Тёмный

GPS: ISRAEL na HEZBOLLAH washambuliana kwa drones, ndege na roketi, wasiwasi wazidi kuongezeka 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 323   
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 18 дней назад
Team hesbo llah naomba like zangu jamn 🎉🎉
@MuslihKhamis
@MuslihKhamis 14 дней назад
tupoo😊
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 18 дней назад
Hatimae tumeipat GPS hongereni sana sns big up brother Sky,Dj smaa,Ali masubi ,Henry pamoja na mgeni wetu Gerard
@abdallahsavonge5113
@abdallahsavonge5113 18 дней назад
Dj SMA, my big brother. Nakupenda bure, nipo Mombasa Kenya, nafatilia SnS kwa kila tukio, heko kazi nzuri, mnatupa nondo za kutosha, nafrahia sanaa.
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze 18 дней назад
Muongooo kapata bakora mzuriii sanaa haisemi na watu wamekufa wengii Hilo gaidii ila huu ndiyo mwisho wake love Lebanon
@benardmakori4012
@benardmakori4012 18 дней назад
Wewe ni bwege kweli😂Amka!unajikojolea 😂
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 18 дней назад
Lebanon ni mtoto mdogo sana kwa Israel. ​@@benardmakori4012
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 18 дней назад
​@@benardmakori4012BWEGEE ni Mama yako mbwaaaa koko wewe Shogaaaaa jeusiiiiii hilooo
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 18 дней назад
Aamke Alfie kwa mashoga?
@anthonylaban4943
@anthonylaban4943 18 дней назад
Aya sitaki udini wazeee.....Dj Asma anawachora tu. Skia wazee wa Tanzania ebana hili suala nila kihistoria. Kulieleza vyema ujifunze na uwe tayari kupokea...... Mimi naomba wana SNS mkaribisheni Doctor Sulle aongelee huu mgogoro. Kimsingi, Sulle ana udini sana lakini penye ukweli hafichagi..... kimsingi ni msomi pia wa mambo ya dini
@ellahjonas4881
@ellahjonas4881 18 дней назад
Eeee mwenyezi Mungu tusaidie sisi tunaomba mwisho mwema hasa watoto ndio wanateseka zaidi
@twahasuleiman-lo9vl
@twahasuleiman-lo9vl 18 дней назад
Hellow.🎉Nimependa SNS wanasoma comment zetu... Kuna vitu vingi tunashauri tunakuja kuona tyr wapo wanafanyia kazi... Big up SNS.
@msellemnassir1831
@msellemnassir1831 17 дней назад
Henry ni intelligent sana nlikua namuelewa Kwa ufasaha zaidi😊
@MursalLusinde
@MursalLusinde 17 дней назад
Djsmaaaa mwambaa kabisaaa ginius tupo pamoja mkuu unajua snaaa mkurugenzi
@AlexGwiha
@AlexGwiha 17 дней назад
Je na wew unaamini bila amerika dunia ni amani tuu kama unaamini gonga like hapa. Maana u.s.a dawa yao ipo jikoni
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g 18 дней назад
Wazee hapa msidanganyike,Israel inatisha hataree
@lilianhigilo4255
@lilianhigilo4255 17 дней назад
Ni wazungu wa ulaya sio Wa Isaiel Ni wazungu kutoka Australia Bila marekani na Eu hamna kitu But endelea kuabudu Isaiel
@LutfiaRashid
@LutfiaRashid 16 дней назад
Sawa natacat
@mlembamo
@mlembamo 17 дней назад
Hakina madhara ya hayo makombora, Israel imelipua wiki iliyopita wamelipua naghala ya makombora, mbona hamsemi, Makamanda wa Hezbullah wameuawa zaidi ya 400 mbona hamsemi. Hakuna shambolic la Israel nchini Lebanon ambalo limezuiliwa!! Why mseme uhatati uko pande zile? Mnatafuta visa vidogovidogo kuonesha uhatari wa Hezbullah!! Acheni ushabiki wa ajabu.
