Tulikutana mtandaoni, tukaonana mara ya kwanza na kuanza kupanga ndoa na miezi Sita baadae tukafunga ndoa.
EBM ametufungukia mambo mengi kuhusu uhusiano, ubaguzi wa rangi, matumizi ya mtandao na fikra za vijana katika kutimiza ndoto zao.
@EBMSCHOLARS @EBMSWAHILI
Subscribe to his channel to learn more about visa, green card, maisha ya ughaibuni, scholarships na mambo mengi ya ki maisha, biashara ya mtandaoni na mambo mengi kadha wa kadha. You will never regret, I promise you …
Thank you EBM for allowing it to be online
14 окт 2024