Тёмный
No video :(

Fix You: Namna ya kuendelea na ndoa/mahusiano baada ya kusalitiwa na mwenzi wako 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 55   
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Год назад
Mgeni wako huyu yuko vizuri kichwani, ana utulivu, ana madini, beauty with brains.Mualike tena na tena ,ana hekima sana.Hongera dada you are good 👍
@celinaphysoo4919
@celinaphysoo4919 Год назад
Mungu kakupa kitu cha ziada yua so smart ♥️🤍
@marmzrelationshiphub7907
@marmzrelationshiphub7907 Год назад
Kwa kifupi niseme Salome umeupiga mwingi sana 💞💞 umeongea kwa utulivu sana na umeeleweka vyema watu wakifuata haya watakua salama sana hata wasipoendelea kuwa pamoja lakini amani inakua imetengenezwa baina yao.Irene mada muhimu sana maana ni kitu kinatesa wengi sana.Clap Clap 👏💋🥂
@agnesskiginga3890
@agnesskiginga3890 Год назад
Salome yuko vizur sana kuna MTU mwingne anakuwa ametangaza kuachana na MTU halafu bado anakuwa anamfuatilia Mtu yule yule aliyetangaza kumuacha nini cha kufanya
@Tonga994
@Tonga994 Год назад
Huyu dada yuko vizuri sana hakika namkubali sana,hakuna mahali nitamwona niache kumfuatilia na kumsikiliza,proud of you Dear Sister Salome👏👏👏
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
asante sana Neema
@user-qt4kf3dv3b
@user-qt4kf3dv3b Год назад
Ilauyu dada yukovizuli sana nimemkubali sana endeleeni kumualika atupe madini
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Asante sana.
@esthermichael3221
@esthermichael3221 Год назад
Duuh hili somo ni zuri Sana na pia ni guumuu kulielewa kama akili aijatulia na kujitambua. Sister SALOME hongera kwa kazi nzuri unayofanya
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
Safi sana umefanya vizuri kumleta mdada mtaaluma wa mambo haya
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 Год назад
Da Iren Salome namuelewa vzr Sana pamoja na Mwl Kanuti Asante sana Kwa haya majembe
@economistsarafina8085
@economistsarafina8085 Год назад
My favorite counselor
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
Big up Irene Salome yupo vzr sana
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Asante sana
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
@@salomenelson711 uje tena uendelee kutupa madini mamii Kuna mengi hayaseneki jmn
@manyamalima1916
@manyamalima1916 Год назад
Your the best salome
@williamjumbe1928
@williamjumbe1928 Год назад
Hiki ni moja ya kipindi pendwa na bora sana
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 Год назад
Huyu dada❤❤ Salome
@user-vk5vi3es5g
@user-vk5vi3es5g 10 месяцев назад
Ivi mwanaume kakusaliti kimya kimya mpaka ukajua kujua na mungu kamuumbua kapata na maradhi ukimwi lakin mungu fundi mwanamke yupo salama je usaliti km huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km uyu ikiwa ata km ningekuwa mm ndo nimemsaliti ndo ni kapata hayo maradhi basi angeniacha jamani nishaulini mume ndo alikuwa msaliti sana tena ule usaliti wa wazi kabisa unaishi je vp na uyu mtu jamaniii mwenye ushauri nafatilia comment ata uyo dada salome km ataiona hii sms tafadhaari naomba nisaidie ata namba ya cm niweze kusaidika😭😭😭
@PendoAlex-pp9vz
@PendoAlex-pp9vz Год назад
😂😂 Salome Salome umeniponya
@salomenelson711
@salomenelson711 11 месяцев назад
Asante sana. Tumrudishie Mungu sifa na utukufu
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Salome you have say all 👏👏👏👏
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Asante
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
Halafu watu wanaaminishwa wazee ndio wana maarifa. Kumbe maarifa huanzia ujanani. Dada kajaa madini.