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 15 дней назад
Dj Sma is a good presenter but anaagenda zake
@jonasmrema8550
@jonasmrema8550 17 дней назад
Yaani DJ sma anaipenda Iran kiasi kwamba hata vitu vingine anavisema ni uongo usio na kifani yaani S-500 imepelekwa Iran dunia isijue yeye ajue 🤣🤣🤣
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 15 дней назад
Umeona eeh,Yani analazimisha tuone kwamba Israel ni mdogo kitu kisicho kweli kabisa Iv Irani angeshambuliwa kiasi hicho kama Israel je angeexist
@RamadanPaul
@RamadanPaul 12 дней назад
​@@evodiusbahegwa6557mnaosapoti Israel ni mashoga wote😂😂😂
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 17 дней назад
Mandiko huwa hayakosei. Umefafanua vizuri sana Mr DJ smaa.
@yassinmohamed8241
@yassinmohamed8241 18 дней назад
Viva muumini didimiza mazayuni InshaAllah
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 18 дней назад
Ndoto Tangu waneanza mbona wameshindwa 😂
@martinisadru9899
@martinisadru9899 18 дней назад
Watu wenye akili km nyumbu ni waislamu,, 1 warabu walimshindwa Israel, akiwa na manati na magali ya mkokoteni wa punda na wanajeshi 2000 tu,, uchumi wake kote duniani ulikua zoofu sana,, kwa kumalizwa na adolf hitler,,,, huku warabu wakimiliki vifaru 400, ndege hatari za kivita zaidi ya 300,,idadi ya wanajeshi warabu 2,000,000. Na bado wakashindwa,, leo watamwezea wapi huyu Israel! Anaemiliki technology %70 ya dunia na uchumi wa dunia ameukamata yeye. Hili litakua anguko kubwa kwa mwarabu.
@Awatee
@Awatee 18 дней назад
​@@christinewomanoffaith5479wazayuni wengi wateketea sasa wasubir adhabu ya Mungu wafate na weye kama unawapenda kweli 😂
@bhaijanali5092
@bhaijanali5092 18 дней назад
​@@christinewomanoffaith5479Israel walitoa muda gani kwa hamasi mpaka kesho wameshindwa kulifuta kundi la hamasi tena kundi sio jesh
@FridayMwassa
@FridayMwassa 18 дней назад
​@@AwateeSasa inakuwaje wanaolalamika zaidi ni wapalestina
@youngbona3804
@youngbona3804 17 дней назад
Huyu jamaa mgeni nae yupo smart sana big up sky
@AllyMaliki-z4b
@AllyMaliki-z4b 18 дней назад
Hongera sana SNS nyinyi ni number 01 in East African ila muwe mnaongelea na habari za Watu waliofariki Burkinafaso , congo na Tanzania msiwe Bias media mna ruhusa kujadili kuhusu Katiba mpya , muungano na Zanzibar , Taswira ya maendeleo yetu mpaka 2030
@mlembamo
@mlembamo 17 дней назад
Cost za Intercepters inategemea na budget ya Jesh, na misaada anayopata. Hezbullah hatumii makombora ya bure. Tatizo kuchangia huku mmeegemea upande mmoja ndo hii
@fahmanalbulushi2925
@fahmanalbulushi2925 18 дней назад
Sky walker tunaipenda GPS lkn inabidi tukuwajibishe mana GPS ni ya kwetu Wana GPS na tumezoeya kuona fact and logic na good projection ya nn kinachoendelea leo story zilikuwa nyingi yaani ni kama story za mitaani na kwa kweli dj smaa haikuwa meza yako leo very embressed sky walker usitukere upo hapo kwa ajili yetu na mlitufunza kuangalia mambo tofauti ama nje ya box leo umetuletea story za vijiweni rudi kabisa utuombe radhi Wana GPS
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
@@fahmanalbulushi2925 Upo sahihi sana. Kwenye mijadala kama hii facts ndio inaweka heshma zaidi na sio mapenzi ya upande fulani
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад
Ww ulitakaje kwani, mbwa mwenye nyege ww?
