Hii think tank ni nzuri hasa kwa vijana wa Africa ila naomba cku zijazo waaliken wanadipromasia wetu kama mabaloz kama kuna namna yakuwapata watu wa usalama hasa vijana kama kinapolepole waje tuongee na mshauliane hapo
Gps nimeipenda sana. Naomba sana mjitahidi mtumie kiswahili fasaha , mnajisahau mnajikuta mnachanganya sana kiingereza wengine mnawaacha maana zingine hawajui. Kwa ujumla Gps kweli inaona Kila Kona . MB zangu naona inaisha Kwa chakula Cha faida.🙏
Sio kwamba hawajui, wanajua vizuri tu ila baadhi yao kasoro Ally huyo wanaweka upendeleo zaidi, yaani hawabalansi story.Ila yote kwa yote hongereni sana.
Ally Masubi, unchambua vizuri....Wape wenzako nafasi maana Sometimes unakuwa Unarudia rudia Maneno....Labda kama Wana kumentor. All in All your Doing Great 👍
Ahsanteni saaana kwa uchambuzi makini. Mimi nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭, kwanza kabisa ningetamani kuona mnaizungumzia NORTH KOREA kwa urefu na upana na ushirika wake na Urusi na China lakin pia hali yake ya ndani ki biashara, wanafanya Biashara na nani na wanaishije ikiwa wana vikwazo vingi na vipi kuhusu biashara zao kama nchi!! Yangu ni hayo na nadhani GPS itakuwa ni mwanga sana kwetu sisi wapenzi wa hizi mambo🎉❤
Naomba kipindi chetu cha Global Position System mjadili Hali nzuri ya Uchumi wa Angola na Zimbabwe baada ya China kuingia katika Nchi hizo. Zimbabwe na Angola wanakimbiza mwizi kimya kimya. Natabiri baada ya miaka 10 watakuwa na Uchumi mkubwa kuliko South Africa, Bostwana na Nambia
Watanzania hatuna msimamo na hatuna uchungu na maisha ya vizaz vyetu vya baadae,pia elimu yetu ni duni na hatuna uelewa but i thnk mwanga unaanza kutuangazia kuelewa ukubwa wa mambo mnatungua kiaikl na kutufundisha tusio yajua,miaka ijayo kipindi hk kitakumbukwa na mtakumbukwa harakat zenu za kutuelimisha SHUKRANI KWA WOTE
I real like Henry anatumia lugha rahisi na inayoeleweka .. Sma, Ali wote wapo smart .. Next sesion tufungueni akili waafrika hasa kundi letu la vijana..
Ukizungumzia mahusiano ya China na Russia moja kwa moja unazungumzia Umoja wa BRICS ambao umelenga dedollorization na kuwa mbadala wa Jumuiya ya Madola, World Bank na IMF. Natamani kujua Tanzania tumefikia wapi kuwa Wanachama wa BRICS
Ni sahihi maisha yetu yanaswitch kutokana na global social media inaongoza maisha yetu na kuacha muongozo sahihi wa muumba wa ulimwengu but me naamini sns itafika hatua ya kumsha brain za vijana tuliolala kubwa tuweni wazalendo wa kweli
Nyinyi mko juu sana mkianda mada kuusu muafirica washawishi vijana watoke mjini warudi vijijini wakatengeze pesa nachala wawe matajiri tafiti jenga oja kubwa
Vita ya Taiwan na China wala haiko mbali naona China amejiandaa kimya hata uzinduzi wa Aircrfat Carrier Marine Ship, Hypersonic Kenzall Missiles, Balistic Missiles na Mitambo ya J.L0_2 ya kutungua Makombora. China anailengaTaiwan ili aichape vizuri. Mungu ibariki Simulizi na Sauti na Mungu Ibariki Tanzania🇹🇿
Sio rahis kwa leo mkuu.China akija kujitegemea zaidi hasa upande wa teknolojia hasa za chip, ndipo ataivamia Taiwan.Ila kwa sasa anasoma mchezo wa urusi na namna vikwazo vinavyomuumiza urusi kwa kiasi kikubwa
Nawapata vixur from doha Qatar 🇶🇦 kuhusu issue ya western kuaminiwa akuna tena ntakupa mfano mmoja, zamani unaweza change dollar mpka uchocholoni lkn now no. Kila sehemu ukienda utambiwa akuna dollar why, coz nafikili akuna akiba za dolla tena na sio kwa bahati mbaya just imagine, nazani now kila mmoja ameona madhala ya kuweka akiba ya dollar
Tatizo laviongozi wetu nivibalaka mjadhala kama huu hawasikilizi wengi niwafisadhi kama afrika mashaliki wakiungana kwakauli moja waende kununua mafuta yaurus hakuna vikwazo wataekea nikwasababu wengi wakomadhalakani kwamsiliahi yamaghalibi shinda ikohapo tutaendelea kua namatatizo nawapenda sana mmetisha kinoma from burundi