Radio imani hamujaona mashekh wa kuwaita kuwahoji mbona huyu shekh anapotosha sana umma ni shekh wa kwenda na matamanio ya watu hawafati dini yey na mdogo wake wanekuwa ni watu wanaojinasibisha na sunnah lakini mtihani mtupu fatuwa zao
Acha ukhanithi weye unaelimugani ya kumbeza sheikh abdul qadir na ndogowake hiyo lugha pia huijui unapatawapi nguvu ya kuwasema halafu weye sie unae andika ibada za waja wahabiweye
Hawa namdogowake kishki wanajifananisha na watu wa sunna lakini ni masufi wanazaka kumridhisha kilamtu fatu zao hazieleweki ziko baina wabaina mcheni allah acheni uzushi,
sunna sio ya mtu au yakikundi fulani sunna ni ya waisilamu wote. waislamu wote duniani ni watu wa sunna.lakini kabla ya kumwambia mtu sio mtu wa sunna kwanza ujue nini maana ya sunna kilugha na kisheria naujue na ujue nini hukmu ya kusema fulani sio mtu wa sunna utumie vigezo vya kisheria
Matendo na Akida yake ndo utajuwa huyu mtu wa sunnah au so mtu wa sunnah ukisema waislamu wote duniani ni wasunnah hata mashia nao ni wasunnah siyoo sunnah ya kutukana swahaba hiyo au sunnah ipi masufi nao ni watu wa sunnah pia
Eti usalafi unawauma, hii ni kutokujua maana sahihi na tafsiri sahihi ya salafi, waambieni maana sahihi ya salafi ni waja wema waliopita, na sio kujipachika jina la usalafi na wewe mwenyewe ukabweteka kwa kujiona ni mja mwema, Nyie munaojiita masalafi kwa sasa ni kama vile munatafuta Kiki na umaarufu lakini hamna kitu, hili kundi ni pote tu limeanzishwa na uwasili wake ni uwahabiya yaani mawahabi, munajificha mgongo nje, eti sisi salafi yaani munachukuwa jina la waja wema munaojiita
الجواب: الدعاء في صلاة الفجر دعاء القنوت ليس بمشروع، إلا للأسباب إذا كان هناك أسباب وهي: تسمى أسباب النوازل، يعني: إذا كان هناك نازلة بالمسلمين مثل حرب نزلت بالمسلمين عدو هجم عليهم أو على بعض قراهم يدعى عليه، أو عدو قتل منهم بعضهم كما دعا النبي ﷺ على من قتل القرَّاء، ودعا على أهل مكة لما أمعنوا في الكفر، هذا يقال له: القنوت في النوازل هذا مشروع. أما القنوت في الفجر دائمًا فالصواب: أنه غير مشروع؛ لأن سعد الأشجعي سأل أباه فقال: يا أبت! صليت خلف رسول الله ﷺ وخلف أبي بكر و عمر و عثمان و علي أفكانوا يقنتون في الفجر؟ فقال أبوه: أي بني محدث وهو سعد بن طارق الأشجعي رواه الخمسة إلا أبا داود بإسناد جيد. فهذا يدل على أن القنوت في الفجر غير مشروع، إلا للنوازل خاصة كما تقدم، وأما رواية أنه كان يقنت في الصبح حتى ما زال في حياته عليه الصلاة والسلام، هذا ليس بصحيح بل هو ضعيف، في بعض الروايات عن أنس أنه كان يقنت حتى فارق الدنيا عليه الصلاة والسلام، ولكنه لو صح لكان واضحاً، لكنه حديث ضعيف الإسناد، وقال بعضهم: لو صح معناه أنه كان يطيل الوقفة بعد الركوع؛ لأن طول القيام يسمى: قنوت، وليس معناه القنوت المعروف، بل معناه أنه كان يطيل القيام بعد الركوع عليه الصلاة والسلام ويسمى قنوتًا، ولكن الحديث مثلما تقدم، ليس إسناده بصحيح ولا يعتمد عليه. فالصواب: أنه لا يشرع القنوت في الفجر على صفة دائمة، وإنما يشرع فيها إذا كان هناك نازلة بالمسلمين أو في المغرب أو في العشاء لا بأس أو في الظهر والعصر إذا كان هناك نازلة قنت فيما شاء من الصلوات الخمس، والأفضل في الفجر والمغرب. نعم. المقدم: جزاكم الله خيرًا.
Hawa namdogowake kishki wanajifananisha na watu wa sunna lakini ni masufi wanataka kumridhisha kilamtu fatua zao hazieleweki ziko baina wabaina mcheni allah acheni uzushi,