Ni muhimu kutambua kusudi la uumbaji wako...Why are u here on Earth?? Je una kitu gani cha kipee ndani yako?Jifunze mbinu izi chache za kutambua kipaji chako na namna ya kukikuza
Hello Dada, nafurahi kwasababu ya channel yako nimeipata nikitafuta channel za kiswahili, mimi huwa nafanya mafunzo ya Bibilia kwa kizungu na natamani kuanza kufanya kwa kiswahili. Nakuhimiza usichoke kuwafunza wengine