Тёмный
No video :(

EWE ULIEDHURUMIWA USIVUNJIKE MOYO KUWA NA SUBRA. SHEYKH; HAMZA MANSOOR 

Al-hidayahonlinetz
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Tafadhali Usiache ku SUBSCRIBE kwenye channel yetu hii ya Al-hidayahonlinetz. Ili uendelee kufaidika kupitia Maudhui zetu zenye mafundisho ya dini na jamii.
+PIA WAWEZA KUCHANGIA DA`AWAH HII KUPITIA
LIPA NAMBA AIRTEL 1297069 TIGO `7638500`
+ AMA PIGA NO. +255 710 627 824

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@khadijaali3107
@khadijaali3107 Месяц назад
Mashaallah darsa hii yako shekh hamza imenipa moyo kutokana na dhiki na huzuni nilizobeba moyoni😢😢😢 imenipumbaza moyo wangu mungu azidi kuniongoza kwenye njia iliyonyooka na Allah akubariki shekh na akuhifadhi na akulinde na dhulma za ulimwengu
@aminaosman3315
@aminaosman3315 Месяц назад
,tunaishtakia katika mahakama ya Allah taasisi ya Ansar kwa kuwadhulumu familia ya marhum said janjira insha'Allah
@nooornoor120
@nooornoor120 Месяц назад
Allahum akulinde kwakila mbaya na uzidi kutuelimisha shehk
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 10 месяцев назад
Sheikh huyu nampenda kwa ajili ya Allah .kweli mawaiza yake yananyooka moyoni kwangu moja kwa moja
@user-wr8yk3wt9x
@user-wr8yk3wt9x 4 месяца назад
Mimi ni zaidi Yako kk nampenda SN adi nime slim kisa ma waidha yake amenifanya niupende uislam mpaka nime slim nikaitwa bien Hamza nampenda SN Allah ampe mwisho mwema sheikh wangu kipenzi❤❤❤❤❤
@virginiasimon4609
@virginiasimon4609 3 месяца назад
Allahu Akbar 🤲 📿 ​@@user-wr8yk3wt9x
@MudMuho-zo9do
@MudMuho-zo9do 11 месяцев назад
Mungu atufanyie wepesi inshallah na atuondolee matamanio ya duni
@Omanbahla-f8i
@Omanbahla-f8i 2 месяца назад
Nakupenda kwa ajili ya allah
@ZainabuZaina-dk7mx
@ZainabuZaina-dk7mx 5 месяцев назад
❤ allah akulipe kheri sheh hamza baba angu napenda sana maiwdha yako hakika allah atupe mwisho mwema
@YusufMdoe
@YusufMdoe 5 месяцев назад
Sheikh Allah akupe maisha marefu yenye faida
@user-tu9ic8ss7n
@user-tu9ic8ss7n Месяц назад
Allah akufanyie wepesi sheikh wangu
@aminaosman3315
@aminaosman3315 День назад
,Sisi wanafamilia ya marhum said janjira hatuvunjiki tunajua Allah yupo anayashudia insha'Allah haki itapatikana Allah Hana mshirika
@latifanyari8912
@latifanyari8912 Месяц назад
Allah akuifadhi inshaallah
@user-qp2zk5or8l
@user-qp2zk5or8l 8 месяцев назад
Masha Allah Allah akupe ulinzi wake na Maisha marefu
@BraitonBukuru
@BraitonBukuru 6 месяцев назад
❤❤❤❤
@HusseinMuro-ki2hx
@HusseinMuro-ki2hx 7 месяцев назад
Allah akusitiri kwa elimu kubwa unayotoa hakika unafanana kabisa na unachosema unasema kweli
@shuweikhahamad6392
@shuweikhahamad6392 Год назад
Allah atujalie miongoni tuonusurika na madhambi
@jassminemubarak2828
@jassminemubarak2828 11 месяцев назад
Amiiiina
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 10 месяцев назад
Amiin inshaalah
@user-xy8hm1tv9f
@user-xy8hm1tv9f 9 месяцев назад
Amiin
@gamalashur5412
@gamalashur5412 4 месяца назад
AKUPE UZIMA NA AFYAA AJUZIDISHIEE ILMUU NAAA'FIAAN.
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад
Allahu akika waja Wana chuki mpaka onapitiliza tujirekebishe yarabi
@ayoubfute8603
@ayoubfute8603 9 месяцев назад
Mashaallah
@saumuzani4360
@saumuzani4360 8 месяцев назад
Mashallah tabarakallah
@mwanamwinyikutunga7884
@mwanamwinyikutunga7884 3 месяца назад
Naam
