Тёмный

DUUUH!! SHABIKI WA SIMBA AONGEA KWA UCHUNGU, SIMBA HII BADO SANA, YANGA WANA TIMU, SISI TUNAJITAFUTA 

Truth Media
Подписаться 68 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Truth Media
Kuwa Kwanza Kupata Habari Za Uhakika Kutoka Hapa Truth Media
Hakika ni za kweli

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 131   
@peterstewart9935
@peterstewart9935 23 дня назад
Feruzi umeeleweka,,,nimekuelewa,na upo sahihi kabisa.
@mussasalum652
@mussasalum652 22 дня назад
Kaka nimekuelewa hoja zako big up
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 21 день назад
straiker anakimbia anafumba macho😂😂😂
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 23 дня назад
Hao hawawezi kukuelwa kwa vile wamekalia oohh bahasha, oohh gsm, oohh wanakunywa supu, oohh wachawi, oohh wanapendelewa, bas vurugu mtupuuuuuuuu.
@dawayao2837
@dawayao2837 23 дня назад
Jamaa anaongea ukweli ambao haupendwi na mashabiki wengi wa simba! Ninachokiona mimi pale simba bado wanaishi kimazoea na kufanya mambo ya kizamani wakati muda umeshatuacha na mambo yamebadilika sana, simba ikitaka kuhama huko iliko inatakiwa mabadiliko ya uongozi na uwekezaji, mfadhili mwingine pia mwenye kiu ya mafanikio na sio ujanja ujanja unaondelea pale simba! Scouting ya simba ni mbovu haijawahi kutokea, pale simba kwa Sasa labda ashuke Malaika Kuja kufanya miujiza lakini kwa Sasa simba ni kama mtibwa tu hakuna tofauti
@ratybkheir8674
@ratybkheir8674 22 дня назад
Mambo ninayoyapenda haya 😂😂😂
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
Napenda waendelee kufarakana 😂
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
​@@jaffjeff6912na watatafutana msimu huu 😂😂😂 ,
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
@@errydeo8865 muda simrefu utawasikia kocha aendani na timu au atumtaki Mangungu 😂 😂 tumemis sana hivo vitu
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
@@jaffjeff6912 aisee,msimu huu utakuwa raha sana! Weshaanza,Yanga wanatumia madawa ya kuongeza nguvu🤣🤣🤣( sio uchawi tena) kocha wao,bado hajawashiwa moto, na msauzi asivyopenda kuwakiwa na mweusi! ( Mkaburu yule) Wee?
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
Huyu si alikua anasifia usajili😂😂😂? Sasa hivi vipi! Huyu huyu! Kasifia sana Mo! Na Bado! Mechi moja tu mnalia, subirini 😂😂😂
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 23 дня назад
😂😂 safiii,eti unajenga tim kwa ma MVP wanchi za kigeni,wasidanganye watu😂😂🎉🎉🎉
@frankcryk3241
@frankcryk3241 16 дней назад
nimechukua hii brother Yule mtoto alivyo na akiliiiii kazi tunayo
@josephgalandu128
@josephgalandu128 16 дней назад
😂😂😂😂😂Mshambuliaji kafumba macho!
@josephgalandu128
@josephgalandu128 17 дней назад
Bado kaka,mazoea yanatabuuu
@DenisSanga-bj5ud
@DenisSanga-bj5ud 22 дня назад
Feruzi Mimi nakuelewa endelea kutujengea timu yetu wewe na Miraji tupo nyuma yenu tunaopenda maendeleo ya Simba
@priscamboya3091
@priscamboya3091 22 дня назад
Nyie mnamtukana mtu Kwa kuongea ukweli mnazidi kulilaani timu lenu shauri yenu
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
Hao ukiwaambia timu nzuri Haina shida wanakupigia makofi ila ukikosoa utatengwa
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 19 дней назад
Hawa ndio simba wenye kujitambua sio wale simba oya oya
@BennBenn-es5fi
@BennBenn-es5fi 11 дней назад
😂😂😂😂 Simba ilikua bora wakati Yanga walikua hawana uwezo.
