Тёмный
No video :(

GPS: URAFIKI wa PUTIN na JINPING unavyozipa nguvu URUSI na CHINA na kuwatisha US na Wenzake (Part 2) 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 227   
@kelvinmacha1663
@kelvinmacha1663 3 месяца назад
DJ SMA kashiba sana Madini, Facts and Logics
@mwanahamisrashid7787
@mwanahamisrashid7787 3 месяца назад
Mashallah yn mmeupiga mwingi mpk unamwagika GPS haichoshi mungu awabariki Sana tumeyajua mengi 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@nassibkahindi4400
@nassibkahindi4400 3 месяца назад
listenimg from kenya, sns, the only place i get to learn from, the world... yani mnajua hadi bax tu
@bethkonga7944
@bethkonga7944 3 месяца назад
Hii think tank ni nzuri hasa kwa vijana wa Africa ila naomba cku zijazo waaliken wanadipromasia wetu kama mabaloz kama kuna namna yakuwapata watu wa usalama hasa vijana kama kinapolepole waje tuongee na mshauliane hapo
@yohana4kitila248
@yohana4kitila248 3 месяца назад
Gps nimeipenda sana. Naomba sana mjitahidi mtumie kiswahili fasaha , mnajisahau mnajikuta mnachanganya sana kiingereza wengine mnawaacha maana zingine hawajui. Kwa ujumla Gps kweli inaona Kila Kona . MB zangu naona inaisha Kwa chakula Cha faida.🙏
@RaphaelJickson
@RaphaelJickson 3 месяца назад
Umenena kweli mswahili
@BigZhumbe
@BigZhumbe Месяц назад
Wewe unafikiri ni rahisi kutafsiri kila neno la kingereza to kiswahili?
@nzungushikombesekei
@nzungushikombesekei 3 месяца назад
😢Ninyi vijana mko vizuri Sana sijaona kama Ninyi mnavyodadavua Uzarendo wenu uko vizuri Sana mnahiyaji kuungwa mkono kila Kona.
@Nasbakr
@Nasbakr 3 месяца назад
Masha Allah, u guys mmetisha!! Henry nae yupo vzr krb sns
@Nasbakr
@Nasbakr 3 месяца назад
Masha Allah sma kwa aya yako ya hofu
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 3 месяца назад
Nilikua nimekaa nasubiri hii part 2 ❤
@JumaSJuma
@JumaSJuma 3 месяца назад
Nawakubali Sana Hawa jamaa na uchambuzi wao
@GonaNzaro
@GonaNzaro 3 месяца назад
Pamoja kutoka Kenya
@niyonkuruasman
@niyonkuruasman 3 месяца назад
Uyu mchambuzi aliye ongezeka nimkali kabisa respect
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Sio kwamba hawajui, wanajua vizuri tu ila baadhi yao kasoro Ally huyo wanaweka upendeleo zaidi, yaani hawabalansi story.Ila yote kwa yote hongereni sana.
@jerryndondole1965
@jerryndondole1965 3 месяца назад
Hawa jamaa wanaijua Geopolitics aisee,shout out to 'em
@jumaseif7514
@jumaseif7514 3 месяца назад
Vizur sana
@joshemman520
@joshemman520 3 месяца назад
Bro nmeamka saa 8 midnight i cant believe nmesikiliza hadi imeisha now ni saa 10 …. Broo never stop doing this content
@jumamsofe7897
@jumamsofe7897 3 месяца назад
Nawaelewa vzr,haya ndio mambo tunayopenda kuyasikia
@amirizedy8411
@amirizedy8411 3 месяца назад
Allah awaongoze Wana sns wote awape maisha marefu nawafuatilia nikiwa south Africa cap town makala zenu nazipenda saana hasa kipindi kipya cha gps❤❤❤
@user-iu8hb5yc2e
@user-iu8hb5yc2e 3 месяца назад
mko vizuri bro ..all the way from Mombasa kenya . Nawafatilia sana.
@edwinaura-yk1ei
@edwinaura-yk1ei 3 месяца назад
Allah atuongoze sisi vijana wa kiafrika
@feisalaley3629
@feisalaley3629 3 месяца назад
Sns mko vizuri nafatilia nikiwa ZANZIBAR KISIWA CHA PEMBA
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 3 месяца назад
Hongereni sana..hili ni bonge la show
@piussogoye
@piussogoye 3 месяца назад
safi sana nawafatilia sana wataalamu. big up sana SMA MZEE WA KIDIG DIP DIGAA😆
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 3 месяца назад
GPS, full tim. Mwenyez Mungu awajaalie maisha marefu yenye afya njema.
