Kwenye mziki wa bongo frever hua nasikiliza nyimbo nyingi lakini kiu ya mziki ili ishee kabisa baka nisikie wimbo wa diamond platnamz mpya hua najisikia rahaa sanaaa Wcb4life
Ilo beats hatari natamani niachiwe muda huu wakat #inama kule inafikisha 90mil na #waah ndio inaenda 70mil sasa ndio unajuwa miezi 6 diamondplatnumz alikuwa anafanya nn😅😅🎊🎊🎊 sisi uku wcb_wasafi unasubir BET yetu na mikwaju ndio hiyo sasa mbona watatubu namalizia mwaka huu hatumpi mtu kiki😅😅
Dah! Kwakweli anayemchukia Diamond hana akili. "Kazi yake kumpanga mwenzake majina ya ajabu ajabu eti SADALA." Tatizo watu wanachuki binafsi tu. Diamond peperusha Bendera bro waache na vinyongo vyao.
I am really looking for this Album mr sky 🤣🤣🤣and The Album is gonna be one of the best from Tanzania 👏🏽👏🏽remember to the world 🌍 guys I can’t wait 2 see this Albuem u know me Team wasafi wasafi👍🏽🤣🤣🇸🇪