Тёмный
No video :(

FULL MATCH HIGHLIGHTS | SIMBA SC 7-0 HOROYA AC | MAGOLI,SAVES, FOULS, CAF CHAMPIONS LEAGUE 

TV3 TANZANIA
Подписаться 304 тыс.
Просмотров 848 тыс.
50% 1

Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 153   
@julybwana2844
@julybwana2844 Месяц назад
Kama umekuja kuhakiki Kama camara ndio alipgwa Saba gonga like apa😂😂
@mbwizax87
@mbwizax87 Месяц назад
@@julybwana2844 afadhali sio yeye
@PhilimonMoses-qe3dz
@PhilimonMoses-qe3dz Месяц назад
@@julybwana2844 iviii ni huyuu kweliii
@velxempire8995
@velxempire8995 Месяц назад
kumbe sio 😂
@nathanyjackson197
@nathanyjackson197 Месяц назад
@@julybwana2844 😂😂😂😂 kumbe tupo wengi
@elizabethmayyo1642
@elizabethmayyo1642 Месяц назад
😅😅 mwenyew nipo
@alatupaeliassanga5303
@alatupaeliassanga5303 Год назад
Mtangazaji wa Hovyo Wewe Daaah tumekosa vibe
@georgedeo3726
@georgedeo3726 5 месяцев назад
2024 wanasimba tunaoangalia game hii
@fredyfrancis8011
@fredyfrancis8011 Месяц назад
Jaman huyo Ni Mohammed kamara na huyu Ni mussa kamara ,Mohamed kamara ameenda Singida black stars huyu Ni mussa kamara kaja Simba ,mpaka mpigww makofi ndo mueleww mussa aliukosa mchezo huu akiwa na kadi aliyoipata mchezo wa kwanza aliodaka tukatoka 1/1 mpira kuujua kazi sana
@mecknaika4260
@mecknaika4260 Год назад
Simba na Yanga munatufurahisha sana huku Kenya, sisi huku hatuna timu ya maana tuko na Eliud Kipchoge
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Год назад
🤣🤣🤣🤣ipo siku mtafanya vizuri tu!
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 7 месяцев назад
Eliud😅😅😅😅
@ngobhitv
@ngobhitv 9 месяцев назад
Simba nomaaaa
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 Год назад
Nimefurahi sana kwa ushindi wa jana mmefanya vizuri sana kwetu sisi mashabiki
@kailanhamidu1683
@kailanhamidu1683 Год назад
Simbaaaaaaaa nguvu moja
@menyekivuyo7540
@menyekivuyo7540 Год назад
Love yuu simba ❤❤❤
@Shijajohn5084
@Shijajohn5084 Год назад
Goli la sita hakuna mchezaji wa Horoya aliyegusa pasi ni simba tu hadi goli🙌
@simonmadiba2053
@simonmadiba2053 11 месяцев назад
Simba forever
@danielshango8903
@danielshango8903 5 месяцев назад
Mungu tusaidie hii imkute Al ahly
@laurenciabenard1295
@laurenciabenard1295 5 месяцев назад
Amen
@FatumaMwampepo-gi3vs
@FatumaMwampepo-gi3vs 6 месяцев назад
Mungu asaidie tupate ushindi huu dhidi ya jwaneng
@user-eo6jx6nq3v
@user-eo6jx6nq3v 6 месяцев назад
Hiii simbaaaaa ilikuwa yamoto 🔥🔥🔥🔥 san
@FatumaMwampepo-gi3vs
@FatumaMwampepo-gi3vs 6 месяцев назад
Hatimaye ushindi huu umerudi tena juzi kwa jwaneng
@manunitedfans5
@manunitedfans5 6 месяцев назад
tumepata shoga angu
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 5 месяцев назад
@@FatumaMwampepo-gi3vs Lilipungua goli 1. Nilitamani Jwaneng wapigwe 9-0🤣🤣
@user-tz6ds8rq1i
@user-tz6ds8rq1i 7 месяцев назад
Lion in work
@edwintv5991
@edwintv5991 Год назад
Simba ni Baba WA soka afrika
@omaryjuma3748
@omaryjuma3748 5 месяцев назад
Kesho inshaallha
@Frankkambona-js7vf
@Frankkambona-js7vf Месяц назад
Uyu sio moussà camara na pia moussa camara wetu akucheza kweny match h
@billgussy6099
@billgussy6099 Год назад
Hongera mtani
@Black-t3x3k
@Black-t3x3k 6 месяцев назад
Galax atakutana kikubwa zaid ya hichi
@OswadJoel-u8k
@OswadJoel-u8k Месяц назад
Siyo
@user-od4es1kd9r
@user-od4es1kd9r 8 месяцев назад
Wanathimbaaaaa
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 Месяц назад
Duh nyie cham sii masihara yanga wamesajiri vizuri nawaambieni wamemchukua sterling
@kotemutumbaire-pu2zr
@kotemutumbaire-pu2zr 11 месяцев назад
