Kmtukana mtu kwa kumwita mbwa, jee kimaumbile huyo unayemtukana hajafanana na wewe kimaumbile? Mnaotukana mitandaoni mjichunge ndimi zenu huenda matusi mnayotukana yakamrudia mwenye kutukana. Unamtukana binaadamu mwenzako inamwita mbwa jee kweli amefanana na mbwa? au amefanana na wewe unayetukana? Kama amefanana na wewe tusi linageukia kwako kwa sababu binaadamu hazai mbwa wala hazaliwi na mbwa. Acheni matusi, toeni mawazo ya kistaarabu na ukumbuke kuwa mawazo yako sio lazima yafanane na ya mwenzako, lkn matusi sio mawazo wala fikra sahihi ila matusi ni upofu na ujinga