Katika madhambi makubwa ni kurudi katika uovu baada ya Allah kukunusuru, mzee baba kuna kaburi, kuna malakal maut, kuna moto na kuna Pepo. Allah atuhifadhi. Ameen
Tusitefute ushuru wowote nyimbo nikatika mojawapo utakusanya Waume na wake watafanya mabaya nakila atakae fanya sababu shauri yako ALLAH HSBUNALLAH WANEEMAL WAKIL
Unapindisha pindisha aha we mzeee ww mungu anakuona umenda kuhiji makka ulikua unajonesha kama ww muislam kumbuka ww mzee nilikukuta msibani ukatoa dawa aya rudi mjini lakni safar bado tnayoo kuna Maisha ya bardhagh ukienda mijin shamba mwisho wa siku tnaenda huko
Alokuroga kafa ww ni mnafiki kati Ya wanafiki rudi utajuwa mwenyewe ulikuwa unamtania mungu pole wala. Hujaelekea kuyasema hayo pole Sana umefeli hujijui tu
Mzee Yusuf sisi hatukupingii. Wewe ni Alhaj unataka kurudi kwenye Ushaitwan. Leo unafagia njia urudi kwenye Taarab? Makubwa? Hakuna anaekulalamikia ila tunakushauri tu unapotoka halafu ww ushazeeka na Taarab hailipi. Bora utafute Shughuli njema ya kufanya.
wakati kama huu ni wa kutafuta pepo ili corona ikikupata uwe ushajisafsha na makosa ila wew unajiingiza pabaya zaidi ili ukipata corona ufe na moto wako....huo unaitwa ujinga uliokubuu
Ila kaz yamtu nikaz yamtu kikubwa amjue allah kuswar na kutoa swadaka na zaka kunamatajili wangap wanapata aeamjui mung ila kaz ya mzik nikaz yake mwachen jaman nibola atafute rizik kuliko kuiba bola afanye kaz ya mikono yake
nahisi tu labda mzee yupo ktk sapraizi tofauti kwa namna tunavyodhani ila km kweli mzee anarudi ktk taraab atakuwa moja ya binaadam majasiri wasio na khofu na maisha ya akhera mungu aepushie mbali wallah viapo alivyotaja kwa majina ya mungu ni masikitiko makubwa mola aiongoze nafsi ya kaka yangu huyu.. inshaallah..
Kuna moja ktk Interview zako nakumbuka kuna mwanamke alikwiita Mfalme, ukasema Subhana-llah, mm sio Mfalme, Mfalme ni mmoja2 Ambae Allah Lkn naona uyo jamaa kakwita Mfamle ukafurahi mwenyeo..
Ye nan ktk dini mpk tuanze kuwa na shauku kiasi hiki ameshasema na akamaliza kwamba laa ikraha fi ddiyn sasa ina maana anajua zaidi. Imma shaakiran waimma kafuura basi.
Wewe bado hasa kinafs mana bado dunia unaipenda hebu acha upuuzi wa kuhojiwa hojiwa kuhusu mambo ya kidunia ya mizik na mambo ya zaman uliyofanya . Na vipi ushapima korona
Narud mjini 🚶🚶🚶🚶🚶🚶😎twakusubiri d. r. wa malavidavi.. 🤠.. Kila mmoja apambane na hali yake sasa hv,, maisha magumu kila mtu ana kichaa chake na kila mtu anatakiwa aheshimu wazimu wa mwenzake... 🚶✌️karibu mjini mzee baba. 💕💕💕💕...
Kila binadamu hapa duniani anaishi kwa njia aliyopangiwa na mungu basiiii muacheni toka aache mziki kuna mtu yeyote alie kaanda kwake kumpa hata pesa ya chakula acheni hunafki watanzania maisha tunayoishi kila mmoja ana njia yake ya kupata ridhki muacheni!...na akitoa ngoma musisikilize wanafki nyinyi!