@user-qt4kf3dv3b
@user-qt4kf3dv3b Год назад
Mualike tena aludi uyo
@salomenelson711
@salomenelson711 Год назад
Asante sana
@ingabireritha3740
@ingabireritha3740 Год назад
Nice one jamani❤
@KichereTheDataScientist
@KichereTheDataScientist Год назад
💪
@namisunasuleiman8728
@namisunasuleiman8728 12 дней назад
😂😂😂😂😂 nafrah kwa kwel niseme t hichi cha kukaa mbal kibaya zaid jamn waume ndo wanatumia fursa kubwa ya kucheat
@feadamagessa889
@feadamagessa889 2 месяца назад
Jamani kimya kimya tutaongeza ukimwi tuludi kwa mumgu
@Kingajang0
@Kingajang0 Год назад
❤❤
@jworld1480
@jworld1480 11 месяцев назад
hiki kichwa hatari sana
@sarahsingombe
@sarahsingombe Год назад
Asee kipindii kizurii saaana
@hamadsaidy8740
@hamadsaidy8740 10 месяцев назад
Nipo Zambia nafatilia mpe hai salome
@user-vk5vi3es5g
@user-vk5vi3es5g 10 месяцев назад
Dada samahani mim mume wangu alinisaliti na mbaya zaidi alipata ukimwi sikuwahi kujua nilikuja kugundua nilivyokuwa mjamzito tulikwenda wote klinik kupima maginjwa yote yeye akakutwa na ukimwi je usaliti huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km huyu na ni baba mzuri tu kwa watot wake lakin huo ukimwi kaipata kwa kunusaliti alikuwa malaya sana tena kwa dhahili kabisa hakuna kificho ila mim nashukuru ni mzima sijaathilika ni yeye tu
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 8 месяцев назад
Kwanza Dada kabla ya yote tafuta sadaka upeleke kanisani kama uu mkristo au msikitini kama uu mwislam ukamshukuru Mungu kwa huo muujiza aliokutendea Mungu ndio mengine yafuate.
@user-vk5vi3es5g
@user-vk5vi3es5g 8 месяцев назад
​@@happnesskitumbo5713ndugu cyo sadaka tu nilichinja adi kuku kwa kufurahia afya yangu yani nimeponea kwenye mtundu la sindano cyo kitu rahisi lakin mw/mungu aliniokoa katika janga
@subralugege7019
@subralugege7019 5 месяцев назад
Pole uvumilivu unapomza jamani tusivumilie ualiti Bora aoe Kama muislamu
@madamrita9685
@madamrita9685 Год назад
Kindly please send me his number She is the best Nataka kuongea nae .. mama mama mjanja sana kama mimi ..
@mohdabdallahhasarakwao4353
@mohdabdallahhasarakwao4353 7 месяцев назад
Kwa mume kama huyo ni bora mukavunja ndoa tu ikiwa ww hukuathirika
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
❤ Dada kamgisha ulisatiwa Nini inaonekana ulifanyiwa vibaya Sana
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
Watanzania mtaacha lini kudhania!! Inabidi nivae uhusika ili update maudhui nayotamani uyapate!
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
@@irenekamugisha kwenye kipengere hicho unakipiga msumali Sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
​@@irenekamugishaWasamehe bure. Hawajui unajaribu kuuvaa uhusika ili somo lieleweke kirahisi.
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
😂😂😂 basi sawa, tuseme ndivo ili ufurahi, yote kwa yote ahsante kwa kufuatilia #FixYou share na rafiki zako waone Jinsi nilivyopigika😂😂
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Год назад
Watanzania sisi sasa na assumptions 😂😂,unaweza ukawa unafanya maisha yako ukapungua ,kumbe ushakua diagnosed
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Год назад
Mtangazaji inaonyesha anawivu na mumewee sanaa na anawasiwasi sanaa namume wake nakuona tuu😂
@irenekamugisha
@irenekamugisha Год назад
😂😂😂basi sawaa
@rahmaabdillahi2795
@rahmaabdillahi2795 Год назад
@@irenekamugishanaomba namba ya mtoa mada au yako
@mussafoum6562
@mussafoum6562 Год назад
Hollo lreni
@madamrita9685
@madamrita9685 Год назад
Kindly please naomba unitumie number ya uyo mama nimevutiwa nae sana...ni mwerevu sana kama mimi...nataka kuongea nae...
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 Год назад
Dada Iren Asante Kwa kipindi hiki lakini natamani nizungumze nawe inbox huenda changamoto yangu ikapata dawa mbaya zaidi namtumia WhatsApp tu utanisaidiaje?
@anitamwamini2646
@anitamwamini2646 11 месяцев назад
Dada salone mimi naoma kuelewa kuna aina ya mbili za kusaliti yakwanza kuna kusaliti na kuacha su kuendelea Na kuna kuchepuka na kuzaa na muchepuko je hii nayo unaiona vipi? Tunaomba msaada Dada Aileen muombe dada Salome arudi aweze kudadavua hilo tweeze kuelewa hasa kwa wanandoa
@mohdabdallahhasarakwao4353
@mohdabdallahhasarakwao4353 7 месяцев назад
Dada umetoa darsa la nguvu hapo
Далее
Radio Oasis 100.5FM | Salisbury, MD
1:27:49
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,6 млн
MISSION IMPOSSIBLE [33]
24:26
Просмотров 96 тыс.
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,6 млн