Huyu jamaa inaonekana hakuna anachokijua , Mjinga mwenye confidence Pisha Mike kama hujui cha kuongea mbele ya jamii inayokuzunguka huwezi kumpondea JCB mbele ya jamii inayomfahamu vizuri una nini wewe cha kuionyesha jamii kumshinda JCB kama sio kujichora mabaka kama Kenge .
Kiukweli huyu ndio chugaaaa Tena ni chuga chumaa Alafu ni fight Ambae nimemfatilia hana pambano alilo zingua na yote out of Africa 🌍 wanamjua ndio Mana hawamkalibiii