Ebi tunakupenda sana pia naomba nikushauri km shabiki wako kwasasa ungetulia na kuangalia maisha mengine acha na wanaume mana wanaume si watu wazur ht kidg fanya kazi mapenzi yanakuja wenye pindi ukituliza akili coz umeumizwa sana mama
Wala sio kope chunguza akiulizwa kuhus mlela kuna point anafkia anataka kulia kila anapoulizwa hiyo hali inamtokea hop anamaumiv sana anajitaid kukaa kawaida na kz ziendelee lkn akiwa sehem tuliv yaonesha analia sana angalia vzr hapo kataka kulia huyo mjamaa kamchukua waondoke
😂😂😂Ebitoke naona nyimbo za Diamond zamusu mawegi tuna kanyaga,Ebitoke mama lao,alivo nifanyia mlela siyawezi sema ila nimejifunza siwaamini wacheza sinemaa moyo aliupatia mateso na wegi lawatu nikaenda toa..bado sikomi skomii...reeemix ndo hiyo sasa
Yani huyu naye Ni kichefuchefu Sana mamaeeeh yani haya mapenzi bhana alafu wew ebitoke ujui kuchagua njoo kwangu upate raha dah huyu jamaa sura imemkauka utazani kileja kilichopatwa na mchanga.
Waandishi mngemuacha huyu mtoto akapumzika maswali yenu ya kumchuma na mnajua hakajui kujibu maswali. Ni wazi alimpenda Mlela na Mlela alikua anamtumia tu. Kapewa onyo ili aendelee na kazi yake kwa usalama, anajitahidi kujizuia kutukana hadharani mngemuacha sasa
@@SophhhiaOnono bado mdogo angalia alivyokomaa sura, mwanamke hata ukijiona mrembo vipi usipotulia ukajenga maisha yako Kazi kuruka ruka ovyo na kila mwanaume urembo wako ni bure tu, heshima ya mwanamke ni mume mmoja na kuwa na familia yako, sio kutwa kashfa mtandaoni, amuulize mwenzake wema na akina johari, walikuwaga warembo wakavuma sana, lakini now wanataman ndoa hawazipati sababu ya ujinga wa kutojielewa
Tatizo la mapenzi mtu akiumizwa uona shuluwisho ni kupata mpenzi mwengine kwa wakati ule ule ili amkomeshe alie mwacha ila anae pendwa na mtu amwtoka kuwachana na mtu ampendae ua hapana tenaapenzi ya kweli
Waandishi wengi mtakwenda motoni kwa uongo mnamtukanisha dada wa watu tuu wapi alimtambulisha kuwa ni mpenzi wake umbea ufitina tuu ndo mnaoujua sasa akitukanwa na nyiny mnaandikiwa maovu mkumbuke kuna cku ya kufa iyo kazi mtaiacha
Uyo kaka kafanana na Diamond kipindi hicho. Diamond alikuwa hivo kipind hicho. Eb na ww et najalib jalib utajalibiwa sana kwa hapo Tz ukichoka tulia kama wema