Aya sitaki udini wazeee.....Dj Asma anawachora tu. Skia wazee wa Tanzania ebana hili suala nila kihistoria. Kulieleza vyema ujifunze na uwe tayari kupokea...... Mimi naomba wana SNS mkaribisheni Doctor Sulle aongelee huu mgogoro. Kimsingi, Sulle ana udini sana lakini penye ukweli hafichagi..... kimsingi ni msomi pia wa mambo ya dini
Hakina madhara ya hayo makombora, Israel imelipua wiki iliyopita wamelipua naghala ya makombora, mbona hamsemi, Makamanda wa Hezbullah wameuawa zaidi ya 400 mbona hamsemi. Hakuna shambolic la Israel nchini Lebanon ambalo limezuiliwa!! Why mseme uhatati uko pande zile? Mnatafuta visa vidogovidogo kuonesha uhatari wa Hezbullah!! Acheni ushabiki wa ajabu.
Watu wenye akili km nyumbu ni waislamu,, 1 warabu walimshindwa Israel, akiwa na manati na magali ya mkokoteni wa punda na wanajeshi 2000 tu,, uchumi wake kote duniani ulikua zoofu sana,, kwa kumalizwa na adolf hitler,,,, huku warabu wakimiliki vifaru 400, ndege hatari za kivita zaidi ya 300,,idadi ya wanajeshi warabu 2,000,000. Na bado wakashindwa,, leo watamwezea wapi huyu Israel! Anaemiliki technology %70 ya dunia na uchumi wa dunia ameukamata yeye. Hili litakua anguko kubwa kwa mwarabu.
Hongera sana SNS nyinyi ni number 01 in East African ila muwe mnaongelea na habari za Watu waliofariki Burkinafaso , congo na Tanzania msiwe Bias media mna ruhusa kujadili kuhusu Katiba mpya , muungano na Zanzibar , Taswira ya maendeleo yetu mpaka 2030
Cost za Intercepters inategemea na budget ya Jesh, na misaada anayopata. Hezbullah hatumii makombora ya bure. Tatizo kuchangia huku mmeegemea upande mmoja ndo hii
Sky walker tunaipenda GPS lkn inabidi tukuwajibishe mana GPS ni ya kwetu Wana GPS na tumezoeya kuona fact and logic na good projection ya nn kinachoendelea leo story zilikuwa nyingi yaani ni kama story za mitaani na kwa kweli dj smaa haikuwa meza yako leo very embressed sky walker usitukere upo hapo kwa ajili yetu na mlitufunza kuangalia mambo tofauti ama nje ya box leo umetuletea story za vijiweni rudi kabisa utuombe radhi Wana GPS
Nazani nilicho Kiongee sky amefaham sijamtukana Mtu nimetoa maoni yangu kwa hio Sina time ya kukurejeshea matusi inaonekana hujaelewa nilicho kimaanisha @@GeorgeAkasha-zx2rj
Ata nje ya SNS @GPS kunavyanzo vingine vya habari tunafatilia so DJ Sma ni mwongo ata uyo mgeni ameliona ata kina Ali Masubi na Henry nahisi ndo maana hawakuja hawapendi conversation na Dj Sma,andhani yy anajua zaidi
@@abdullahmapesa Kabisa mkuu ila shida ya watu humu hawataki mchambuzi anaeangalia pande zote 2 wao wanataka mtu Kama SMA anaekuwa upande 1 tu mara nyingi.
@@GeorgeAkasha-zx2rj 😂😂😂😂 yeah brother emotion ndo tatizo watu wanapenda yale wanawaza kichwani ndo huongee hukiongea tafauti inakuwa tatizo , usishangae ata na Sisi apa tutakuja kupigwa ma cash sasa ivi 😂😂😂😂😂😂.
Jamaa ni mchambuzi mzuri, ila hili linamshinda kubalance, hivi hao wanaorusha makombora wanayapata bure.? Au hao wanaofadhili wanayapata bure? Ni na wao wanaingia mfukoni. Kama ni kudrain uchumi basi ni wote wanaounga mkopo upended wowote.
Kwa hiyo october 7 ni damu za nguruwe zilimwagwa..... wewe acha hujui unachoongea. Kajifunze dini na history ndio uje utie maneno yenye logic...... Join dote and connect dote za ufahamu kwanza
Ni kuongea kimtazamo binafsi sio kiuhalisia, uhalisia ni kwamba mpaka sasa Lebanon , na misri pia Iran nk hawa ndio wanaoijua vizuri Israeli ndio maana hawawezi kuanzisha vita kichwa kichwa.
Jamani ee...kama Zionism regime ni mbaya asisemee!!!? Hachukii wayahudi per se anachukia vitendo vya baadhi yao, hasa zionists...wake up men, see the truth! Open your minds guys
Mimi naamini Bundara hawezi kuleta mtu mambae hawezi kutoa uchambuzi mzuri,Hata Ally nilisema asome zaidi ili afanye uchambuzi uko balanced...Kila mchambuzi wa kipindi hiki inabidi apewe nafasi.