@fahmanalbulushi2925
@fahmanalbulushi2925 18 дней назад
Nazani nilicho Kiongee sky amefaham sijamtukana Mtu nimetoa maoni yangu kwa hio Sina time ya kukurejeshea matusi inaonekana hujaelewa nilicho kimaanisha ​@@GeorgeAkasha-zx2rj
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 15 дней назад
Ata nje ya SNS @GPS kunavyanzo vingine vya habari tunafatilia so DJ Sma ni mwongo ata uyo mgeni ameliona ata kina Ali Masubi na Henry nahisi ndo maana hawakuja hawapendi conversation na Dj Sma,andhani yy anajua zaidi
@AGM19697
@AGM19697 15 дней назад
@@GeorgeAkasha-zx2rj Weka hoja mezani, matusi ni ushamba wa kizamani sana
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x 12 дней назад
Aiseee hii Combination MPYA ya DJ SMA na GERRAD ni nzurii na Makini sana aiseee
@ahmadabdu2998
@ahmadabdu2998 18 дней назад
Daah aisee sns ni zaidi ya mtazamo 💪💪
@malulamuhoja1692
@malulamuhoja1692 16 дней назад
Huyu smar nimmshabiki hajuibl reality, acha kuegemea upande be real brother utaharibu kipindi kizuri pls take this advice, I bless you people
@mlembamo
@mlembamo 17 дней назад
Wameshambulia hadi mambanda ya kuku unasema wanashambulia jeshi,
@AlexGwiha
@AlexGwiha 17 дней назад
Huyu dj smaa mbona anaongea unyenye mwingi unahisi wote walisoma.balanc kidogo broo
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 18 дней назад
Huyu mchambuzi mgen ana uwezo mkubwa
@FrankFrank-zs9xk
@FrankFrank-zs9xk 17 дней назад
Akiwa dj smaa peke ake hua siskilizi cz anaegemea upande ila column ikiwa imekamilika mjadala hua mzuri zaidi..
@Verawati-t5w
@Verawati-t5w 18 дней назад
Big up nasikiliza nikuwa Jakarta indonesia pamoja sana❤
@animalchannel296
@animalchannel296 18 дней назад
Smaa is back GPS is back
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 18 дней назад
Team ezzzzzzzzzzzzzzzzz Z mpaka mpaka Tel Aviv
@johpixel4108
@johpixel4108 18 дней назад
Taifa gani la Mungu linaua watu,wanaifundisha nini Dunia
@Clever-l8v
@Clever-l8v 18 дней назад
Miungu ipo mingi ata firaun alijita mungu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 18 дней назад
Kumbe huoni Hamas wakiuwa watoto wa kiisrael
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 17 дней назад
What a dull mind ....Hizbollar can't stand with Israel when it comes to convension war fare....
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 17 дней назад
​@@Clever-l8vWulizia Hamasi kama mungu wawo anawalinda
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 17 дней назад
Kwenye vita ....Israel na Iran....wakipigana all out war....Ayatollah ni mwisho wawo
@twahasuleiman-lo9vl
@twahasuleiman-lo9vl 18 дней назад
Dj smaa... Akili Kubwah🎉
@abdullahmapesa
@abdullahmapesa 18 дней назад
Daaah bwana Gerard nae yuko fresh kbs big sana sns ✌
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад
Jamaa anajua sana tena sana.
@abdullahmapesa
@abdullahmapesa 18 дней назад
@@GeorgeAkasha-zx2rj ndio ndio nipenda kwa sababu yuko na tizama mambo kwa pande mbili tafauti safi kabisa ⭐✌
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад
@@abdullahmapesa Kabisa mkuu ila shida ya watu humu hawataki mchambuzi anaeangalia pande zote 2 wao wanataka mtu Kama SMA anaekuwa upande 1 tu mara nyingi.
@abdullahmapesa
@abdullahmapesa 18 дней назад
@@GeorgeAkasha-zx2rj 😂😂😂😂 yeah brother emotion ndo tatizo watu wanapenda yale wanawaza kichwani ndo huongee hukiongea tafauti inakuwa tatizo , usishangae ata na Sisi apa tutakuja kupigwa ma cash sasa ivi 😂😂😂😂😂😂.
@kinega1029
@kinega1029 18 дней назад
Good stuff SnS credit to Frank Bundala & the team
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 18 дней назад
Big up SNS kwa GPS
@AlexGwiha
@AlexGwiha 17 дней назад
Mm ndiye monita wa gps wapili kwangu alaiki
@mlembamo
@mlembamo 17 дней назад
Hezbullah hajawahi kushinda Israel. Hakuna record hiyo
@msarama5406
@msarama5406 17 дней назад
Ilikua 2006 Israel walipigwa wakakimbia Lebanon fuatilia utajua
@emmanuelchifupa4934
@emmanuelchifupa4934 18 дней назад
Jamaa ni mchambuzi mzuri, ila hili linamshinda kubalance, hivi hao wanaorusha makombora wanayapata bure.? Au hao wanaofadhili wanayapata bure? Ni na wao wanaingia mfukoni. Kama ni kudrain uchumi basi ni wote wanaounga mkopo upended wowote.
