Тёмный

FAHAMU KUHUSU WATU AMBAO HAWAWEZI KUAMBUKIZWA UKIMWI 

Afya Tips
Подписаться 143 тыс.
Просмотров 232 тыс.
50% 1

Kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya UKIMWI (VVU) na hawawezi kuona dalili za UKIMWI hata virusi vya UKIMWI vikiingia mwilini mwao.
Tazama video kufahamu zaidi

Опубликовано:

 

29 авг 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 204   
@AnnaChambo-m4c
@AnnaChambo-m4c 5 дней назад
Nina amini hilo hata Tanzania yupo ambae ilitokea wanawake aliotoka nao baadhi walikufaga, na hata mke wake, lkn yeye aliumwa sana, tukajua na yeye amepata hilo tatizo, tulipoenda kumpima, ikaonekana hana hilo tatizo, hatukuamini, lkn mwisho wa siku Daktari alitupa maelezo kama hsya!! Oooh Mungu atubariki na wengine tuwe hivyo hivyo, atuepushe na maradhi yote makubwa ns mabaya, Amen.
@TabizaAa
@TabizaAa 7 дней назад
im one of those ppo...me nmewai kuwa na mtu ako na ukimwi kabisa but akuna vle nmegonjeka na iyo ilikua 2012 nkiwa class 7 mpaka sai naitwa mama na adi nko gulf na suna chochote...aki mungu nu mkubwa..nko blood group O+ I thank God for that 🙏🙏🙏
@IreneWanyonyi-ul5yd
@IreneWanyonyi-ul5yd 2 месяца назад
Ukweli kabisaa Mimi pia Mme wangu aliaga miaka kumi na mbili iliyopita but nimepimwa mara kwa mara sina huyu mungu ni mtetesi kwa wanyonge
@johnoduor9370
@johnoduor9370 Месяц назад
Wewe ni carrier
@thomaspeter2540
@thomaspeter2540 Месяц назад
@@johnoduor9370naomba unieleweshe kuhusu carrier
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 Месяц назад
Exactly, Afrika tupo wengi tu kuliko hata hao wazungu
@janemumbua4683
@janemumbua4683 Месяц назад
God have mercy on you my sister
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 Месяц назад
Acha uoga mwandishi, Afrika ndio tupo wengi watu wa aina hii ikiwemo namImi, tatizo mnatumia takwimu za wazungu wanawatisha.tu, mbona Yesu alikuwa mwafrika lakini tukafanganywa alikuwa mzungu? Amkeni
@beatricekitapk2265
@beatricekitapk2265 5 месяцев назад
Nakubalii saana mi niko Tanzania, ila huyu Mungu aitwe Mungu tuu😢🙏🙏 mi niling'atwaa na pia nilishea mara mbili na mtu na pia kuna mifano ya watu pia wawili
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@Until835
@Until835 Месяц назад
Ulijisikiajee siku unagundua ?? 😅😅😅😅😅😅
@marryafam2842
@marryafam2842 3 года назад
Nakubaliana na wewe 100%
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 месяца назад
Ugonjwa ulitengenezwa na binadamu. Mungu pia kaweka kinga yake kwa amtakae ndo ivyo amna ajabu tungeishaisha wote afrika
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Asante,Ila ata hapa wapo,Kuna mwanaume ameishi na mwanamke mweny virus zaidi ya miaka 13 na ajaambukizwa
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@GreysonGasper
@GreysonGasper Месяц назад
Allah akbar
@user-ux1mq4zq5m
@user-ux1mq4zq5m Месяц назад
Kuna watu hata wakitomba hawana huo ugonjwa hta...🇰🇪🇰🇪
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 3 года назад
jaman
@user-ig1ch4gy7s
@user-ig1ch4gy7s 3 месяца назад
No substances! But well spoken
@peterrobinson7093
@peterrobinson7093 Месяц назад
Tunaomba reference + evidence ya hao watu kwenye hizo nchi ulizotaja plz?