@@ibnujumanne4054wataalamu wanadai makombora ya sasa ya nyukria yana uzito mkubwa sana tofauti na yale ya japan ambayo yalihesabika kwa kilo siku hzi yana uzito wa Tani kadhaaa na mlipuko wake ni mkubwa sana unaweza kuipasua dunia au kuleta matetemeko makubwa, inaonekana kama hadithi lkn ktk ulimwengu wa sayansi sio hadithi kila kitu kipo under cal culation,, Na ikitokea ulaya wametwangana na haya mabomu nadhan watakuwa wamejitumbukiza ktk umasikini wa kudumu, watakuja kuomba msaada afrika
@@ZeProDJay mjomba ile hata ukiipangua ni sawa na kutwanga maji kwenu utakuwa hujafanya lolote maana bomu lenyewe lina mionzi ya sumu ambayo unaleta maafa makubwa sana
Netanyahu,is not affraid of being taken from power,but israel cant allow Philadophia corridor to be controlled by Hamasi for smuggling weapons from Egypt
Asma ni muislamu asie penda Israel. Ila ukitaka kujua ukuu wa Israel ka muulize Sheikh Sulle. Au mkaribishe aseme kweli uone..... hakuna Iran wala Hezbollah wala Dj Asma
Sio rahisi kwa muislamu kuipenda Israel zaidi sana akiwa muarabu. Waislamu wanaoipenda Israel ni wale Arab Israel (Waarabu raia wa Israel tu) kwakuwa wao wananufaika na maisha ya pale mpaka wenzao wanawaita wasaliti
Ukiwa chizi lazina upoteze muda kwanza sasa wewe unatupa drones zinatengulia hewani alafu mwezako yeye akutupa zinafukua hadi ardhi defensive yako niwatoto na raia.
😂😂😂Hii ni kauli ya uoga kitendo cha kusema HATUTAFUTI VITA KAMILI - maana Israel inajua kuwa kitendo cha kuingia katika Vita Kamili na Hizbullah hii inaweza kuwa ninhatari kubwa kwa Israel
Hezbollah Ana wanajeshi wa exprience kubwa ya ki vita kutokana vita vya Síria, Sasa myahud anategemea wa toto wasiekua na exprience ya ki vita, hasa vita vya Ardhi awawezi
Israel ni taifa teule lililoteuliwa na MAREKANI na mashetani wa ki illuminati kuwavuruga waarabu na Waislam Ili kuwadumaza kimaendeleo kwa Lengo la kuchukua rasilimali mafuta na gesi na kudumaza ustawi wa Uislamu.
Kwenye jeshi si silaha. Ni 1.Human resource well trained. 2.Intellegence 3.Economy 4.Technology 5.stratigics Hizbollah are army proxy supported by Iran and are like Iran Army in another sovereign state.
Hiyo yote ni vita ya uchumi,waarabu na warusi wanamafuta mengi.Marekani inapata mafuta mengi kupitia Israel na kumekuwa na mvutano mkubwa kweny hili,ndo maana unaona wachina na wamarekani wanataka kubuni gari za kuchaji ili kuzolotesha uchumi wa waarabu na warusi.
Infact Uchumi ni sehemu ndogo tu. Sehemu kubwa ni kidini, Judaism vs Islam. Kinachogombewa zaidi ya Ardhi ni eneo la temple mountain palipo na msikiti wa al aqsa panasadikika ndipo lilipokuwepo hekalu la Wayahudi lililojengwa na Mfalme wao wa zama hizo Sholomon/Solomon/Suleiman. Msikiti upo hapo na ni moja ya sehemu takatifu ya waislam, na kwa wayahudi ndio sehemu takatifu ya kwanza kwao, shida kubwa ipo hapo
@@AGM19697Gaza Kuna mafuta na gesi nyingi sana pale mkuu, Dini ni sehemu ndogo sana ya ugomvi wao ila rasilimali gesi na mafuta ndo kinachogombewa pale ndugu.
Pia elewa the highest oil revenue companies in the world ni kutoka Uchina na huko huko Marekani ndugu. Kampuni Kama SINOPEC, EXON MOBIL ni one of the examples pia.
Muirani ndo alikuwa anatafutwa Ili aingie king....washirika wake wamemtonya kwamba aache asije akapotezwa maxima..maaña Vinu vyake v6a nyuklia ndo vinatafutwa...Irani kaona amtumiee Lebanon .ilà ni ukweli kwamba Lebanoni itachakaa......uchumi wa Lebanoni umeshashuka.lebanoni ànaingilia vitasio yake
Inatakiwa watu thingies humo kujadili wenye mawazo tofauti. Isiwe tu kwamba kuna watu ambao wanachuki naisrael pekee ndio wanaingia humu. Na ndio naona zaidi kwenye kipindi hiki
Na hapo naomba niwakumbushe kuwa Hizbullah iliipiga Israel makombora 320 sio 312 bhanaa kuna makombora 8 hapo mmeyaminya DjSmaa255 Mimi kama Chair Man wa wana GPS hapa Middle East NAWAKUMBUSHATU
ukiongelea gharama kwani hethbolaa wao makombora yao wanaokota? au ni madongo ya kuchimba tu ardhi ? wakuu israeli imejipanga kwa vita na haijaanza leo vita yeye ndio mkuu wa vita na ni mshindi mara zote ukiona kashindwa usifurahie mtego huo...oya nyie chambueni tu mtupe burudani ila hapo mashariki ya kati mungu anajua mwenyewe