Тёмный
No video :(

GAMONDI AKIANDAA FURAHA YA WANANCHI MAZOEZINI AVIC TOWN | PRE SEASON 🔰 

Yanga TV
Подписаться 666 тыс.
Просмотров 98 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 147   
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh Месяц назад
Oyaaa eee waliokubaliii usajoliii wa young Africans gongaaa likeee hapaaa kama zoteeee maana. Mwaakaa huu timu yetu itafikaaa mbalii au nyiee mnaonajeeee!!!!😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SophiaKilegu
@SophiaKilegu Месяц назад
Dua bro
@djmarveltzvampire4894
@djmarveltzvampire4894 Месяц назад
Usajolo😂
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu Месяц назад
Du nilikua nimemsi diara na Aucho anae kumbuka pas ya Aucho kumpasia gude na kuwafunga makolo aweke leki hapa 🎉🎉
@makabilatz9679
@makabilatz9679 Месяц назад
Leki yann tena au kuna majani humu 😢
@Andrewmyala-t1b
@Andrewmyala-t1b Месяц назад
Tunajua kua mwaka huuu hakunatimu yoyote ya kuimuduh tim yetu anae bisha aseme wananchi mniamini mm gonga like hata mbili tuh naombeni muendereee kuisapoti tim yetu yangaa hoyeeeeeeeeeeee
@SophiaKilegu
@SophiaKilegu Месяц назад
Nasijikia amani saana na hii timu jamn mungu wabariki wachezaji wetu wa yanga
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад
Nimefurahi kuwaona msonda na aucho 🔰💚💚💚💚💛
@BoniphaceFelisian
@BoniphaceFelisian Месяц назад
Bigapu sana mtu wangu kwa usajili huu tutaendelea kupata rahaaaaaa
@abubakalimavumbi5846
@abubakalimavumbi5846 Месяц назад
I believe young is 💥💥💥💥
@adamtanakhel8185
@adamtanakhel8185 Месяц назад
Inatosha kusema viongozi na wachezaji furaha yetu Iko mikononi vichwania na hata katika miguu ya wachezaji I believe all our technical bench
@MerkJaka
@MerkJaka Месяц назад
hiii timu ni nzur sana ee mungu bariki tubebe CCL
@JastineMakanyaga-bd6wi
@JastineMakanyaga-bd6wi Месяц назад
Daaaaaaaa yani hata mazoezi2 niishalatosha kuwa sisi ni bigwa milele iloveyu yanga mwaaaaaaaaaaa😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu Месяц назад
Max na nkane love nkane zidi kumfundisha kiswahili max
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Nkane endelea na kazi nzuri.
@user-fi1qp7hv5t
@user-fi1qp7hv5t Месяц назад
Hao wazee hatuwataki, kazi hawatopata na uwanachama watauacha hatutaki masnich
@misambo7539
@misambo7539 Месяц назад
Kama unaamini msimu ujao tutamaliza ligi bila kupoteza mchezo wowote gonga like😊😊😊
@zigbrownmatthew
@zigbrownmatthew Месяц назад
Huu msimu hata haito concede goli za ya tano
@yassinsaid-p4l
@yassinsaid-p4l Месяц назад
Hakuna kupotrz
@BADAWY575
@BADAWY575 Месяц назад
Yanga media vitu vingine edit video kama hii yakufichwa Baka kachelewa kuna namna ya uchelewaji leo katika zoezi .lazima mulinde video zetu .but tuko mbaaaaaaali decepline flan leo wachezaji wameinesha ambayo sio nzuri wapeni kisomo kuhusu umuhimu wa time
@samweledward7664
@samweledward7664 Месяц назад
Yanga Bingwa ✅
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Mnsheri🎉🎉🎉🎉
@domisonrichman6499
@domisonrichman6499 Месяц назад
Namuoma mdaka mishale amerudi Diarra😊
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Месяц назад
Makocha Africa Wana hofu kubwa kwa usajili wa Yanga. Umiza Kichwa.
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Месяц назад
😂😂Nimemkumbuka Mzizee...
@moviccreativestudio
@moviccreativestudio Месяц назад
Kibwana mmemuona anacheza komasava tu 💚🖤💛
@Shine-minutes
@Shine-minutes Месяц назад
Tuliomwona diara mkono juu!!!