@JamilaMbau
@JamilaMbau 2 месяца назад
Ni kweli kabisa
@olivaluseno9057
@olivaluseno9057 6 месяцев назад
Ukitumia condom alafu ipasuke ,Na ukuwe umemwaka spams utapata kwa huyo mtu mwenye ako Na viruses
@erastoonesmo6109
@erastoonesmo6109 3 года назад
🤔🤔
@user-sd5zf6fz4v
@user-sd5zf6fz4v Месяц назад
Inawezekana mmoja mm hapa
@andreamkono8028
@andreamkono8028 2 года назад
Hiii
@ziadamapunda-yk8qi
@ziadamapunda-yk8qi Месяц назад
asante
@erickkagisa833
@erickkagisa833 2 месяца назад
Nilifkr binadam wote ni sawa kumbe hamna!!
@elizasulle775
@elizasulle775 2 года назад
Mmmmmh 🤔🤔🤔🤭
@hellaskarras1567
@hellaskarras1567 3 месяца назад
sio nchi z ulaya tu hata duani kote wapo nikulingana na group ya damu aliyonayo huyo mtu wapo wote duani sio ulaya tu acha kudanganya watu
@chantalndayishimiye9233
@chantalndayishimiye9233 3 месяца назад
Nimekuunga mkono nina ushuhuda
@lutandulabahati4159
@lutandulabahati4159 Год назад
Inachukua mda ngan kuonyesha kuaunamaabukiz baadaya kutoka kushiliki na muasilika
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@SANGOSAIDY
@SANGOSAIDY Месяц назад
Achaumbea brother huoni Toto Naupuuzi ukimwi niukimwi
@saidmatikti2783
@saidmatikti2783 3 года назад
Nishawahi kabisaaa kuckia Habari hiiii
@abuuselemani6043
@abuuselemani6043 Год назад
Hivi xax unaweza kujijua vip kama wewe cell zako azishiki maambukizi
@CatherineCatjoh
@CatherineCatjoh 3 месяца назад
Mm navidonda mdomoni na kimoja kinauma sna km mito ni kipele na vidonda vipo vingine juu ya ulimi lkn nishapima km mara 2 sna kitu sna maambukizi yoyote na nasumbuliwa na madonda niliumwa mda mrefu sna vidonda vya tumbo km mwezi je vidonda ni vya homa au
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@emwanuelmapalala8099
@emwanuelmapalala8099 2 года назад
Nakubaliana na wewe
@davidmguji4409
@davidmguji4409 13 часов назад
Je, hapa Tanzania wapo watu wa aina hii. Ni vipimo gani vinavyogundua kuwa huyu mtu hana receptors yaani sehemu ya kujishikiza virusi vya ukimwi. Je, kuna programu ya serikali ya kuweza kufanya sensa kuwajua hawa watu hapa kwetu tz
@sufianially8497
@sufianially8497 Год назад
Ni kweli
@AshuraChamwana
@AshuraChamwana Месяц назад
Nikweli ninaushuhuda. Kaka
@user-lx3zm3cq3n
@user-lx3zm3cq3n 3 месяца назад
mm nakauka koo
@RazaqMtei-d7u
@RazaqMtei-d7u 11 дней назад
Ni kweli mimi nilifanyanya mapenzi namwanamke mwenye ukimwi miaka 5 cjapatA
@user-yl2ej4ex6l
@user-yl2ej4ex6l 5 дней назад
Really
@jgjf701
@jgjf701 3 года назад
Niko na swali mm kama nilipima na mpenzi wangu nikapata tuko sawa kumbe yy alikuwa na mwengine ambae ana virusi je mm Niko hatarini ama coz nilimpima nikampata yuko sawa
@magynzioka1122
@magynzioka1122 9 месяцев назад
Msijamiane Hadi miezi mitatu hihishe uku mkirudia vipimo
@GwakisaMwaisanga-th7uz
@GwakisaMwaisanga-th7uz Месяц назад
Umuache maana huyo ni malaya
@DamasKamani
@DamasKamani 5 дней назад
Kwanini wasioambukizwa wawe ni wasicandinavia wengi na sio wengine
@arcadomalik54
@arcadomalik54 2 месяца назад
Wanotumia dawa wanaweza kuambukiza
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598 8 месяцев назад