@JumaBega-ro7du
@JumaBega-ro7du 23 дня назад
Simba wanachukua wachezaji ambao hawana viwango
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 23 дня назад
Kolo wote kama mngekuwa kama huyu mwenzenu mngekua tayali mko mbali sana huu ndo ukweli mchungu kolo fungukeni mnadanganywa na viongozi wenu wabovu duniani koye hakuna mhindi anaendesha club yampira zaidi ya rugby
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
Hamna kitu, alikuwa anasifia usaji wao😂😂sasa HIVI wameanza kuona hamna usajili wa bilioni 7😂😂! MO NA UONGOZI,na msemaji wao, wanawadanganya! Na namwambia kolo msimu huu, watapigwa sana !
@AdolophinaShawa-pd8yo
@AdolophinaShawa-pd8yo 22 дня назад
Acha inyeshe tuone panapovuja😢😢
@Zaka-hv9ui
@Zaka-hv9ui 13 дней назад
Hahahaaaa makolo hawapendi kuwaambia ukweli
@SINDAWAWA
@SINDAWAWA 23 дня назад
Upo vizuri sana jamaa yangu na Brandi itashuka sana
@hellenmchomvu6296
@hellenmchomvu6296 21 день назад
😅😅Nimecheka kwa nguvu
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 23 дня назад
Nyiye mashabiki wasimba msikileni sana anachoongea Nasoro hapo mmekalia kumsikiliza msemaji wenu na porojo zake kila mala
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 21 день назад
Simba ubabaishaji kwenye sajili unashida pia uongozi haunawatu wa mpira
@hoseadyson4474
@hoseadyson4474 23 дня назад
Daa feruzi toka nimekufahamu leo umeongea ukweli na kama viongozi wako watakusikiliza ukweli unaongea wataufanyia kazi ila kama bado wanachumia tumbo mtateseka sana
@daniellukumay523
@daniellukumay523 12 дней назад
Umeeleweka kaka
@johnmndeme1050
@johnmndeme1050 8 дней назад
Hamia yanga
@perepetuajohn
@perepetuajohn 22 дня назад
Asante kaka waeleze ukweli viongozi wa makolo Bado usajili wamefeli🤣🤣🤣🤣🤣
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 22 дня назад
Mashabiki w a simba wanapenda upuuzi wa gb 64 tu mwingine akiongea ukweli anaambiwa mamluki
@rashidihemedi5517
@rashidihemedi5517 22 дня назад
Wenzenu wanakwenda kuhemea supermarket wakat nyie mnakwenda kuzoazoa wachezaji wa kurujuwani😂😂😂😂😂
@aliissa8781
@aliissa8781 22 дня назад
Huyu jamaa namuenea huruma maana amejaa ushabiki kweli ingawa wengi watachukia
@danielzambi8993
@danielzambi8993 22 дня назад
Mh!Mtani kwa apo ulipofika umeumia vya kutosha,naweka utani pembeni nasema pole Mtani
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 23 дня назад
Feruzi waambie ukwel ao madunduka wasuojielewa
@AbdulMgude-iv1ql
@AbdulMgude-iv1ql 16 дней назад
hamjui mpira simba ktk mechi mbili goli saba mnalalamika simba iliyochukua ubingwa haikuwahi pata goli saba ktk mechi mbili za mwanzo
@adamsonmwasumbi4201
@adamsonmwasumbi4201 14 дней назад
Kak kwa timu gani goli 7 wachezaj wasio na vibali😂😂😂😂
@jumamkwanda8031
@jumamkwanda8031 13 дней назад
Unaongea kwa mbwembe mashabiki wa Yanga wanakufurahia tu...miaka mitano ya Nyuma ulikuwa unaongea Nini..Yanga walisafa miaka 3 ya nyuma na walichukua wachezaji kutoka Congo ... brother ni suala la Muda tu...huo ndio Mpira lkn kama unaongea kwa kutafuta Viewers na hiyo on line media yako big up
@HassanRubota
@HassanRubota 23 дня назад