Huyu mtangazaji asirudie kutangaza mechi kubwa kama ya simba bhana anatukosesha raha kabisa
@jumayusuf2684
@jumayusuf2684 Год назад
Jamaa kelele zimezid unaangalia kwenye tv nin
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 Год назад
Goal la 6 zime pigwa pasi 18 mpaka goal lina fungwa
@lkbechi
@lkbechi Год назад
كيف تريدون ل سيمبا الفوز على أسد الأطلس
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 8 месяцев назад
Tutamis chama😂😂😂
@JumaBakari-x4p
@JumaBakari-x4p 19 дней назад
Nimekuja kuhakiki je kweli nimusa Camara au mwingne
@user-on4ym3zk2j
@user-on4ym3zk2j Месяц назад
Tuliokuja kuona kama camara ndo aliyepigwa saba baada ya kusajiliwa simba😅😅😅
@barakajony
@barakajony 2 месяца назад
Du. Simba hawaaa
@user-nl9xe5bu1x
@user-nl9xe5bu1x 6 месяцев назад
Kocha tunaomba chama schezee namba 10 yake
@PephiasLinus-up8rh
@PephiasLinus-up8rh Месяц назад
Kimenileta hiki tuuu. Sasa nimejirizisha. Hakika ni kipa mzuri.
@saumsaid1966
@saumsaid1966 Год назад
Golikipa anajiuliza nipo peke yangu uwanjani
@RogersRugumisa
@RogersRugumisa Месяц назад
Huyo. N mohamedi Camara 😂
@makkamakka9171
@makkamakka9171 Год назад
😂😂😂😂😂 sadio kanote goli lake limetesa watu maan sio kwa mkimbio huo kibu kamfata hamfikii😂😂😂😂
@WastaraMsangi-ck9tu
@WastaraMsangi-ck9tu Год назад
Nimefurahi sana jaman huyu chama atawauwa👹❤💖😁😅
@AdhamAlliy-mg5py
@AdhamAlliy-mg5py 7 месяцев назад
Mambo
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
Jitahidini mrekebishe vifaa vyenu ili shangwe za Mashabiki zisikike vitaboresha Video sio video inapoa hivi unasikika wew Tu bwana
@mwajumbeayub4173
@mwajumbeayub4173 6 месяцев назад
nakwambia hata maskio yanauma ukimskiza
@JuliusMollel-jz4xl
@JuliusMollel-jz4xl Месяц назад
Camara aliyesajiliwa simba sio huyu aliyefungwa saba
@benedictojanuary4930
@benedictojanuary4930 Год назад
TV 3 muajiri watangazaji wanaojua kutangaza mpira hao mlionao hawajui kutangaza bhana na vibe la mashabiki mmelizima
@radiammchecheto5050
@radiammchecheto5050 Год назад
mtangazaji unasikika ww tu!! tunakosa vibe la mashabiki inafanya video iswenzuri
@frankkalanda872
@frankkalanda872 Год назад
Sure!
@emmanuelspenas8044
@emmanuelspenas8044 Год назад
Unaangalia mpira au vibe la mashabiki
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
@@emmanuelspenas8044 hujui kitu wew fan kama fan anaejua boli lazima ukipata shangwe zile video inakuwa Bora zaidi
@allymaulidkanungu3770
@allymaulidkanungu3770 Год назад
Kweli aisee wanazingua
@BigDreamsWorldwide
@BigDreamsWorldwide Год назад
Sijui kwann mwaka huu mpenja hajapewa game hizi daah namic vibe lile la Simba vs Nkana
@beatusjackson3638
@beatusjackson3638 Год назад
Hakuna mtangazaji hapa. Anatangaza mpira kama anatangaza magazeti
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Год назад
Angekuwa mpenja tunge enjoy sanaaaaah
@menad255
@menad255 Месяц назад
KUMBE SIO YEYE KWEHERINI 😂😂😂😂😂😂😂
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 5 месяцев назад
Mtangazaji alipwaya sana
@MwakapalaJulius-om8gz
@MwakapalaJulius-om8gz Год назад
Hakika chama ni fundi
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 7 месяцев назад
Nimeona nijiliwaze leo hiii..simba tunapoelekea mlandege
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 3 месяца назад
Mbona Ni walewale wachazaji waliokuwa wanatupa Raha, inakuwaje msimu huu kuwa wabovu?????
@user-ph2oz5rd8w
@user-ph2oz5rd8w 11 месяцев назад
Utangazaji hauendani kabisa na hadhi ya mechi hii. Mechi kali ila mtangazaji ameua vibe ya mechi, kifupi kapoza mnoooo!
