nchi hii ni simba na yanga tu, ukiondoka moja kati ya timu hizi lazima ukubali unashuka tu. chama aende yanga akacheze asitafute hizi shida na mashabiki na wapenzi wa mpira, atafeli mazima kucheza kwasababu hakuna mapenzi kwa mchezaji zaidi ya timu
Mashabiki baadhi wanashindwa kutofautisha msimamo wa simba na yanga, sisi hatumkatazi mchezaji kuondoka akiamua ,wachezaji wanajua hilo, tofauti na wengine mpaka rais aingilie kati. na mpaka wamtumie mobeto (msanii) kumludisha mchezaji asiondoke. Simba siyo shida zao. So acheni kuwatumia wachezaji walioachwa simba kwa kiki zenu 😊
Kumkashifu Chama sio poa! Amefanya mengi makubwa akiwa Simba Sports, hata kama ameondoka kwa kiburi haipaswi kumtolea maneno mazito kiasi hiki! Muache aende kwa kuwa umri wake unaenda na anachotafuta k
Dyuu kweli mke akikuacha ukiwa unampenda hakika inauma sana Yaani ww GB ni mpumbavi tu tenah mbwa zungumza mpira unaanza kumchambua chama ww na familia yako yote mnalingana namaisha ya chama peke ake hata robot hamufiki mjinga tu ww
Hii ingekuwa kesi ya Yanga ingeisha leo Lawi ni Simba na Simba ndio mwenye haki. Chama babu yule acha akafie CCM ile sio team ni Serikali kudadeki. Huwezi kuwa na akili timamu ukadharau taasisi ilokupa maisha. Mkude na Chama ni wasaliti na watakiona ktk maisha yao. Kama hawajajifunza kwa Morison na Balotel waduanzi. Kule kafata hela na dharau
Kwani huyo chama kawakosea nn mbona amewapa faida hivo lkn mnamtukana mbona nyie hamjalaaniwa na mama zenu mlivokosea na hiyo milaana hampati ng'ooo mtalaanika nyie wenyewe madebora nyie
Na nyie yanga mnanongwa sasa je angeanzia kwenu huyu chama Nazani angewatia vidole kila mshabiki wa yanga na kwa umbumbavu wa yanga wangevua hizo suruali,
Yaan CHAMA atafute kiki! Are u kidding me? Simba wanawazuga mashabiki wao kwasababu wanajua usajili wameboronga! Huyu huwa hajui akiongeacho! Who needs thank you!? Kingereza chenyewe cha mchongo! Just STFU