kuna watu hawawezi kuaota ukimwi. mfano watu wa group la damu O- HAWA NIWACHACHE PIA DUNIANI yani. ningumu wana damu kali
@TheePwaniFamily
@TheePwaniFamily 2 года назад
Huu urongo mtupu... Ukipatikana kuwa wewe huwezi kupata ukimwi inamanisha wewe ni carrier
@ambassadorkatemeambassador2840
@ambassadorkatemeambassador2840 2 года назад
🤥
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 Месяц назад
Siku ya kufa ikifika utakufa tu,Ata ukae ndani ya chupa, nikumuachia mungu tu
@AnnaJeremia-pz7ux
@AnnaJeremia-pz7ux 2 месяца назад
Danganya watu sasa
@ErickMollely-kp6jq
@ErickMollely-kp6jq Месяц назад
Atari zana mungu awalinde watoto wake hakuna jis?
@topaviator
@topaviator 3 года назад
Dfh
@emanuelconstantino7251
@emanuelconstantino7251 17 дней назад
Je mwenye gulupo o inakuweje
@SANGOSAIDY
@SANGOSAIDY Месяц назад
Tena achakabisa upuuzihuo
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Год назад
Najuaje mtu ana hizo seli
@mikeotada1690
@mikeotada1690 12 дней назад
Mbona wawe ulaya tu
@monicerz
@monicerz 3 года назад
🤒🤒
@user-hy7sy5fo7l
@user-hy7sy5fo7l 8 месяцев назад
Je kama mtu amepata maambukizi ya vvu japo vipimo havijaonesha kuwa mtu ana vvu ,akijamiana na mtu mwingine anaweza kumwambukiza vvu?
@dadollary
@dadollary 2 месяца назад
Hapana mpka awe na copies 50 ndo anaweza
@HappyFamily-qz9up
@HappyFamily-qz9up 11 дней назад
Copies 50 ndo nn
@happyjimmy7361
@happyjimmy7361 2 года назад
Nikweli Tanzania tupo
@masaganyambada4306
@masaganyambada4306 Год назад
Kwel happy au utani
@user-sj6rh6xl7t
@user-sj6rh6xl7t Месяц назад
Hata mimi niliwai kuwa napenzi mwenye ukimwe lakini sikupata na yeye alikufa mwaka 2002
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@user-gq7ys5yh2y
@user-gq7ys5yh2y 5 месяцев назад
Ukikadiriwa kuwa utaupata haijalishi upo Sweden au Zimbabwe utaupata hayo ni makadirio ya muumba kondom haizuii wa huna ujanja wa kukwepa ikiwa umekadiriwa kuupata. Tumuombe msaada wa ulinzi muumba wetu
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@elizasulle775
@elizasulle775 2 года назад
Mbn Kama sikuamini vile na somo lako silielwi
@faridasallum9572
@faridasallum9572 2 года назад
Je ukigusa dam ya mwasirika unaweza kupata
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 11 месяцев назад
Jee ukingwatwa mtu mwenye ukimwi unaweza kupata
@HellenMdogo-yj6bq
@HellenMdogo-yj6bq Месяц назад
In boxx nikwambie
@user-oz7fm3ss5r
@user-oz7fm3ss5r Месяц назад
Mimi nikona swali,ukilala na mtu mwenye akona ukimwi,na akose kukumwagia,ni lazima upate ama
@JumaAlly-zl1ze
@JumaAlly-zl1ze Месяц назад
Ukimwi haupat kwa kumwagiwa una upata mchubuko pale mnapo kuwa mnajamiana au kushea vitu vyenye incha kali na mtu alie hasirika
@user-fe8tx5bo2f
@user-fe8tx5bo2f Месяц назад
Doctor mm nimekwisha tembea na wanawake zaid ya watatu na Kila napo Pima sina
@freenaturetv
@freenaturetv Месяц назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-RKAlD8QIPCk.htmlsi=X5wv4XdV2_e2GQF_
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Месяц назад
Ko we ni mmoja wao
@SalumPius-xw4dr
@SalumPius-xw4dr Год назад
Kuna uwezekano wa kukakua mwili wangu una receptors au hauna
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 28 дней назад
Ili iweje?
