Pia unakuta mwanaume anapenda kuhisi kila muda anaongerewa vibaya kila ukiongea na mtu kwenye cm anataka kujua ulikuwa unaongea nanani na ni nin.mlikuwa mnaongerea..na nani.
Kuna ile mtu anakwambia sisi kwetu kuna sikoseli au kuna pumu. Sasa na mimi nataka kukuoa je uko tayari nikuoe? Unakuta unampenda ila ukifikilia kizazi chako uwenda kitapata sikoseli hp unakuta unamkubali huku unamkataa