@fatumaomary6110
@fatumaomary6110 10 месяцев назад
Kasome utangazaji tena sijawahi kuona mzinguaji kama wew
@loner_wolf
@loner_wolf 6 месяцев назад
Kanoute game za kuamuwa ndio huwa anafunga
@abigailmwanjela1083
@abigailmwanjela1083 Год назад
Uyu Baleke ni noma jamani Mayele anasubiri
@costantinejohn-xn6lw
@costantinejohn-xn6lw Год назад
Mtangazaji hajaitendea haki hii mechi.....angekuwepo baraka mpenja ingenoga!!
@issaali7669
@issaali7669 Год назад
@@costantinejohn-xn6lw Kabisa hata mimi huwa nasema hizi gemu mwenyewe ni Baraka Mpenja au Gharibu Mzinga waliobaki wasubiri kina Ihefu Geita na Y.
@chrissg4026
@chrissg4026 Год назад
Hayo mabomu ya Putin yalikuwa ya nyuklia kabisa😂
@user-ii8qd6ux1h
@user-ii8qd6ux1h 8 месяцев назад
Mkeo au mumeo akikukera njoo uwakarie burudani hii unasahau kilakitu.😂😂😂
@meshackjackson2838
@meshackjackson2838 Год назад
𝑆𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑡𝑎𝑚𝑢 𝑎𝑠𝑖𝑘𝑢𝑎𝑚𝑏𝑖𝑒 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑒𝑤𝑒
@imaniulindula6440
@imaniulindula6440 Год назад
Ushindi usio na mbambamba
@johnkashamba
@johnkashamba 6 месяцев назад
Hii video imepoa sana Wala haishawishi kuitazama 😢
@DaimonSiwakwi
@DaimonSiwakwi 8 месяцев назад
Mpaka sas bado Mimi naangalia hii mechi
@MwakapalaJulius-om8gz
@MwakapalaJulius-om8gz Год назад
Jean balekeeeee
@JamalDaudlulyeho
@JamalDaudlulyeho 2 месяца назад
Mtangazaji we fala kwel unatangaza kama unatoa historia ya marehemu kudadeq zako kabisa
@shaukatashiq137
@shaukatashiq137 Год назад
Game ilikuwa tamu lakini mtangazaji kelele ni nyingi jifundishe utangazaji
@gileadmushi8294
@gileadmushi8294 Год назад
Sauti loud sana mzee vpi???
@user-dk8uo2pi4y
@user-dk8uo2pi4y 7 месяцев назад
Hakuna mtangazaji hapo
@lowasameliyo4027
@lowasameliyo4027 Год назад
Hyu mtangazaji hajui kuitangaza ball amelaza mchezo duuuu si wamwajiri mpenjaaa
@GewaSaimoni-uo3xi
@GewaSaimoni-uo3xi 11 месяцев назад
Mpaka waseme
@user-od4es1kd9r
@user-od4es1kd9r 8 месяцев назад
0:51
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 Год назад
Huyu mtangazaji mmnh anasikika pekeakee mpenja ndo anaamsha vibe km lote
@isacksamuel5503
@isacksamuel5503 Год назад
Daah, mwanang 2007 rais alikuwa nani vle?
@jssaa4733
@jssaa4733 Год назад
hakuna mtangazaji hapa 😂
@shabanimwinyikhery1174
@shabanimwinyikhery1174 Год назад
Nmeirudia hii clip mara 7
@mathiaschananja6415
@mathiaschananja6415 Год назад
Mbna imechelewa
@adofood9013
@adofood9013 Год назад
Mbona ahikuji
@BeatriceLameck-hl7hu
@BeatriceLameck-hl7hu 6 месяцев назад
Haaaaa
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 Год назад
napenda sadio anavyo vugumiza mpira😂😂😂
@chrissg4026
@chrissg4026 Год назад
Siyo sadio ni Putin! Na hayo yalikuwa mabomu ya nyuklia!😂
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 Год назад
Mpk sasa naangalia hii mechi
@saumsaum1916
@saumsaum1916 Год назад
Yule kocha wa taifa staa ameludi kwao au yuko tz nauliza jmn
@Tariq2240
@Tariq2240 Год назад
Wacha uwongo ndugu mtangwzaji usiongee vitu usivyo vijua, 2007 mkapa hayupo madarakani
@josephjohn7003
@josephjohn7003 Год назад
Wadau hivi zile kadi za njano za Simba kanoute aka Putin hajapata !?