@FatnaAlly-hp7kw
@FatnaAlly-hp7kw Год назад
🎉🎉🎉allah akulipe shekhe I am going back 😢😢😢and then I will have a good time and then I will have a good time to come by the best for me is the best way of doing it would have been the same as the most powerful in all of the world and then I will have a good time and then I will have a good time to come
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 Год назад
may allah reward you well too
@user-bl6ul2lz4n
@user-bl6ul2lz4n 8 месяцев назад
Allah (SW) akuzidishie katika boraa
@aminaosman3315
@aminaosman3315 День назад
,na sasa kiongozi nswar baada ya kuwadhulumu yatima WA marhum said janjira naama yao kumfungulia kesi ya uvamizi kwa dhulma kabisa akapewa ushindi WA dhulma bado hajaridhika kafingua kesi nyingine kwa mjane anataka walipwe fidia na garama ya kesi na familia marhum said imekatwa rufaa na kesi kurudi mahakamani kwa dhulma iliyofanyiwa yatima na mjane yeye na baradja lake la zulma inshaalah hakimu WA haki Allah
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 11 месяцев назад
Manshaallah
@user-hj1uj3ts3k
@user-hj1uj3ts3k Год назад
Assalam wa'aleykum warahmatullah wabarakatu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunian na kesho Akhera tunajifunza mengi kutoka kwako
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 Год назад
Aamyn Aamyn pa1
@user-lw6tx1rc8k
@user-lw6tx1rc8k 10 месяцев назад
Mashallh
@ZaujiaRamadhani-im7ec
@ZaujiaRamadhani-im7ec Год назад
Mashaalah mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema sheh wet
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 Год назад
Allahuma Aamyn kwa sote.
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 Год назад
Aamyn
@umsoud3306
@umsoud3306 Год назад
لا حوله و قوة إلا بلله
@salmsalmo931
@salmsalmo931 Год назад
Asalam aleikum shekhe naomba kuuliza unafanya kaz huna siku ya kupunzika kila siku kaz hata ukiumwa unafanya kaz pia hiyo dhuluma😭😭😭
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 Год назад
Waleykum salaam warahmatulla warahmatullah wabarakatuh al akhi. Sasa utafanyaje kazi ukiwa unaumwa? Fafanua
@salmsalmo931
@salmsalmo931 Год назад
@@al-hidayahonlinetv3447 Ukisema unaumwa unaambiwa ufanye kaz hata ukiwa mgonywa
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 11 месяцев назад
​@@al-hidayahonlinetv3447huyu achosema Yuko sawa wewe mjibu ili na mm nipate kujua unaumwa Tena unapelekwa hospital na unapumzishwa kwa mda na dirip juu na dozi unapewa zakuendeleza ila Ile hujafika ndani ulisha ambiwa inatakiwa uanze na kaziipi shekhe huu ni ukweli tunaopitia
@FatnaAlly-hp7kw
@FatnaAlly-hp7kw Год назад
Mashallah
@aminaosman3315
@aminaosman3315 11 месяцев назад
,tunamshtakia allah kiongozi wa ansar tanzania kwa yatima mbona hamlizungumzii hilo ina maana hamlijui njooni tanga mjue anafanya kiongozi wenu
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 10 месяцев назад
Anafanya nini kiongozi wa aswari na wewe kiongozi wako ni nani mpaka useme kiongozi wenu
@shuweikhahamad6392
@shuweikhahamad6392 Год назад
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa
Далее
IOGOPE MAHAKAMA YA ALLAH, SHEYKH HAMZA MANSOOR
39:17
Просмотров 18 тыс.
ДО ВСТРЕЧИ НА РАЗГОНЕ
52:11
Просмотров 438 тыс.
OGOPA KUSHITAKIWA KWA ALLAH. SHEIKH; HAMZA MANSOOR
50:54
SUBRA KATIKA MITIHANI Sheikh Hamza Mansoor
1:10:46
Просмотров 18 тыс.