Baada ya Msanii Ebitoke kumfanyia fujo aliyedaiwa kuwa mpenzi wake Yusuph Mlela, leo wameeitwa na uongozi wa chama cha wacheza filamu mkoa wa Kinondoni na kupatanishwa.Ebitoke aomba radhi kwa Watanzania na wadau wa sanaa.
Namshukuru Mungu sana kwaajili yako Ebitoke. Nakuomba sana umtambue Mungu katika maamuzi yako kuwa anayo nafasi kubwa sana. Majibu yako is of a matured lady. I love your response mbele ya chombo cha habari.
Simnataka haki sawa mwanaume akihudumia hamna tatizo ila mwanamke akiweka mchango wake hata kidogo mkiachana inakua noma aph mnasema haki sawa dah!! not fair smtym
huyo mlela pumbavu sana umekula pesa za dada wa watu tambua kwamba dunia ni mzunguko asipofanyiwa hivyo dadako atafanyiwa mwanao fala wewe. huna akili. umenikera sana. -mwizi mkubwa tapeli jinga kabisa😛😜😜😜😜😜
Pole mumy Ebi achana nae huyo songa mbele kunamengi ya kufanya mbele yako uvae ukamanda kupambana na maisha huyo mariooo asikuchanganye be strong 💪 mumy wewe Ni kioo kwa jamii
@@lenathapeter6658 mlela umeshut filamu nyingi Sana,mwanaume we huna hata haya kuzila hela mtoto mdogo Rika la mjukuu wko,ulaniwe na ulagai wko wakjifanya kibentemu Cha mtoto mdogo .nyoooooo
Wow...issa good step tz..chama cha waigizaji mmefanya cha maana sana kuingilia kati..I hope Ebitoke now you have accepted the situation And as for Mlela this is as a lesson,learn from it
Emotions zilimkimbiza mbaya Ebitoke, Unapompenda mwanamke au mwanaume halafu ghafla ukampiga chini hiyo mbaya mazee xo Ebitoke hakuweza kuvumilia kipindi hicho kifupi ambacho kilikuwa ni kigumu sana.
Kwani ukiambiwa nitakuoa ndiyo uanze na kuzini nyinyi wenyewe hamjitambui umeambiwa nataka nikuoe c msubir ndoa mnataka baraka kwenye uzinzi kweli mungu atabarki uzinzi muwe mnajitambua muache kuwa vyombo vya starehe msubir ndoa
@@halimahamad4114 nikiwa Nairobi,ebitoke hongela Sana kwa kunyenyekea,kilicho mwangusha kwako,kikampandisha kutoka kwako,msubirie tu na zarau lake ataporomoka tu.hajafanya nidhamu yyote ,n unyama tu means wa mwenzie.duuuu
Ebi we mzuri move on my Dr achana na bwege asiye jiherewa uyo angejielewa asingefanya yote hayoo ,mungu atakupa Wa ukweli na anakupenda ndio mana amekutoa kwa MTU ambae c mkweli huwenda angekuaribia zaidi,Ila ameipata amejifunza
Huyu ni mfano mzuri Wa wale wanaume ambao wanatumia mwanamke kupata kipato. Inawezekana hata hiyo pesa ambayo anasema amejiekea alidhulimu tuu wanawake wengine. Sijakataa anaweza kuwa anafanya kazi zake tuu za kawaida tuu kuficha hiyo hali yake halisi (mdangaji) Ila Ebitoke ashukuru kama ni mzima Wa afya. Maana huyu mwanamume khaah ugonjwa hauko mbali naye. Kuwaombea tuu Mungu wote wawili
Una miaka kumi na tano lkn huyo ebitoke wa juzi kakuzid kila kitu yaan kwa mara ya kwanza nimekuchukukia 😏miaka yote hyo ata ka baby worker huna fyuuuuuu kwendraaaaa ebi njoo mtie vichwa huyu
Na wewe Ebi mbona ulisema mavazi yako yatakuwa track wee lainika halafu baadaye utuletee kilio chako mapenzi yamekupa upovu mbogo ya dar hiyo mtoto watakufunua sketi wasanii woteeeee
Kuna kitu anacho moyoni ebitoke😪😪navyo jiskia mm naisi na yy anajiskia ivyoivyo...ndo mana we aokota makopo ni wengi...dar kw sababu kama izi ila ebitoke mwachie mungu kw kila jambo ukumu ya mungu inanguvu my
Yaani ebitoke mpk upate the ryt one lazma ukutane kwanza na watoto wa farao wakuumize, kukuvunja moyo mpk uwe motivation speaker😂😂😂😂😂tuulize sisi makonkodi tuliozoea.......
Maskini pole sana my haya si yakwako wewe tu my wanawake wote tunayapitiaaa ila mwisho wa siku maisha yanaendelea pia nakushauri usikurupukie mapenzi mtu kwanza usimkabizi moyo wako kwa asilimia 100 mchunguzie kwanza usijifanye limbukeni wa mapenzi mamaaaaaa