Mama kama mtoto aliletwa ukamkataa lawama za nini? Huwez kujua ni Albert au ni Mama mtoto aliyekuwa na kikwazo kwenye kumleta mtoto nyumbani...... Ungempokea mjukuu wako mengine yangefuata badae. ILA ipo siku atakuja tu maana dunia saa hii ipo kiganjani
Binti alimleta umesema mlimkataa...unasema ulikuwa unampeda a kumuom ea wakati umemkataa mwanae....kwaini usifanye da shilingi laki moja...huna upendo na ngwea...husingeonngea ungeongea kkitu cha.hajabu sana maana huyo mtoto hujui Kama Sasa hivi anapata tabu kiasi gani Tena unaongea ukitabasamu...mtafute mjukuu wako husiishi. Kizamani kafanye.dna