Kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya UKIMWI (VVU) na hawawezi kuona dalili za UKIMWI hata virusi vya UKIMWI vikiingia mwilini mwao. Tazama video kufahamu zaidi
Nina amini hilo hata Tanzania yupo ambae ilitokea wanawake aliotoka nao baadhi walikufaga, na hata mke wake, lkn yeye aliumwa sana, tukajua na yeye amepata hilo tatizo, tulipoenda kumpima, ikaonekana hana hilo tatizo, hatukuamini, lkn mwisho wa siku Daktari alitupa maelezo kama hsya!! Oooh Mungu atubariki na wengine tuwe hivyo hivyo, atuepushe na maradhi yote makubwa ns mabaya, Amen.
im one of those ppo...me nmewai kuwa na mtu ako na ukimwi kabisa but akuna vle nmegonjeka na iyo ilikua 2012 nkiwa class 7 mpaka sai naitwa mama na adi nko gulf na suna chochote...aki mungu nu mkubwa..nko blood group O+ I thank God for that 🙏🙏🙏
Acha uoga mwandishi, Afrika ndio tupo wengi watu wa aina hii ikiwemo namImi, tatizo mnatumia takwimu za wazungu wanawatisha.tu, mbona Yesu alikuwa mwafrika lakini tukafanganywa alikuwa mzungu? Amkeni
Nakubalii saana mi niko Tanzania, ila huyu Mungu aitwe Mungu tuu😢🙏🙏 mi niling'atwaa na pia nilishea mara mbili na mtu na pia kuna mifano ya watu pia wawili
Mm navidonda mdomoni na kimoja kinauma sna km mito ni kipele na vidonda vipo vingine juu ya ulimi lkn nishapima km mara 2 sna kitu sna maambukizi yoyote na nasumbuliwa na madonda niliumwa mda mrefu sna vidonda vya tumbo km mwezi je vidonda ni vya homa au
Je, hapa Tanzania wapo watu wa aina hii. Ni vipimo gani vinavyogundua kuwa huyu mtu hana receptors yaani sehemu ya kujishikiza virusi vya ukimwi. Je, kuna programu ya serikali ya kuweza kufanya sensa kuwajua hawa watu hapa kwetu tz
Niko na swali mm kama nilipima na mpenzi wangu nikapata tuko sawa kumbe yy alikuwa na mwengine ambae ana virusi je mm Niko hatarini ama coz nilimpima nikampata yuko sawa
Ukikadiriwa kuwa utaupata haijalishi upo Sweden au Zimbabwe utaupata hayo ni makadirio ya muumba kondom haizuii wa huna ujanja wa kukwepa ikiwa umekadiriwa kuupata. Tumuombe msaada wa ulinzi muumba wetu
ungeelezea inatokana na nini mpaka asipate huku ukilinganisha na group yake ya damu au uongeze maelezo kindani zaidi kwani baada ya kusikia hii audio yako ndo mtu anazid kuwa na maswali meng
Ni kweli kuna watu hawawezi kuambukizwa ukimwi lakini hao watu hawawezi kujijua na kuwa baadhi ya hao watu wako nchi za scandnavia inaweza kuwa kweli maana kwenye hizo nchi hazina maambukizi mengi kama Sweden wenye ukimwi hata 10 000 hawafiki
Huu ni ukweli moja wapo ni mimi.... ila naona si kisayansi. Nahisi kuna nguvu ya mungu hapo. Kma ni ukimwi ningeshapata ila ni nguvu kubwa ya mungu nipo nayo. Siamini kma kisayansi uchomwe sindano ya mtu wa ukimwi na usipate. Ninachoamin ni nguvu ya mungu
Mtu ambaye hawezi kuambukiza UKIMWI ni yule ambaye ametumia dawa vizuri na kufanya virusi vipungue kiasi kwamba hata akienda kupima virusi vinakuwa havionekani kwenye damu
Na zani ni MUNGU anatulindaga jamani mm niliishi na mgonjwa tena alikuwa anakoowa sana nimeishi naye miaka mitano na tulikuwa tunajubuana ila na mshukuru MUNGU sikupata nikaja nikaanza mausiano na mwengine tena na yeye alikuwa umekolea sana lakini MUNGU alinilinda jamani tena yule wa mala ya kwanza nilimpenda sana ataakawa anajisikia vibaya yeye anao mm sina nikaanza kufanya makusudi ili niupate na yeye alizike ikashindikana mpka badaye nilipo safili ndio tukaachana kwaiyo iyo ipo jamani MUNGU wetu ni mkubwa sana mm amenilinda kama ni yamini tulikula lakini wapi namshukuru MUNGU kwa kunilinda
Kama unae fanya nae ameathilika wewe ukichubuka tu na kugusa Yale majimaji au Damu basi itakuwa umeathirika Cha kukuokoa ukiona una wasiwasi na ngono mliyoifanya na humwamini uliye fanya nae wahi hosipitali kabla ya massa 72 hayajapita.
Hao watu ambao hawana izo sehemu za kutunza virus ili baadae waende kushambulia cells wao wameumbweje au nin kipo hadi wawe tofauti na wale ambao wana izo sehemu za virus kujihifadhi before kushambulia cells?
Ohhhh Kwa mfano labda haku furk na yey sana ama hukuhisi dalili za kukatika labda pia unaweza kupata ivo ivo najaribu kutafuta namba yako watsup lakini haiko nikueleze zaidi
Mume wang ananiambia anawashwa na koo namuona akona homa namuona pia yuwaumwaumwa mtu mm simuelew maana naota anachepuka pia je naez enda kupimwa nikipatikana sina naez chukua prep yaez nisaidia tafadhali maana mm sion dalili kwang nisaidie doctor nijiokoa😥😥😥maana nataka nimuache ananifnya nishtuke