@KennedyOwinyo
@KennedyOwinyo Месяц назад
Je kati ya vikundi vya seli za Damu O,A,AB, B Kuna isiyo weza kuambukizwa kwa uraisi?
@adinaneyassinefelicianofel8110
@adinaneyassinefelicianofel8110 Месяц назад
O
@GreysonGasper
@GreysonGasper Месяц назад
Hata mi naskiaga hiyo kitu
@suleimanabdallah5088
@suleimanabdallah5088 2 года назад
Uwongo acheni
@afyatips
@afyatips 2 года назад
Kuna uongo gani hapo?!
@happyjimmy7361
@happyjimmy7361 2 года назад
Nikweli weeee
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 Год назад
usimtukane mamba kabla hujavuka mto
@user-ic7felix
@user-ic7felix 29 дней назад
Kiss ndio mbaya lakin mboro hakuna ,, sperm haina ungochwa
@abuuaiman9575
@abuuaiman9575 2 года назад
ungeelezea inatokana na nini mpaka asipate huku ukilinganisha na group yake ya damu au uongeze maelezo kindani zaidi kwani baada ya kusikia hii audio yako ndo mtu anazid kuwa na maswali meng
@scolaodeyo8110
@scolaodeyo8110 Год назад
Haitegemeani na group la damu! Kutokuwa na hyo receptance ni uumbaji wa Mungu tu
@deeneejm5846
@deeneejm5846 Год назад
Na wale weny group 0 wanawwza pata
@afyatips
@afyatips Год назад
Ndio anaweza kupata
@herminachrispas888
@herminachrispas888 2 года назад
Ukilomance na muathilika Kuna uwezekano asilimia ngapi kuambukiza? Vvu?
@youngmoneyyoungmoney3487
@youngmoneyyoungmoney3487 Год назад
Kuna asilimia chache kwa sbb inategemea kama wote hamna michubuko mdomoni ambayo inatoa damu
@happynelson1180
@happynelson1180 2 года назад
Ni kweli kuna watu hawawezi kuambukizwa ukimwi lakini hao watu hawawezi kujijua na kuwa baadhi ya hao watu wako nchi za scandnavia inaweza kuwa kweli maana kwenye hizo nchi hazina maambukizi mengi kama Sweden wenye ukimwi hata 10 000 hawafiki
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 4 месяца назад
Hakuna maambukizi mengi kwa sababu ni watu wastaarabu mambo ya ngono hawana muda nayo.
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 28 дней назад
Kabisaa! True..Africa ngono wamefanya kama chakula..Tena wanakula hata kama hawana njaa!
@scolaodeyo8110
@scolaodeyo8110 Год назад
Je, kuna kipimo cha kujua kama una receptance au huna???
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 4 месяца назад
Kwani hao wa Scandinavia waliwatambuaje Ina maana Kuna vipimo vilifanyika.
