Utakuwa ni mtu mjinga Sana wewe kupindukia.... Watu wanaopigana Maisha yao ktk nchi yao ili wapate Maisha nafuu wao na vizazi vyao unawaita wa hovyo?! Wakitoa Kura zao sio wa hovyo ... Ila wakifuatilia malengo ya utoaji Kura zao kwa mtu ili yatimizwe ndio wanakuwa wa hovyo?! Una Akili za kipumbavu Sana. Ili maandamano yasiwe na vurugu ... Lazima polisi wasichokoze maandamano hayo na waandamanaji ... Vurugu inaanza kwa polisi na lzm waandamanaji wajibu ukiwachokoza. Tanzania maandamano polisi hawachokozi waandamanaji ndio maana huoni vurugu huko... Kote Duniani polisi ikichokoza Raia ... Wata react
Mi ni mkenya na naona itakuwa fazari kama tutamwachia 2 alafu tupatane 2027 maanake pia kw ule mswada kuna v2 wakadha amezingatia tukubali 2 na nchi isongee mbele
Kweli nakiona kitu cha pekee kwa putin yan wapinzan wote nyumbani kwao kuna maandamano ruto alipoke mbolea kwa urusi akamsalit haijapita hat mwez amekiona na raiya hawamtaki
Hiyi ya kuchoma moto magari na kuvunja na kuiba maduka na kubaka ndio huwa inakera kwa waandamanaji. Inabidi waandamanaji wawe wakipinga uharibifu wa mali za watu.
Sns serikali ya ruto umeongeza mishahara mikubwa kwa wabunge,mawaziri, speaker wa bunge la kitaifa na senate mca na wengineo sasa huyu ni Kiongozi kweli
This is now politically issues behind... coz that's the country ..and yes people in country so He must deal with everything.. so now My fellow Brothers and sisters they want to stay like that country which got minerals and diamonds 😢😢 pls my Brothers and My sisters kenya ni inchi ambayo tunaichukulia kama innchi imeendel2eya in Africa.. but if u want that 100% peace u will die hunger
Hakuna mtu alie mpinga putin akaachwa salama ktk hiidunia ruto ulifa ya vbaya sana kuchagua upande wa mashoga. Haimanishi kwamba maandamani ya kenya kuwa kuna mkono wa puttin rahasha bali puttin nitaa ya dunia!