hukumu ya Mungu itawajia ghafla. Vyakula wanavyokula vilivyo patiala kwa fedha haramu wanavyolisha familia zao, elimu na majengo ya kifahari
hio title na anachoongea sheikh mbona haviendani? neno kukosoa au kukemea na hio sound ya Sheikh no tofauti sana. yeye kama kiongozi wa dini katoa maoni yake na sio hio tittle yenu.
Asant mzee wang kpitia ayo mauzui itanibidi nisilimu kabisa napenda ukweli sana asa mtu anasimama kuongea ukweli inapendeza sana .. awa wengine wamebaki kuzikomba nakjikosa ili waonekane nawakat mnaviki wakbwa sana .. inchi awezi kpata unafuu uku mafuta yakiwa zuuu wee ptroli paka iko juu paka tunajiuliza tnaenda wap naviongozi wapo wamenyamaza au ndio nchi imeizwa kama inavyo daiwa
Salim, ndugu yangu usimtete mtu mwovu hats kama ni WA Dini yako wala ndugu yako ni dhambi mbaya!!! Rais Kwa mujibu wa katiba yetu ana mamlaka yote, sasa unaposema anaangushwa asaidiwe anaangushwaje na watu walio Chini yake na ndiye mwenye mamlaka nao!!! Salim ogopa Sana kuwa MDINI penda sana kuwa MWANADI!!!
Shekh mwenyezi mungu akupe kheri katika dunia insha allah. Ni kweli ufisadi unaofanywa na waliopewa dhamana ni muda sasa unakuwa ni suala la kawaida, ila wapo waliokamatwa na kilo 4 za nyama ya swala walisha hukumiwa vifungo na kama khisan za baadhi ya mawakili wangeozea magerezani😢😢
Hivi ww ni nani kama sheikh anajitokeza kusema ukweli wa mwenyezi mungu arafu utasikia oooh anamkosoa rais, kumbuka rais ni cheo tu ila ni binadamu anakosoa lzm akosolewa na ajue hapa hapana nilekebishe mm naumia sana kuona hii inchi tunaenda wapi nduguzanguni, tuna haki ya kusema tusipo sema tukasemee makaburin maisha magumu sana.
Naumia sana majinga mengi hayajui kuhusu hili mm ni msomi sijsifu ila Tz itabadilika mpka wasomi waongezeke sana kama majiran zetu ndomaana wanajua wajibu wao na haki zao za msingi kwasasa ngja watz wawe wanaelimika taratibu mbelen itatatua changamoto ...maana nchi ikiwa na watu wengi hawajitambui wanaumia huku wanacheka wakiwa na vilio vya machozi
Aksante sana bro. Ponda. Shekhe, kwa muda mrefu nimekuwa nimekukubali kutokana na msimamo wako. Leo kwa clipp hii umejiongezea sifa. Umetekeleza wajibu wako kwa umma. Umenigusa sana hasa pale ulipomvaa braza Isidori Mpango kuhusu ufisadi. Na katika yote haya nazidi kukuhakukishia utaendelea kuwa katika orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya Tanzania. Usijebadilika endelea hivo hivo. Naam na salaam zako hizi kupitia clipp hii, naomba sana zimfikie rais, mzee Steave Wasira, sheikh Mwaipopo, rafiki yangu ustaadhi Gershon Msigwa na wote kwa ujumla si rahisi kuwataja hapa, itifaki imezingatiwa.