@dondallas6683
@dondallas6683 Месяц назад
Unataka kujua upige Tako bila stress
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 года назад
Utajuaje km auwezi kuambikizwa vvu
@user-is2vr2xo6m
@user-is2vr2xo6m 3 месяца назад
Unabidi ujaribu na mutu mwenye ukimwi
@gracejonh4022
@gracejonh4022 3 месяца назад
@@user-is2vr2xo6m jaribu na wewe
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 28 дней назад
​@@user-is2vr2xo6m😂😂😂😂😂
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 3 года назад
Asee sijapata kuona jitu jiongo km ili da
@zuriathdasilver810
@zuriathdasilver810 2 года назад
Hahahahaha
@rukaiyamkiwa7865
@rukaiyamkiwa7865 2 года назад
😄
@celinejustine3930
@celinejustine3930 Год назад
Huu ni ukweli moja wapo ni mimi.... ila naona si kisayansi. Nahisi kuna nguvu ya mungu hapo. Kma ni ukimwi ningeshapata ila ni nguvu kubwa ya mungu nipo nayo. Siamini kma kisayansi uchomwe sindano ya mtu wa ukimwi na usipate. Ninachoamin ni nguvu ya mungu
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 2 года назад
Mboni ueleweki
@milkakeya5993
@milkakeya5993 3 года назад
Na mtu akiwa na ugonjwa wa ukimwi ni lazima atambukiza mtu ana kuna wale hawawezi ambukiza mtu
@afyatips
@afyatips 3 года назад
Mtu ambaye hawezi kuambukiza UKIMWI ni yule ambaye ametumia dawa vizuri na kufanya virusi vipungue kiasi kwamba hata akienda kupima virusi vinakuwa havionekani kwenye damu
@joyceimani539
@joyceimani539 3 года назад
Vipimo vyote havionekan??? Au kipimo Cha pili ndio hauonekan???
@milkakeya5993
@milkakeya5993 3 года назад
@@afyatips Asante sana coz mm nko nazo but huwa siambukizi mtu na ni muda tuko wote Kwani sasa hata tuko na mtoto naye but Jamaa anajua mm nko nayo
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Год назад
@@milkakeya5993 Kweli????
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 28 дней назад
Uongo..
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de 11 месяцев назад
Je kwetu africa hao watu hawapo??
@sarabura8933
@sarabura8933 3 месяца назад
Na zani ni MUNGU anatulindaga jamani mm niliishi na mgonjwa tena alikuwa anakoowa sana nimeishi naye miaka mitano na tulikuwa tunajubuana ila na mshukuru MUNGU sikupata nikaja nikaanza mausiano na mwengine tena na yeye alikuwa umekolea sana lakini MUNGU alinilinda jamani tena yule wa mala ya kwanza nilimpenda sana ataakawa anajisikia vibaya yeye anao mm sina nikaanza kufanya makusudi ili niupate na yeye alizike ikashindikana mpka badaye nilipo safili ndio tukaachana kwaiyo iyo ipo jamani MUNGU wetu ni mkubwa sana mm amenilinda kama ni yamini tulikula lakini wapi namshukuru MUNGU kwa kunilinda
@mfilipinomshana2405
@mfilipinomshana2405 3 года назад
Hivi kweli kondom inazuiya ukimwi?
@afyatips
@afyatips 3 года назад
Mfilipino Mshana ndio ikitumika kwa usahihi huwa inazuia
@andreamkono8028
@andreamkono8028 2 года назад
Hv ukifanya namtu mapenzi hujavaa condomu utatumia mda gani upate ukimwi
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 2 года назад
Kama unae fanya nae ameathilika wewe ukichubuka tu na kugusa Yale majimaji au Damu basi itakuwa umeathirika Cha kukuokoa ukiona una wasiwasi na ngono mliyoifanya na humwamini uliye fanya nae wahi hosipitali kabla ya massa 72 hayajapita.
@Hunchotreez
@Hunchotreez Год назад
Asa utajuaje kama umechubuka?
@FuraziaPaul
@FuraziaPaul 8 месяцев назад
Ivi kupata siadi ote mchubuane au
@mwinyimadk.longwa6327
@mwinyimadk.longwa6327 3 месяца назад
Wiki tatu tu
@daudidaudi5342
@daudidaudi5342 Месяц назад
Nina mademu wawili na wote wanao rkn Huwa nakula kavu mwaka wa 5 huu
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 28 дней назад
Endelea! Ongeza wengine...