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Yes ni mchambuzi mzuri sana japo anaupande wake anaoushabikia kwa siri sana. Kwa mliosoma Cuba tu ndio mtaelewa😂😂
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 18 дней назад
Ni kweli hawapati bure ila kombora la kushambulia linakuwa ni rahisi kuliko linalo linda
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 18 дней назад
Na tatizo ujue ni kwamba wanao shambulia wameongezeka na watakuja wengine wataongezeka kwaiyo uchumi wa israil utayumba sana
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 18 дней назад
Kama ulivo kuwa wewe mshabiki wa upande flani usimkataze mtu kuwa na ushabiki na anacho kiamini😂​@@AGM19697
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 18 дней назад
​@@salumabdallah2990hakika
@AlexGwiha
@AlexGwiha 17 дней назад
Ninyi makatuni et munababadua hapo et na unyenye mwingi wale ambao walikimbia shule wataisoma namba matako yenu
@anthonylaban4943
@anthonylaban4943 18 дней назад
Israel shall never be defeated......by any one in thus world...
@uwimana6533
@uwimana6533 18 дней назад
Unahaki kuongea kile unachozikia iyivita ingekua nchii kwenu hungeshabikia ujinga kwawatu wanamuasi mungu kumwaga damu zabinadamu , 😂😂😂😂😂
@martinisadru9899
@martinisadru9899 18 дней назад
​@@uwimana6533mbona akipigwa Israel wewe unashamgilia, peleka matako yako huko. Shangwe ni shangwe hata kama ni machukizo kwa mwengine.
@SwedyMohamed-vt5zm
@SwedyMohamed-vt5zm 18 дней назад
Israel ni taifa la Mashoga
@marygesare6450
@marygesare6450 18 дней назад
Mutumwa huyu israel is a world of hooligans
@anthonylaban4943
@anthonylaban4943 18 дней назад
Kwa hiyo october 7 ni damu za nguruwe zilimwagwa..... wewe acha hujui unachoongea. Kajifunze dini na history ndio uje utie maneno yenye logic...... Join dote and connect dote za ufahamu kwanza
@msellemnassir1831
@msellemnassir1831 17 дней назад
Sma nakubali Kwa kuchambua russia
@elishamwachali7439
@elishamwachali7439 16 дней назад
Ni kuongea kimtazamo binafsi sio kiuhalisia, uhalisia ni kwamba mpaka sasa Lebanon , na misri pia Iran nk hawa ndio wanaoijua vizuri Israeli ndio maana hawawezi kuanzisha vita kichwa kichwa.
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 15 дней назад
Always namskiliza Dj Sma,hayuko balanced,anaegamia uoande mmoja,afu anafisi wote waamini anachokiamini,siyo mchanbuzi mzuri
@IbrahimTabu-qh9il
@IbrahimTabu-qh9il 18 дней назад
Dj cma mandiko yanakosea sana
@CashKassim
@CashKassim 17 дней назад
Ni vijana hatari sana Kwa uwezo wenu katika mchanganuo wenu wa kimkakati wa kiinteligencea,tunawapenda wote
@zenahussein2242
@zenahussein2242 18 дней назад
Iran imefanya vyema kutokujibu sababu kile kikao cha netanyahu USA kilikuwa na Jambo kimelipanga kureact mapema ni kujiingiza katika mtego wao.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад
Gerald anajua sana kiuchambuzi.Kaka sky GPS ijayo jamaa muite tena maana ana balance sana habari zake.
@ShekhMufyd-mn9zn
@ShekhMufyd-mn9zn 18 дней назад
Israeli mbwa tu acheni kukaririshwa na wazungu eti taifa La mungu hili taifa la wezi, mafedhuli ,mashoga
@AzizihFarijala
@AzizihFarijala 18 дней назад
Pia hezballah walitakiwa wadai eneo lao la west bank waliyoichukua miaka ya nyuma
@MzeeKigogo_
@MzeeKigogo_ 18 дней назад
Dj sma kibaraka wa magaidi anachuki binafsi na wayahudi.
