Ferooz anakuwa ni msanii wa pili kwenye mfululizo wa vipindi vyetu vya Bongo Project. Katika sehemu hii ya kwanza Ferooz anaelezea chimbuko lake kabisa la muziki na mwanzo wa kikundi chao cha Daz Nundaz mpaka kurekodi nyimbo ya kwanza na kushirikiana na maproducer maarufu Tanzania kama vile P-Funk na Mika Mwamba.
#ferooz #daznundaz #bongofleva #bongoproject #bongomusic #feruzi
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
www.bongoproject.org
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
5 окт 2024