@satwanthoogan6746
@satwanthoogan6746 3 года назад
Wanasema ukimwi unapata kwa mchubuko, mfano ukiwa unafanya mapenzi... Sasa ukipaka mafuta wakati wa Kufanya mapenzi huwezi kupata ukimwi?!
@smarty1064
@smarty1064 2 года назад
we jichanganye tu uone balaa lake
@zuriathdasilver810
@zuriathdasilver810 2 года назад
@@smarty1064 hhahahahaha
@smarty1064
@smarty1064 2 года назад
@@zuriathdasilver810 anajitoa ufahamu ngoja ajichanganye tumpelekee matunda hosp
@GodfreyByamungu
@GodfreyByamungu 2 года назад
@@smarty1064 mwambie 😂😂😂
@sulainanamkasa165
@sulainanamkasa165 2 года назад
Mmh
@maryamkokani4683
@maryamkokani4683 Месяц назад
Ukiwa 0 positive sirahisi kupata ukimwi.tupo tele africa kwataarifa yako
@user-tw4ko8cs4s
@user-tw4ko8cs4s Месяц назад
Grp +0 hawez hawezi ambukzwa
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 28 дней назад
Kama wewe ni O+ jifanyie practical,chukua damu ya VVU then jidunge! Maliza miez 6,kapime! Then uje UTOE USHUHUDA
@Boaz-hr9pf
@Boaz-hr9pf Месяц назад
Hao watu ambao hawana izo sehemu za kutunza virus ili baadae waende kushambulia cells wao wameumbweje au nin kipo hadi wawe tofauti na wale ambao wana izo sehemu za virus kujihifadhi before kushambulia cells?
@omarijuma4115
@omarijuma4115 3 года назад
Doctor Mimi huwa nawahi kuis njaaa afu mwili wangu unachemka chemka Sana yaani yaani takuwa na na dalili zipi
@sherabomar6681
@sherabomar6681 2 года назад
Hahahahaa ww sasa unatak kujitisha, some time mwili unakua hivyo pale unapotaka kunenepa inatokeaga sana hivyo na kaucngz flan iv.
@MomEvance
@MomEvance 9 месяцев назад
Kapimw
@prettyfetty3731
@prettyfetty3731 7 месяцев назад
​@@sherabomar66814:20
@manchidomungik9865
@manchidomungik9865 Месяц назад
Nenda pima sukari ingawa sio dalili pekee ya sukari lakini kuna watu wamewah gundulika kwa dalili kama ya kwako
@angelurioh5383
@angelurioh5383 2 года назад
Mume wangu ana ukimw na kumuacha cwez nifanyeje
@rastafare878
@rastafare878 2 года назад
Watu wengine bwana akili zenu zimeingia unga wa muhogo! 😛
@sherabomar6681
@sherabomar6681 2 года назад
We endelea kumpa mzigo tu mtafanana haitaleta shida
@neemaegnatio7725
@neemaegnatio7725 2 года назад
Usimiache mume wako kisa muathirika , maana aujui kesho yako awo wanaokushauri cjui kama Afya zao wanazijua jinsi zilivyo
@jamilatamba2877
@jamilatamba2877 2 года назад
Usimuache fuata maelekezo tu mtaishi
@miurenokomol6172
@miurenokomol6172 Год назад
Je unaweza pata ukimwi ata kama mwanaume yeye hakumwaga ndani🤔🤔
@dadollary
@dadollary 2 месяца назад
Ndio dada
@tboymanyota
@tboymanyota 2 месяца назад
Darasa la ngapi?
@donahmkasi8935
@donahmkasi8935 2 года назад
Kwa mfano ulale na mtu wa mshuku kma ana ukimwi alafu amwage nje waeza pata ukimwi
@afyatips
@afyatips 2 года назад
Ndio uwezekano upo. Kinachoambukiza UKIMWI sio mbegu za mwanaume.