@salvatorymillinga991
@salvatorymillinga991 Год назад
Highlight zenu ndefu Sana jmn khaa dk 25
@omaraonasir4361
@omaraonasir4361 Год назад
Hapa Simba wamecheza na wanawake,wanaume wako robo fainali,tutawaona
@chrissg4026
@chrissg4026 Год назад
Kama hawa ni wanawake basi wale ambao hawakuingia hata makundi watakuwa ni watoto kabisa😂
@maryamabdurazack6508
@maryamabdurazack6508 Год назад
Mkitangaza acheni kuongea sana… na rekebidheni mitambo na mashabiki wasikike
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 Год назад
Hhhhhhh mboni timu mbovu hiyo hata namungu nzuri
@emmadora7848
@emmadora7848 Год назад
Hao Namungo wako wapi? Ninyi wenyewe ni wabovu Kwa horoya ndiyo maaaa mko shirikisho
@olengoko051
@olengoko051 Год назад
Huyu mtangazaji amevuta bangi tafteni watangazaji wasiotuumiza maskio
@saumsaum1916
@saumsaum1916 Год назад
Sauti ya mashabiki hazisikiki watangazi michosho
@IbrahimuelibarikiYoeli
@IbrahimuelibarikiYoeli 11 месяцев назад
Poor commentary ever
@festomlowegypsum8214
@festomlowegypsum8214 Год назад
Mtangazaji bwege tuu hamna lolote kabisa hajui kutangaza
@alatudinyahya6095
@alatudinyahya6095 Год назад
Jitahidn kuboresha highlights zenu. Katika hii mech naona ziko biased. Horoya nao walishambulia bila shaka. Otherwise it's good
@vckyjohnson1080
@vckyjohnson1080 Год назад
Ni kw7b simba ndo walikuwa nymb
@jimsonndelwa9935
@jimsonndelwa9935 Год назад
We mtangazaji wewe 2007 mkapa alikuwa madalakani kweli
@alphonceomary5117
@alphonceomary5117 Год назад
Tafuteni watangazaji wazuri
@enjoywallwork2305
@enjoywallwork2305 Год назад
Kabsaaa uyo hajui wamfate dogo wa tbc aliyetangaza kombe la dunia
@alphonceomary5117
@alphonceomary5117 Год назад
@@enjoywallwork2305kabisa yaniii
@abigailmwanjela1083
@abigailmwanjela1083 Год назад
Kwanini asitangaze mpenja jamani
@zakiahamisi9840
@zakiahamisi9840 Год назад
Siyo azam tv hiyo
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Hii sio Azam TV wewe.
@IbrahimuelibarikiYoeli
@IbrahimuelibarikiYoeli 8 месяцев назад
Poorest commentary ever 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
@robertmboya7842
@robertmboya7842 Год назад
HOROYA NI KAMA PRISONS ILIYOCHANGAMKA TUU ANAEBISHA SAWA
@2times273
@2times273 Год назад
Prison ya Guinea Iko Champions league alafu Yanga Bingwa ya Tanzania iko Shirikisho si ndio aibu yenyewe
@salhahazaly8042
@salhahazaly8042 Год назад
@@2times273 sema ww🤣🤣🤣🤣🤣
@robertmboya7842
@robertmboya7842 Год назад
@@2times273 🤣HONGERENI MNA WACHEZAJ BORA NA MSIWAFUKUZE KABISA ILI TUENDELEE KUISHI NAO
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 Год назад
VIPES NI KAMA NINI? MAANA ILIMTOA YANGA ILA SIMBA ILIMPIGA NJE NDANI
@robertmboya7842
@robertmboya7842 Год назад
@@zuberhamza7852 ILIMTOA YANGA KWENYE LIGI GANI
@mgayan1222
@mgayan1222 Год назад
WEEK
@Frankkambona-js7vf
@Frankkambona-js7vf Месяц назад
Uyu sio moussà camara na pia moussa camara wetu akucheza kweny match h
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
Jitahidini mrekebishe vifaa vyenu ili shangwe za Mashabiki zisikike vitaboresha Video sio video inapoa hivi unasikika wew Tu bwana
@daudidaudi5342
@daudidaudi5342 Год назад
Matangazo wanachukua kwenye dstv
@vckyjohnson1080
@vckyjohnson1080 Год назад
@@daudidaudi5342 hapana awa matangazo wanachulia kwnye chaneli za mipila za startimes ndo zenye haki ata DStv wanachulia uko,, na kwnye izo chaneli Wana rusha mechi zote
Далее
ДО ВСТРЕЧИ НА РАЗГОНЕ
52:11
Просмотров 453 тыс.
🫢 #tiktok #elsarca
00:11
Просмотров 4,4 млн
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,7 млн
JAMBAZI SUGU LILIVYOULIWA
7:39
Просмотров 394 тыс.
GB64 APANGA NJAMA ALLY KAMWE KAYATIMBA | TUTAMNYOOSHA
24:04
ДО ВСТРЕЧИ НА РАЗГОНЕ
52:11
Просмотров 453 тыс.