Lina roho mbaya uso mbaya Tabia mbaya akili mbovo nguruwe Poli usituvuruge sisi Simba sio watu was matusi unalazimisha tukutukane wew kama n kipofu ss tunaona Simba imebadilika sana
@EzekielPeter-zd7lk
@EzekielPeter-zd7lk 23 дня назад
Kubali ukweli
@user-lo3vb1oc3z
@user-lo3vb1oc3z 22 дня назад
Kaka umeongea pont❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza 17 дней назад
Huyu bro anajitambua una udunduka kidogo
@SelemaniHamis-z2b
@SelemaniHamis-z2b 22 дня назад
Kweli Koloa wangekua kama huyu jamaa duu
@MuminMuminamduni-hx4pk
@MuminMuminamduni-hx4pk 22 дня назад
Aliekosea ni elisasi angeachezesha mechi kihalali tukawanyoosha hakuna kolo angekuwa anatowa matusi
@RestutaLeo-xq7rf
@RestutaLeo-xq7rf 17 дней назад
Simba tuwe making San na hawa watu,, kushindwa mara tatu ni sehemu ya mchezo mbona ht wao walisubir miaka mnee? Ndio tumefer lkn hatupasw kulalama kia S hicho
@KhalfaniSaidy
@KhalfaniSaidy 22 дня назад
SIMBA MKIPATA VIJANA KAMA HAWA 10 MTAELEWEKA
@abubakarsaid7303
@abubakarsaid7303 22 дня назад
Bora sema kaka achana na kina gb 64 chaji hamna pale
@Mhabeshi.Madayi
@Mhabeshi.Madayi 19 дней назад
Watu wanakuja wanakupiga wewe tuh 😂😂😂Mara Tatu jamaa Anapointi sanaaa asikilizweeee😅
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj 23 дня назад
ubaya ubwela
@vangraphixvan8320
@vangraphixvan8320 23 дня назад
Usifungue code
@MagaliKiswili-bj6yz
@MagaliKiswili-bj6yz 22 дня назад
Wewe ndio mnjanja simba imekua timu ya komedi sasa ivi msemaji wa makolo anadanganya mashabiki alafu mashabiki wana mshangilia atari sana kwakweli
@user-lj1kw9nt7l
@user-lj1kw9nt7l 8 дней назад
Kunywasoda kwa mangi nakujakulipa
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 23 дня назад
Ahamed amesikia??
@AchileusNshekanabo
@AchileusNshekanabo 22 дня назад
Kaka unahoja ya mhm sana achana akina ksugu
@DaudiMohamedHassan
@DaudiMohamedHassan 18 дней назад
Yanga bingwa tena
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r 22 дня назад
Kawchana
@lazaroaloyce6649
@lazaroaloyce6649 22 дня назад
Tengeneza timu yako bwege ww kazi kulalamika tu,timu hii ya Simba haina shida yeyote ni muunganiko tu ndo kilichobaki...
@barikilaurent699
@barikilaurent699 20 дней назад
Wewe ni taahira
@stevematias7809
@stevematias7809 23 дня назад
Sasa c uwende ya proo Sasa kipi unalalamika
@jaylosalphonce9659
@jaylosalphonce9659 14 дней назад
Hivi steve umeandika nn dah! Mazwazwa ww.
@user-ws5kg1tf6g
@user-ws5kg1tf6g 22 дня назад
Yaani mpaka mseme na bando mtakoma kenge nyinyi
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 22 дня назад
Huyu jamaa Nimemuelewa aliposema kwamba MO alilalamika ametoa bil 20 wamezila...leo katoa hela za usajili Halafu kawarudisha walewale.....🤣🤣🤣....lkn MAKOLO washasahau 🤣🤣🤣
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 22 дня назад
Semasema baba ukweli Simba mbovu wakubali wakatae hawana levo ya wachezaji wa yanga alafu vijana hahahahah sijaona vijana kamahao
@WilfredSaidi-st3tn
@WilfredSaidi-st3tn 22 дня назад
Ongea qaq kolo make hawakuelewi😢😢😅😅
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 22 дня назад
Mapemaa wameanza ndio mechi ya kwanza tu.