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Месяц назад
☝️☝️
@SalvatoryMbigili-m2f
@SalvatoryMbigili-m2f Месяц назад
Tumemuona ila kavaa jez number ilikuwaga ya guede😢😢😢😢😢
@SalvatoryMbigili-m2f
@SalvatoryMbigili-m2f Месяц назад
Tumemuona ila kavaa jez number ilikuwaga ya guede😢😢😢😢😢
@flavianajohn5250
@flavianajohn5250 Месяц назад
​@@SalvatoryMbigili-m2fndo unalia😅😅😅😅
@BasuleBasule
@BasuleBasule Месяц назад
Nan Kamuona Bareke Na Leoo
@HassanIbrahim-dt9gs
@HassanIbrahim-dt9gs Месяц назад
Mimi
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 Месяц назад
Bareke ni nani
@neemaisrael688
@neemaisrael688 Месяц назад
MUDA YUPO SANA TANGU DAY 1. LOVE MY TEAM.
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn Месяц назад
Ss pacome nd vp kichwan😊
@SettyRukoloto
@SettyRukoloto Месяц назад
Ahaaaa Raha sana asee
@user-nc2me2ic9y
@user-nc2me2ic9y Месяц назад
Unyama ni nwingiiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@AhazyStanley
@AhazyStanley Месяц назад
Huyo Mzize Hana Rafiki❤
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Max🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@januarymlaki109
@januarymlaki109 Месяц назад
Usajili ulioenda yule safi sana
@adamtanakhel8185
@adamtanakhel8185 Месяц назад
Wafungaji wapewe mazoezi special ya kutupia tuu
@user-lf7sg1vx8w
@user-lf7sg1vx8w Месяц назад
Mnarupatia raha saaana asantenii viongoz wote GSM GSM GSM.
@emmanuelbmaduhu3198
@emmanuelbmaduhu3198 Месяц назад
nimemuona Musonda Roho yangu imetulia sasa
@thandokuhlelatha-wi6vs
@thandokuhlelatha-wi6vs Месяц назад
keep on going bafethu
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Aucho🎉🎉🎉🎉🎉
@BoniphaceFelisian
@BoniphaceFelisian Месяц назад
Sisemi sana mana makolo nao wanaongoxa kwa kwa usajili wa wachexaji wengi wao nae wanasema mwaka huu wayarudishe
@norooshabani8681
@norooshabani8681 Месяц назад
Jamani yanga raha sana gonga like hapa❤
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 Месяц назад
Allaah Akbar
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Baca🎉🎉🎉🎉
@EdoMapipa
@EdoMapipa Месяц назад
Wewe umemuona
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Yaooooo🎉🎉🎉🎉🎉
@pambaboniface1199
@pambaboniface1199 Месяц назад
Kazi njema
@user-hk4hk4gd5x
@user-hk4hk4gd5x Месяц назад
Alhamdullilahi
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Mzize
@chollejr_
@chollejr_ Месяц назад
😂😂😂aucho ilo li mwili akistafuu mpira wa miguu aende ruby
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Simba wamepania kuzirudisha zile saba msimu huu. Halafu eti wamejiamini kweli!!!
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Месяц назад
Waanze kurudisha Sita walizofungwa huko kwanza kabla hawajafikiria saba
@scratcharico6223
@scratcharico6223 Месяц назад
Mwambie aduke aachekujitenga
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Kibwana 🎉🎉🎉🎉
@user-rz4mi8og1w
@user-rz4mi8og1w Месяц назад
Gamond kasha andaa mitego na Mabom anangoja mtu ahingie kwenye 18 zake mabom yamlipukie na Mitego himnase
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Diara 🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Kibabage🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@richardelieza1001
@richardelieza1001 Месяц назад
Yanga makombe mpaka 2040
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Pacome 🎉🎉🎉🎉
@SophiaKilegu
@SophiaKilegu Месяц назад
Nje ya fensi ni watu jmn
@lonelypatientor7348
@lonelypatientor7348 Месяц назад
Raia kama woooote
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn Месяц назад
Diaraa😂❤❤❤
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Dube🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Job🎉🎉🎉🎉🎉
@mikidadymanga1346
@mikidadymanga1346 Месяц назад
Bila kuchoka❤
@PttaMagel
@PttaMagel Месяц назад
🎉😢😮😮oy inatosha jaman
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 Месяц назад
CHAMA aaaaaaa. Wota a goal ,, Dube eeeee waoo,,huu mwaka kuna TIMU hapo zitaumwa Utiai sugu 🤣🤣🤣🤣 Maana hujui utamkaba yupi 💪💪💪
@MoajGraphics
@MoajGraphics Месяц назад
🔰🔰🔰
@daudpaul-c7b
@daudpaul-c7b Месяц назад
Yanga tamu
@abdulyshebby3018
@abdulyshebby3018 Месяц назад
