Uwe unafanya hivyo hivyo piga movie nzima hapo sasa utafanya uingie kwenye ushindani maana Kuna wengi wanaibuka na wanakupiga gap watu wengi wanapenda iwe mpk mwisho hao wanaosema unaspoil ndio wanakurudisha nyuma hata mm Leo nimeicheki hii kwa vile nimeambiwa ipo mpk mwisho uwe unafanya hivi km upo na nia ya kukua kwa haraka natumai utalifanyia kazi
Niseme tu ukweli watu wengi wa karibu yangu wameamua kutosapoti kwa vile unaishia katikati wakati mtu ana angalia preview kwa Leo la kujua movie yote so endelea kutoa full zote utanishukuru kwa kweli
Yah Fanyaga Hivi Daily Wengne Tuna time ya Kuchek RU-vid TU kuanza tena niitafute movie muda Sio rafiki Ko unaturahisishia Kutupa uondo ili nasisi Tukiwa na Crew zetu zinazojua movie hatuwi nyuma kuzielezea
We n mnoma sana ,naongea kwa niaba ya watu wote ,tunapenda kazi unayofanya ,na tunapenda uwe unatoa back to back ...na zote ziwe znasmuliwa znaisha Kwaniaba ya mafani wako saut ya shabk kindak ndak wa rahul naongea
Umepoa leo kuna test imepotea simamia ulipo wamekijua kwakupitia test yako wanaokupinga wanataka udondoke mzee yaleo kali ila haujacheza kama unavyochezaga🎉🎉🎉
Nilisha wai date na mtu nilie mchukia sana kila saa tulipo onana ilikuwa ugonvi na tulikuwa ni razima tuonane coz tulikuwa tunafanya kazi pamoja mbaka ma boss watu wote walijua mm na yy ni paka na panya ila badae mm nilisafiri so nikaacha kazi so tukapotezana miaka 4 now tunakutana kwenye kazi nyingine kampuni moja tena ila kabadirika sio yule wa zamani jamani mapenzi ata sikuelewa nili mpenda sana na yy alinipenda kwaiyo love ata kama unamtu munachukiana uwezi jua au mtu munapendana mukachukiana kinoma from India dj nakubari move zako tupo pamoja