@rajabusaimon7662
@rajabusaimon7662 22 дня назад
Ulieva jez ya Simba ndo nimekuelewa naligi yetu sasaivi imekuwa
@Emmydeo-jm7zy
@Emmydeo-jm7zy 22 дня назад
😊😊😊😊😊😊
@user-gf9pb5jz9j
@user-gf9pb5jz9j 22 дня назад
Huyu ndio ana akili simba nzima 😂
@BabMuniwe-pg7el
@BabMuniwe-pg7el 22 дня назад
Waambie hao wengine hajielewi timu bovu upon sawa
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 22 дня назад
Sngekuwa simba angekuwa na mkia
@Mhabeshi.Madayi
@Mhabeshi.Madayi 19 дней назад
Makoro Wengi hawata mwelewa huyu jamaa lakini naamini watamwelewa mda c mrefu kabisaaaa.
@geraldndosi2083
@geraldndosi2083 22 дня назад
Duuuu😂
@AhmedMohamed-zj8hi
@AhmedMohamed-zj8hi 21 день назад
Ajalewa kweli huyu
@kamwagamwanjale1575
@kamwagamwanjale1575 18 дней назад
Wachezaji wazuri mimi naona shida ni kundi la ufundi na Kocha
@MussaKingu255
@MussaKingu255 22 дня назад
Mapeema kazi imeanza
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
😂😂😂😂😂😂😂
@NassibAbdalla
@NassibAbdalla 23 дня назад
Wewe yanga umetimwa
@barikilaurent699
@barikilaurent699 20 дней назад
Huyo ana machungu kukuzidi wewe
@IddiMpalange-sx8ii
@IddiMpalange-sx8ii 22 дня назад
Jamaa anaongea pwent alf anaongea kwa uchungu
@manyotanyanguleti2058
@manyotanyanguleti2058 22 дня назад
Nyiee makoro gamondi atawafukuzisha makocha wengi Africa poreni sana
@DenisMalima-cq9hp
@DenisMalima-cq9hp 22 дня назад
Huyu ni mtu mwenye akili zake. Huyu sio chawa. Huyu ni mtu hambae hanajua mpira. Sio kama wale wakina kisugu. Na Gb.
@ericsangasa9872
@ericsangasa9872 22 дня назад
Huyu jamaaa kaongea fact kabisa , maoni murua kabisa
@yakoubkimeza2629
@yakoubkimeza2629 19 дней назад
Angalia sana tutakufungiia na ujifunze kuongea wewe
@user-ul2qg8ds6f
@user-ul2qg8ds6f 22 дня назад
Yan wewe jamaa unaakili na wewe hupewi posho ya kusifia kama wakina kisugu ila kweli timu ya Simba ni mbovu asilimia 100 kama wachezaj wanatudanganya ma MVP wakila nchi then uwanjan 0 huo ni utapeli wakuaminika ko tutazid kuitwa madunduka had 2030
@user-ul2qg8ds6f
@user-ul2qg8ds6f 22 дня назад
Wewe kweli ni kolo unae jitambua wewe waache watafute muunganiko sisi makombe tunachukua😂
@kilulumtunyungu9369
@kilulumtunyungu9369 22 дня назад
Hii ni brain 🧠🧠🧠 ya kwanza kuliko wote simba
@user-vt2jy1ts5k
@user-vt2jy1ts5k 23 дня назад
Bado hamjasema bado hamjasema bado bado kumbe kuna wana simba wanaakili hivi ndio maana mimi nilivyo ona simba inasajili wale madogo ndio nikaona hawa hawawezi kumleta mchezaji kama Aziz ki feitoto pacome kwasababu pesa inapelekwa ndogo lafu tunaambiwa pesa nyingi sana sasa hivi tunaambiwa bilioni 7 kuelekea 8 kabisa si kupigwa uko
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
Akiongea MCHOME, Sam SIMBA, utasikia ohhh, yanga wale! Ila wanasema ukweli
@user-dx8qb5gs7e
@user-dx8qb5gs7e 23 дня назад
Uko vzr kaka
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 20 дней назад
Mbona mapema hivi nyie makolo
@SiraSichone
@SiraSichone 22 дня назад
wewe umetu wa tutokee hapa tuachie simba yeti hakiri hana wewe
@Brayan-i4g
@Brayan-i4g 20 дней назад
Mm ni shabik wa yanga ila mwamba upo vizur unaongea pwent
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 22 дня назад
Huyu naye ni mkundu tu.
