Kwa mara ya kwanza CHALINZE FM RADIO inafungulia matangazo yake Moja Kwa Moja kupitia masafa yake ya 97.5 Kutoka Pwani Bagamoyo Chalinze CHOCHA STAR ndiye msanii wa kwanza kufungua matangazo hayo kupitia kipindi Cha CHALINZE FLEVA kupitia Radio hiyo kikiendeshwa na DON,HAMZA NA FLORA
Chocha Star Amezungumza mengi kupitia interview hiyo lakini pamoja na shukrani kubwa kwenda Kwa MHESHIMIWA MBUNGE NA NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA MH RIDHIWANI KIKWETE NA MENEJA WA RADIO IDDI GOMBERA
Chalinze FM Sasa inapatikana Kwa 97.5 Sauti ya jamii
@chochastar7781
#CHOCHA_STAR #CHALINZE_FM #CHALINZE_DC #ZUNGU #HAMZA #FRORA #DON
16 окт 2024