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 18 дней назад
Shoga ww
@benardmakori4012
@benardmakori4012 18 дней назад
@@MzeeKigogo_ ni ukweli ni mkimbizi kutoka yemeni
@MzeeKigogo_
@MzeeKigogo_ 18 дней назад
@@benardmakori4012 huyo jamaa nimemshtukia kitambo
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 18 дней назад
Jamani ee...kama Zionism regime ni mbaya asisemee!!!? Hachukii wayahudi per se anachukia vitendo vya baadhi yao, hasa zionists...wake up men, see the truth! Open your minds guys
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 18 дней назад
Choko wewe
@Njiwamichael-km1dm8et9x
@Njiwamichael-km1dm8et9x 18 дней назад
Uyo jamaa anajua sana yani anachambua aegemei upande afu elimu ipo sio uyo kipara mjinga
@aishaarusha894
@aishaarusha894 18 дней назад
Wewe mwenyew ni mjiga vilevile mpumbavu mavuzi wewe😂
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
@@Njiwamichael-km1dm8et9x Shida wengine wapo kushabikia upande fulani
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 18 дней назад
Tuachie kipara wetu mbwa wewe
@LutfiaRashid
@LutfiaRashid 16 дней назад
Wewe ndo raisi wa wajinga dunian nyaruwambo mkubwa wewe
@peterbugat9415
@peterbugat9415 18 дней назад
Dj asma 16:26 usiwe bias kwenye kuchambua is like unaonekana uko upande wa hesbolah
@Stillrunlikeaball
@Stillrunlikeaball 18 дней назад
Nikama wewe Unavyo Onekana Upo upande wa Israel Upo na Mashoga wenzio😷
@Stillrunlikeaball
@Stillrunlikeaball 18 дней назад
Nikama wewe Unavyo Onekana Upo upande wa Israel Upo na Mashoga wenzio😷
@jonasmrema8550
@jonasmrema8550 17 дней назад
Dj sma NI Muislam kwaiyo haikuhitaji nguvu kubwa kumuelewa
@19ddr
@19ddr 18 дней назад
Sma. I see u🧐🧐
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 18 дней назад
Ukiona hezbola yazaman nasasa nitofaut bas ujue iran ya ya sasa na zama pia tofaut sana
@zuricakes6817
@zuricakes6817 18 дней назад
Haniyeh (RIP)
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 17 дней назад
Mimi naamini Bundara hawezi kuleta mtu mambae hawezi kutoa uchambuzi mzuri,Hata Ally nilisema asome zaidi ili afanye uchambuzi uko balanced...Kila mchambuzi wa kipindi hiki inabidi apewe nafasi.
@MudyChavala
@MudyChavala 17 дней назад
Uchambuzi wenye viwango vya juu
@williamkeita1519
@williamkeita1519 16 дней назад
Mwana SNS lazima uelewe serikali za Palestine na Lebanon zmewekwa na na USA ndio maana hukaa kimya kwenye hizo vita za hamas na Hezbollah
@mfaumeabuobakari-ct7kh
@mfaumeabuobakari-ct7kh 18 дней назад
Ivi nyiklia inaziwiliwa?
@ibnujumanne4054
@ibnujumanne4054 18 дней назад
Kile kitendo cha kuizuia Tu Ni shabaha tosha achana kabisa na hizo silaha
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 18 дней назад
​@@ibnujumanne4054wataalamu wanadai makombora ya sasa ya nyukria yana uzito mkubwa sana tofauti na yale ya japan ambayo yalihesabika kwa kilo siku hzi yana uzito wa Tani kadhaaa na mlipuko wake ni mkubwa sana unaweza kuipasua dunia au kuleta matetemeko makubwa, inaonekana kama hadithi lkn ktk ulimwengu wa sayansi sio hadithi kila kitu kipo under cal culation,, Na ikitokea ulaya wametwangana na haya mabomu nadhan watakuwa wamejitumbukiza ktk umasikini wa kudumu, watakuja kuomba msaada afrika
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 18 дней назад
Yes
@ZeProDJay
@ZeProDJay 18 дней назад
Nyuklia inazuilika ila ni too expensive technology ya kuizuia na ni risk kubwa mno hasa mission ya kuzui ikienda wrong side ni maafa makubwa sana...
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 18 дней назад
@@ZeProDJay mjomba ile hata ukiipangua ni sawa na kutwanga maji kwenu utakuwa hujafanya lolote maana bomu lenyewe lina mionzi ya sumu ambayo unaleta maafa makubwa sana
@mapundawilliam370
@mapundawilliam370 18 дней назад
Uzuri wa Israel anapiga na kuua kuanzia Iran, Palestine na Lebanon. Hezebora kaziyao nikurushatu makombora😅😅😅
@SwedyMohamed-vt5zm
@SwedyMohamed-vt5zm 18 дней назад
Mbona Mazayuni nao wanauwawa ila wanaficha sana taarifa kama hizo.