@donahmkasi8935
@donahmkasi8935 2 года назад
Ohhhh Kwa mfano labda haku furk na yey sana ama hukuhisi dalili za kukatika labda pia unaweza kupata ivo ivo najaribu kutafuta namba yako watsup lakini haiko nikueleze zaidi
@donahmkasi8935
@donahmkasi8935 2 года назад
Vipi kuhusu sifa za blood group O ni O plain and haipati magonjwa ama ni O yoyote
@rashidielocho4914
@rashidielocho4914 2 года назад
Mimi nina swali nini siri ya kuishi maisha marefu
@shekiffu
@shekiffu 2 года назад
Mungu tuu mwenyewe
@fauziaomary9775
@fauziaomary9775 2 года назад
Muache umalayaa
@getrudemsacky2083
@getrudemsacky2083 Год назад
MMI natembeaga nao tena kavu kavu mpaka leo sina nanina watoto
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 Год назад
🤣😥
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 Год назад
mshukuru mungu Ila sku ya kunasa nimoja
@luckynoel6347
@luckynoel6347 2 года назад
Je mtu mwenye ukimwi akitumia kinywaji Cha baridi alafu akapima Kwa mda huohuo virus havitaonekana Kwa wakati huo
@afyatips
@afyatips 2 года назад
Ndio vitaonekana. Vinywaji vya baridi haviathiri uonekanaji wa virusi
@luckynoel6347
@luckynoel6347 2 года назад
@@afyatips sawa asante nimeelewa
@adelinamaiko9272
@adelinamaiko9272 Год назад
Mh
@adelinamaiko9272
@adelinamaiko9272 Год назад
Mimi nadeti na mtu nimemkuta anakunywa vidonge vya ukimwi na tumeenda kupima yuko vizuri je akinywa vile akipima aonekani?
@ashleystarqueen8780
@ashleystarqueen8780 Год назад
Mume wang ananiambia anawashwa na koo namuona akona homa namuona pia yuwaumwaumwa mtu mm simuelew maana naota anachepuka pia je naez enda kupimwa nikipatikana sina naez chukua prep yaez nisaidia tafadhali maana mm sion dalili kwang nisaidie doctor nijiokoa😥😥😥maana nataka nimuache ananifnya nishtuke
@ashleystarqueen8780
@ashleystarqueen8780 Год назад
Hajawahi kubali tukapimwe ukimwi na tumeoana hivi majuzi alfu anafnya kazi ya usku sijajua mbn yuko hvo
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 Год назад
si umshauli mkapime
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 Год назад
@@ashleystarqueen8780 sasa siukapime ww ukikuta upo salama uchukue tahathari
@Until835
@Until835 Месяц назад
​@@ashleystarqueen8780😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@denisomondi5580
@denisomondi5580 6 дней назад
nimekuwa na wanawake Kadhaa walio na virusi vya Ukimwi lakini nimepima mara nyingi hadi Elisa lakini niko sawa kabisaaaa.....MUNGU WANGU NI MKUBWA
@marryafam2842
@marryafam2842 3 года назад
Nakubaliana na wewe 100%
@afyatips
@afyatips 3 года назад
Thanks 🙏🏾🙏🏾
@happyjimmy7361
@happyjimmy7361 2 года назад
Nikweli Tanzania tupo
@mudymnazalet3229
@mudymnazalet3229 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ElizaPetro-fy2rm
@ElizaPetro-fy2rm 3 месяца назад
Samahan naweza kupata no yako kunajambo nataka unishauli please
Далее
🤔
00:28
Просмотров 1,1 млн
Камень, ножницы, нейронка
00:33
DALILI ZA MWANZO ZA HIV NA UKIMWI
10:39
Просмотров 51 тыс.
DALILI ZA GONO (KISONONO/ GONORRHEA)
5:13
Просмотров 58 тыс.
SIFA ZA MUNGU USIZOZIFAHAMU- EV MGOMBA
6:14
DAWA NZURI YA YUTIAI (UTI)/URINARY TRACT INFECTION
31:19
🤔
00:28
Просмотров 1,1 млн