@Nassoromohamed-ig7bz
@Nassoromohamed-ig7bz 23 дня назад
kwani wewe lazima ubaki simba nenda huko nyinyi wapenzi wa mchongo tumeshawagundua hamtubabaishi hulazimishi kuwa simba mnajifanya simba kutaka mtuvuruge hamfanikiwi
@user-vu9ss5bu2s
@user-vu9ss5bu2s 23 дня назад
Ww n brain zero!!! Na m kuchukua ubingwa wa ndan tuu tunakomaa!!!
@dawayao2837
@dawayao2837 23 дня назад
Mashabiki maandazi Sasa kweli wewe unaona timu iko vizuri kabisa? 😂😂 Kumbuka ligi ndio imeanza huko kujitafuta ni mpaka lini? Mkija kushtuka yanga bingwa na mnaishia nafasi ya nne😂😂
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
​@@dawayao2837alafu utasikia Gsm anatimu nyingi
@maharusimedia8310
@maharusimedia8310 17 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@alfredbowa9677
@alfredbowa9677 22 дня назад
Wezio wengi mandundu sana hawaoni ayo
@NassibAbdalla
@NassibAbdalla 23 дня назад
Muko wengi nyinyi
@johnmndeme1050
@johnmndeme1050 8 дней назад
Huyu ni mamluki.
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho 22 дня назад
Hivi kumbe dunduka ni nazi isiyokua na kitu
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho 22 дня назад
Dunduka ni nazi isiyokua na kitu ety😂😂😂😂😂😂
@binbadru8408
@binbadru8408 22 дня назад
Ushakunywa supu ya vibudu unasumbua wanaume
@MohammedMohammed-is8el
@MohammedMohammed-is8el 22 дня назад
Huyu shabiki maandazi kapenda mpira ukubwani
@user-ul2qg8ds6f
@user-ul2qg8ds6f 22 дня назад
Wewe ndie andaz usiye jitambua
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
Duuuh @Mohammed basi Simba nzuri wamesajir wachesaji viwango vya juu
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 22 дня назад
Njaa anakusimbuampuuzi
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho 22 дня назад
Madunduka oyee😅😅😅😅😅😅😊
@charlesmashindike4874
@charlesmashindike4874 22 дня назад
Huyu mbumbumbu kweli anashida gani
@FrankKajwaula
@FrankKajwaula 22 дня назад
SIMBA HAINA SHABIKI ZUZU
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile 23 дня назад
Huyu jamaaa ajui mpira kabisa atoe upuuzi wake apa
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 23 дня назад
Huyu kiboko ya Gb 64 na kisugu..🤣
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 23 дня назад
Ukweli ni lazima ukuume
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 23 дня назад
Tatizo lenu makolo amtaki kuambiwa ukwel mkiambiwa ukweli mnatukana mtaishia ivyo ivyo
@user-ul2qg8ds6f
@user-ul2qg8ds6f 21 день назад
Ww ni dunduka usiyejitambua Simba mtapigwa sana Tim mbovu
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 22 дня назад
Mara ubwelaaa,misemo ya kijinga kijingaaa🤣🤣🤣🤣💚💛👍💪💪zetu dua cku zote
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 22 дня назад
Naomba GB 64 achukue somo hapo maana yeye ndio mbishi kupitiliza😂😂😂😂
@LovenessDaud
@LovenessDaud 22 дня назад
Umemsau yule kisugu mwenye kichwa kama rungu la masai😂😂
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
Huyo akishapiga visungura anakuwa sio yeye
@errydeo8865
@errydeo8865 22 дня назад
Kisugu, GB,hawana akili wale! Kazi yao kusifia ili wale!
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 22 дня назад
@@errydeo8865 sifa posho Kisugu Mzaramo GB 64 Passimillion Mziwanda Mwakatalima Mzee wa salute
Далее