@user-ey1fq6hd9l
@user-ey1fq6hd9l 17 дней назад
Kwani hisbola hawajatumia gharama au? Hayo makombora wamepewa bure?
@jumaamsuya5
@jumaamsuya5 17 дней назад
Inzi nondo sopowa katamti panda mti gd
@MikelSitoe
@MikelSitoe 18 дней назад
Tamaa itawaponza wa zayuni kama ilivyo mponza Firaun Laana tnllah
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 18 дней назад
Kauli ya netanyau wanautuzulu na sis tunawazulu.israel wanapigwa.kama alivyo wazili mkuu wa israel awapendi wanchi wa israel.
@Dizzolee1993
@Dizzolee1993 18 дней назад
Nawasikiliza nikiwa Maputo Mocambique
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 17 дней назад
Leo ndo umemkumbuka smaa 4:41
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 17 дней назад
Netanyahu,is not affraid of being taken from power,but israel cant allow Philadophia corridor to be controlled by Hamasi for smuggling weapons from Egypt
@Niika870
@Niika870 18 дней назад
Wanaegemea upande mmoja ila vita ni vita, Herzbolah wamepigwa San tu
@abdullahmapesa
@abdullahmapesa 18 дней назад
⭐⭐⭐⭐⭐
@user-vu7ih4px6e
@user-vu7ih4px6e 16 дней назад
uyu kaka hasipende kutumia sana lugha ya kigen hatumie kiswahil ili tuelewe vizur
@anthonylaban4943
@anthonylaban4943 18 дней назад
Asma ni muislamu asie penda Israel. Ila ukitaka kujua ukuu wa Israel ka muulize Sheikh Sulle. Au mkaribishe aseme kweli uone..... hakuna Iran wala Hezbollah wala Dj Asma
@Gulfnas1
@Gulfnas1 18 дней назад
Mbona unapenda kumuandama mwenzio?? Kwani lazima kila mtu aipende Israel?? We ukiipenda si inatosha... acha maisha ki analog tupo kwenye 5G babu
@benardmakori4012
@benardmakori4012 18 дней назад
DJ smaa ni mwarabu kutoka yemen😂bila kupiga ni mkimbizi
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Sio rahisi kwa muislamu kuipenda Israel zaidi sana akiwa muarabu. Waislamu wanaoipenda Israel ni wale Arab Israel (Waarabu raia wa Israel tu) kwakuwa wao wananufaika na maisha ya pale mpaka wenzao wanawaita wasaliti
@Gulfnas1
@Gulfnas1 18 дней назад
@@benardmakori4012 we mwenyewe mkimbizi
@Gulfnas1
@Gulfnas1 18 дней назад
@@AGM19697 kumbe we jamaa mjinga wa mwisho! Kma unajua hilo kwa nn uanze kuleta vimaneno vya kike hapa
@solomonsaitabau4461
@solomonsaitabau4461 18 дней назад
hamna mchambuzi humu kuna mdini flani kwendaaaa
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
@@solomonsaitabau4461 Umeona eeeh. Sana sana usimba na yanga imeanza humu
@anthonylaban4943
@anthonylaban4943 18 дней назад
Nakubali wewe ni muona mbali.... binafsi nilitamani aweke udini mbali kisha akazie ukweli na teckonolojia tu
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
@@anthonylaban4943 Hakika
@jonasmrema8550
@jonasmrema8550 17 дней назад
Hapa kwenye hii channel wote NI waarabu weusi unategemea nini?
@user-vj8eu7ih4k
@user-vj8eu7ih4k 17 дней назад
Mmekutana mashoga flan Hiv wote akil moja achen Unafik machoko nyie
@user-cx6ur5vv8t
@user-cx6ur5vv8t 18 дней назад
Maswali mazuri na majibu mazuri kwa wote hakuna upandande
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 18 дней назад
IDF.....Jeshi imalaaaaa
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 18 дней назад
Idf sio imara marekani ndio imara.
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 18 дней назад
Kajifunze kuandika kwanza eti imalaaa😂
@kazimotomaswi9700
@kazimotomaswi9700 17 дней назад
Ukiwa chizi lazina upoteze muda kwanza sasa wewe unatupa drones zinatengulia hewani alafu mwezako yeye akutupa zinafukua hadi ardhi defensive yako niwatoto na raia.
