Hilo ni somo kwa CAF kwamba wanapaswa kufanya uzinduzi wa mashindano yao kila mwaka hivyo YANGA wanawapa darasa la kiutu uzima kuanzia kesho CAF watabadirika tu shika maneno yangu
Halafu eti uzinduzi wenyewe wanaenda kuzibdulia Azam complex,hivi wanawaona mshabiki wao kama mazuzu eeh? Hao viongozi lengo lao ilikuwa ni kutaka mashabiki wao wahamasike kununua tikets wasije wakatia aibu
Siyo Caf og ni uhuni tu Yanga wanajaribu kudanganya mashabiki wao na kama ingekuwa hivo mechi ingechezewa Benjamen Mkapa Uwanjani si unaona wamekataliwa kuchezea humo wapelekwa Chamanzi mmmh jamani waandishi hamtumii hakili kuwaza na kuona?? Siasa 😂😂😂
Kwa nini viongozi wanakuwa wazushi kiasi cha kusema vitu visivyokuwa na uhalisia? Uzinduzi wa aina gani huu usiokuwa na mpangilio? Au ndiyo mazwazwa watupu?
Hakuna hadui ambaye anaweza kukupa sifa uku akijua wewe ni mpinzani wake Tuwaache na kejeli zao wana uhakika kwa sababu wamejichukulia timu saba na wanawapa wachezaji wao dawa za kuongeza nguvu tusipate shida nao mda utaongea
Simba sio kolo we mshamba ukusoma kiswaili uyo manala qenu ndo aliwapa kina la KOLO, msijisahaulishe MAKOLO nyie na malangi ya njano kama majaniakavu ya ndizi rangi isiyo na mvuto jina baya eti yanga yanga ee hamkuona majina poleni MAKOLOKCHO