Wakwanza
@JafarishaibMachapaka
@JafarishaibMachapaka Месяц назад
Juma kagom ndani yanga atu taki aondoke
@HappySaid-n7b
@HappySaid-n7b Месяц назад
Yanga tam
@allyabdullah9205
@allyabdullah9205 Месяц назад
Awee
@gabrielngei
@gabrielngei Месяц назад
Namba 11😇
@jackoboabunuasi-hb4qc
@jackoboabunuasi-hb4qc Месяц назад
Tumetisha
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Kapten mwanyeto🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Muda🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@EdoMapipa
@EdoMapipa Месяц назад
Kwani hayupo
@ErickDerick-q9x
@ErickDerick-q9x Месяц назад
Hatuzuiliki sisi mpaka uchoke makombe ndo tutawaachia la sivyo watasahau makombe
@NestoryMapunda-gq3kb
@NestoryMapunda-gq3kb Месяц назад
Safiiii
@GodwinPatrickMdaku-j7i
@GodwinPatrickMdaku-j7i Месяц назад
Wakwanza apa likes zangu
@salemarahbi9171
@salemarahbi9171 Месяц назад
Yanga bingwa😅
@user-cu4mk4lp8v
@user-cu4mk4lp8v Месяц назад
🙌🙌🙌
@MagdalineMambo
@MagdalineMambo Месяц назад
❤❤❤❤
@simonmeruti
@simonmeruti Месяц назад
ni shidaa
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Duke abuyq
@Manilabonaangelo
@Manilabonaangelo Месяц назад
Mafunguo simuoni 😢
@emanuelkazungu7058
@emanuelkazungu7058 Месяц назад
Maisha ya mpira Bana watu wanayapenda ila magumu Sana Yani nikula kulala mazoezi
@BoniphaceFelisian
@BoniphaceFelisian Месяц назад
Kula kolo limoko lilisema kama chama atasajiliwa yanga nae anahamia yanga hatakubali kuendelea kupata tabu makolo
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 Месяц назад
Kama ni kweli Simba wamepeleka malalamiko tff kuhusu chama ninachowaomba msijekutoka mchezoni watafanya Kila Hila hili wawatoe mchezoni tarehe 8 so kuweni sana makini tunalihitaji na Hilo kombe la ngao ya jamii kuanza nalo iwe hisiwe nawatakia Kila la kheri
@chollejr_
@chollejr_ Месяц назад
😂😂😂😂nmemuona bacca nmekumbka penat zake😂😂😂😂
@saidymengwa9996
@saidymengwa9996 Месяц назад
😮
@lamama.
@lamama. Месяц назад
hili club lina nipa rahaaaa da
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Boca🎉🎉🎉🎉🎉
@SuhuurFarxaan
@SuhuurFarxaan Месяц назад
😂😂ligi ianze bhn mm kuna wakati siamin kweli chamaa na dube ni wetu
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 Месяц назад
Wapinzani kwa yanga hii hakuna rangi mtaacha ona😂😂😂
@MkamiMavika
@MkamiMavika Месяц назад
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
@Mloka_designer
@Mloka_designer Месяц назад
Nimemuona baleke
@MarcoPius-gg9zn
@MarcoPius-gg9zn Месяц назад
11 imevaliwa na baleke
@KondoMhando
@KondoMhando Месяц назад
Mbona Dube simuoni mazoezini?, kavaa jezi namba ngapi?
@faidha23
@faidha23 Месяц назад
Kama naona watu watakavyo kuwa wanateseka
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx Месяц назад
Kwenye page za vipapa mkojo utakuta wanaandika ooh mkude sio mwananchi tena shenzi huyu nani ma dako yao
@farajamfaume7545
@farajamfaume7545 Месяц назад
Kocha msaidizi yupo wapi?
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib Месяц назад
Musonda anakizizikweli
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 Месяц назад
Waty wengi nje ya uwanja hawana kaz?
@user-zx8qu1ym8y
@user-zx8qu1ym8y Месяц назад
Tunaomba haj manala ndo atutambulishie ao wchzaj sku ya mwana nch
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Месяц назад
Jamani tujiungeni na yanga Kwa kuwa na kadi ya uwanachama kama kweli tunaipenda yanga
@victormkini2708
@victormkini2708 Месяц назад
Ingekua rahisi sana kujisajili mtandaoni kuwa mwanachama ila ni ngumu hasa si wa mikoani
@KelvnShoo
@KelvnShoo Месяц назад
Awajaamaa watapiga sanaa wana kila kitu kwenye kikosi ya anaye toka substution nisawa na aliye anza Mungu tuepushe na ngarika hii tareh 8/8/😢
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Месяц назад
Camera man tuoneshe Baleke au juzi ulijichanganya?
Далее
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 10 млн
А ВЫ УМЕЕТЕ ПЛАВАТЬ?? #shorts
00:21
Просмотров 1,9 млн
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 6 млн
wimbo mpya wa mwananchi!!!!!!
0:59
Просмотров 790
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 10 млн