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 17 дней назад
Wa yahudi....since in millitary history,IDF has been so smart
@user-rz5ze5me1y
@user-rz5ze5me1y 18 дней назад
Israel ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 18 дней назад
Yes yes
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 18 дней назад
Shoga katika Moja na mbili
@AzizihFarijala
@AzizihFarijala 18 дней назад
Lile tukio la kufa kwa. Haneymakamanda Karibuni kumi na mbili walikamatwa wa iran
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 18 дней назад
😂😂😂Hii ni kauli ya uoga kitendo cha kusema HATUTAFUTI VITA KAMILI - maana Israel inajua kuwa kitendo cha kuingia katika Vita Kamili na Hizbullah hii inaweza kuwa ninhatari kubwa kwa Israel
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 18 дней назад
Iran alishaanza kujibu katika njia iliyosahihi. Ngoja Israel amalizwe nguvu na marekani aondoe destroyer Kisha utaona mziki wake, lazima pachomeke.
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g 18 дней назад
Siorahisi tatizo mambumbumbu wengi,ivimnaijua Israel,ngojauone
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g 18 дней назад
Huyu mchambuzi mpya anaakili nyingi sn
@obby_damage
@obby_damage 17 дней назад
wote mmeskia alitaka kusema ufirauni wa israel,akaja kusema ufanisi wa israel...hamna mchambuzi apa😂😂 kama ni refa bas kala hela
@AnjelMwaluka
@AnjelMwaluka 18 дней назад
Pga hao mashoga 😂
@MikelSitoe
@MikelSitoe 18 дней назад
Hezbollah Ana wanajeshi wa exprience kubwa ya ki vita kutokana vita vya Síria, Sasa myahud anategemea wa toto wasiekua na exprience ya ki vita, hasa vita vya Ardhi awawezi
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 17 дней назад
Vita ni umaskini
@zenassylvester125
@zenassylvester125 18 дней назад
Kwa Israeli maadui watapigwa mpaka watajuta kama ni taifa teule mngoje mpk Mungu awakatae ndio washindwe
@SwedyMohamed-vt5zm
@SwedyMohamed-vt5zm 18 дней назад
Israel ni taifa teule lililoteuliwa na MAREKANI na mashetani wa ki illuminati kuwavuruga waarabu na Waislam Ili kuwadumaza kimaendeleo kwa Lengo la kuchukua rasilimali mafuta na gesi na kudumaza ustawi wa Uislamu.
@hopemwalemwale2100
@hopemwalemwale2100 18 дней назад
kabsa
@athumanisudi891
@athumanisudi891 17 дней назад
Islael ni taifa la kishetani na pia ni taifa la mashoga wapigwe nukria tu
@user-vj8eu7ih4k
@user-vj8eu7ih4k 17 дней назад
Sasa mmekazana taifa teule halaf mji mkuu wa taifa n taifa la mashoga dunian sasa hapo unajisifia nn au ushoga tu ndo umewajaa
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 17 дней назад
Kwenye jeshi si silaha. Ni 1.Human resource well trained. 2.Intellegence 3.Economy 4.Technology 5.stratigics Hizbollah are army proxy supported by Iran and are like Iran Army in another sovereign state.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 17 дней назад
Mjadala mkali kabisa.
@djmaxbeatztz
@djmaxbeatztz 18 дней назад
Hiyo yote ni vita ya uchumi,waarabu na warusi wanamafuta mengi.Marekani inapata mafuta mengi kupitia Israel na kumekuwa na mvutano mkubwa kweny hili,ndo maana unaona wachina na wamarekani wanataka kubuni gari za kuchaji ili kuzolotesha uchumi wa waarabu na warusi.
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Infact Uchumi ni sehemu ndogo tu. Sehemu kubwa ni kidini, Judaism vs Islam. Kinachogombewa zaidi ya Ardhi ni eneo la temple mountain palipo na msikiti wa al aqsa panasadikika ndipo lilipokuwepo hekalu la Wayahudi lililojengwa na Mfalme wao wa zama hizo Sholomon/Solomon/Suleiman. Msikiti upo hapo na ni moja ya sehemu takatifu ya waislam, na kwa wayahudi ndio sehemu takatifu ya kwanza kwao, shida kubwa ipo hapo
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 18 дней назад
Huna unachiijuwa, unataka uonekane,km nimzungumzani, na unachangia comment
@djmaxbeatztz
@djmaxbeatztz 18 дней назад
@@AGM19697 ndani ya ardhi Kuna mali
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад
​@@AGM19697Gaza Kuna mafuta na gesi nyingi sana pale mkuu, Dini ni sehemu ndogo sana ya ugomvi wao ila rasilimali gesi na mafuta ndo kinachogombewa pale ndugu.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 дней назад
Pia elewa the highest oil revenue companies in the world ni kutoka Uchina na huko huko Marekani ndugu. Kampuni Kama SINOPEC, EXON MOBIL ni one of the examples pia.
