Huwa nabalikiwa sana nisiliza mahubili ya mtumishi Emmanuel mgogo kwa njia ya uimbaji wake hakika yanitia nguvu na kusaha maumivu niliyo nayo najua yakwamba mungu ananiandalia ushuhuda kwa mapito ninayo pitia ubalikiwe na mungu azidi kukutumia kama apendavyo amen
EMMANUEL ninahakikisha kwamba ulitumia wimbo huu kwa ufunuo wa MUNGU alie ona watu wake ambavyowanateseka na dunia na akakatumia kama chombo chake kwa kurudisha watu imani ya kumfuata JEHOVAH. Kabisa i love so much this song inanirudisha imani wakati nakata tamaa!
Nikweri mtumishi mungu anatutengenezea ushuhuda mungu akubariki nyimbo zako ni nzuri na unacheza kimungu inavyo takiwa mtakatifu acheze mungu akubariki sanaa
Wakati mwingine Mungu ni wa ajabu tonight I just felt my world has come to an end, I have never heard of Emmanuel Mgogo kwa maisha yangu nilienda bedroom kulala lakini nikashindwa kulala juu ya mazito niliyokuwa nayo moyoni, kurudi sitting room nikaamua kufungua RU-vid and the first name I Saw was Emmanuel Mgogo, hizo nyimbo umenifanyia maajabu moyoni barikiwa ndugu yangu.
Wimbo huu nausikiliza nikiwa nyumbani ao garini sababu umekuja kwangu kama jibu la maswala mengi nilikuwa nikijiuliza kwa mapenzi ya Mungu kwetu. Tunakufuata ndugu Mgogo huku USA tuna haja ya kuwasiliana na wewe, shida ni moja hausome comments
Wow Wow wow amen and amen Asante Yesu nipe nguvu ya kustahimili kuandaliwa ni uchungu lakini naomba neeema yako initoshe sitakuacha Yesu hadi nione ushindi wako huuu ni ujumbe wangu barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu wa Mbinguni na Bwana wetu Yesu Kristo wanaona mnavyomtumikia na maombi yangu kwake azidi kuwabariki na baraka zoooooote za rohoni na mwilini pia. Mnabariki wengi wenye nia ya kupata baraka kutoka kwa Mungu kupitia uimbaji wenu!
Wimbo huu umetoa machozi, wakati mwingine unahisi kukata tamaa lakini Mungu anatutia nguvu, Asante sana Mtumishi wa Mungu, umenifanya nisimame tena, ujumbe mzuri kweli🙏
God bles you and be with you mgogo forever sure unanibariki nakunitoa sehem moja hadi nyingine yaani utukufu hadi utukufu kupitia nyimbo zako ubarakiwe
Ubarikiwe mwana Wa Mungu. Nyimbo zako nazipenda sana kwasabau unaimba ktk roho na kweli wachache sana wanao to a arbam ya kwanza. Mpaka 2,3,4 zikiwa bado na upako Wa Roho mtakatifu. Mfalme Wa amani aendelee kuachilia upako Wa Roho mtakatifu juu yako. Tuzwa na Bwana.
Ipo cku nitakutafuta kwa ajiri ya wimbo huu, Ktk nyimbo zako zote hii imenigusa kwa tofauti mno na kunitia moyo inapotaka kukata tamaa. Ubarikiwe Sana kwa kipaji
Emmanuel ndi umunyarwanda ariko ndagukunda cyane nkunda indirimbo za we (I'm Rwandan by nationality ,I love so much the servant of God Emmanuel and his songs are my diet and medicament. God bless you son of God).
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai wimbo umenitoa kwenye maumivu na kunitia nguvu ktk utumishi wangu Leo aaaaaaaaaaa kutengeneza ushuhuda ni maumivu makali ,be blessed
Amen! Mungu ananitengenezeya ushuuda iyi mwaka wa 2019. Ndapambana sitachoka sababu najuwa Mungu wangu ananiandalia ushuhuda kabambi yaeshima. All my enemies shall put in to shame. mutumishi Emmanuel you a truly a 🌟 of God, u are #one servant of God sent to save people in this World. Am blessed through this song😚😍😍❤🇨🇦