@user-nv6wt3nx5h
@user-nv6wt3nx5h 16 дней назад
Muirani ndo alikuwa anatafutwa Ili aingie king....washirika wake wamemtonya kwamba aache asije akapotezwa maxima..maaña Vinu vyake v6a nyuklia ndo vinatafutwa...Irani kaona amtumiee Lebanon .ilà ni ukweli kwamba Lebanoni itachakaa......uchumi wa Lebanoni umeshashuka.lebanoni ànaingilia vitasio yake
@mlembamo
@mlembamo 17 дней назад
Inatakiwa watu thingies humo kujadili wenye mawazo tofauti. Isiwe tu kwamba kuna watu ambao wanachuki naisrael pekee ndio wanaingia humu. Na ndio naona zaidi kwenye kipindi hiki
@HamduniYasir
@HamduniYasir 17 дней назад
Uyu Gerad amna kitu aisee
@AliDiamond68
@AliDiamond68 17 дней назад
We una kitu gani hebu chambua
@LutfiaRashid
@LutfiaRashid 16 дней назад
Wewe ndo bure kabisa
@mtaasisi
@mtaasisi 18 дней назад
Kuzungumzia kabila kuwa na jeshi hata africa ilikuwa ivo mfano wamasai mpaka leo wana huo utaratibu ingawa hawana bunduki,
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 18 дней назад
Na hapo naomba niwakumbushe kuwa Hizbullah iliipiga Israel makombora 320 sio 312 bhanaa kuna makombora 8 hapo mmeyaminya DjSmaa255 Mimi kama Chair Man wa wana GPS hapa Middle East NAWAKUMBUSHATU
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
@@nassoroshakiru7094 😊😊
@zakariaabdalla-uo3nk
@zakariaabdalla-uo3nk 18 дней назад
Je rocket moja ni beigan moja
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
@@zakariaabdalla-uo3nk Unataka kununua utulipue?
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 18 дней назад
Ally masubi alishawah kusema drone Moja ya Iran inathaman ya 20000 dollar
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 18 дней назад
Irana atapigana na israel kupitia hizbollaaa
@AGM19697
@AGM19697 18 дней назад
Muhajemi mjanja kapata waarabu wajinga 😊
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g 18 дней назад
Hamnakitu hayo magaidi yote tutayaangamiza Asema bwana wa majeshi,
@KingKing-d2t
@KingKing-d2t 18 дней назад
Israel 🇮🇱 forever❤
@StamMagessa-uo3hk
@StamMagessa-uo3hk 16 дней назад
Nacho weza kusema khs vp lebanon ilan hawana pesa vita pesa nacho juwa nyetayau itashinda tazama urus ana haha now
@mwitamataiga4748
@mwitamataiga4748 18 дней назад
Mbona na galama ya kombora 1 hamjatuambia galama yake
@zakariaabdalla-uo3nk
@zakariaabdalla-uo3nk 18 дней назад
Rocket ya lebanoon nibeigan moja
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata 16 дней назад
Tatzo ni kwamba endapo itakuwa vita kamili MAREKANI ATA CHUKUWA IRANI YOOOTE
@user-ys1yu6wj2k
@user-ys1yu6wj2k 17 дней назад
ukiongelea gharama kwani hethbolaa wao makombora yao wanaokota? au ni madongo ya kuchimba tu ardhi ? wakuu israeli imejipanga kwa vita na haijaanza leo vita yeye ndio mkuu wa vita na ni mshindi mara zote ukiona kashindwa usifurahie mtego huo...oya nyie chambueni tu mtupe burudani ila hapo mashariki ya kati mungu anajua mwenyewe
@muridundhikri
@muridundhikri 18 дней назад
Tumieni lugha ya kiswahili wanokufuatilieni si wasomi
Далее