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k 3 месяца назад
Tunaitaka sana iyo topic kuhus Africa
@Muhammedramadhan-xl6yg
@Muhammedramadhan-xl6yg 3 месяца назад
Safii sana nawafatlia sana wakuu
@farujohn622
@farujohn622 3 месяца назад
Hongereni. Sana mpo vzr sana mnaonekana kira mmoja kajiandaa sasa muichambue East Africa
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 3 месяца назад
Hongera sana uncles you are the cream Brain
@manyamalima1916
@manyamalima1916 3 месяца назад
Best discussion so far hongera sns family
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 3 месяца назад
Mpo vizuri sana
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 3 месяца назад
Ebana brz sky unatisha sana kwa hiki kipindi mnacho kirusha kiukweli mpewe tu mauwa yenu 🌹🎉🌹🎉🌹🎉
@FreeGod368
@FreeGod368 3 месяца назад
SMA ni AI ya TZ anajua kila kitu ata bla kusoma coz he can connect dots to get answer
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 3 месяца назад
Pia napenda unyenyekevu wake na kujiamini kwa kile anachokipenda, na kujenga hoja, logic na facts. Asante sana Sma.
@SerahGlam
@SerahGlam 3 месяца назад
THERE'S ONLY PODCAST I CAN LISTEN FROM THE BEGIN TIL THE END IS THIS❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 3 месяца назад
Thank you Serah
@3erffeoui86
@3erffeoui86 3 месяца назад
next topic naomba ikuwe la bara la AFRICA please much love from kenya
@kassimbayuu
@kassimbayuu 3 месяца назад
Henry upo vizuri snaa big blaza,
@benmcdream2268
@benmcdream2268 3 месяца назад
Mnajua sana honger kwenu
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 3 месяца назад
DJ simaa I love you 🎉🎉 Allah akulinde inshaallah
@saidiomar6642
@saidiomar6642 3 месяца назад
Mm nawakubali sana
@slimsan3859
@slimsan3859 3 месяца назад
Mmetisha sana. Salute...!
@user-km4kb3xj3y
@user-km4kb3xj3y 3 месяца назад
mko vizuri
@Binja4
@Binja4 3 месяца назад
smaaa akukbali sana
@lucasmartin431
@lucasmartin431 3 месяца назад
Ally Masubi, unchambua vizuri....Wape wenzako nafasi maana Sometimes unakuwa Unarudia rudia Maneno....Labda kama Wana kumentor. All in All your Doing Great 👍
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 3 месяца назад
You are next level
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 3 месяца назад
Nondo🔥👌
@josephm4233
@josephm4233 3 месяца назад
I love the show, thank you so much guys. You are amazing analysts. Mwinuka should try and I give others space to talk as well
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 3 месяца назад
Ahsanteni saaana kwa uchambuzi makini. Mimi nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭, kwanza kabisa ningetamani kuona mnaizungumzia NORTH KOREA kwa urefu na upana na ushirika wake na Urusi na China lakin pia hali yake ya ndani ki biashara, wanafanya Biashara na nani na wanaishije ikiwa wana vikwazo vingi na vipi kuhusu biashara zao kama nchi!! Yangu ni hayo na nadhani GPS itakuwa ni mwanga sana kwetu sisi wapenzi wa hizi mambo🎉❤
@erickericsson3584
@erickericsson3584 3 месяца назад
Asante sana
@rizikially9535
@rizikially9535 3 месяца назад
Napenda sana hii group jamani
@golebenson4597
@golebenson4597 3 месяца назад
Nikewakubali ile mjichunge kuna baadhi hawapendi mnavyo toa eleimu viv sns🎉🎉🎉
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 3 месяца назад
Aisee naikubari sana sns
@temonilupondo7374
@temonilupondo7374 3 месяца назад
Good content Good stuff
@Crisparis333
@Crisparis333 3 месяца назад
Nimesubiri sana yan hii party two 😂
@ndizindeleti761
@ndizindeleti761 3 месяца назад
Namkubali sna ally akiwa na skai ila na mkubali dj smaa akiwa katik makala zake binafs
@MumbereMusulefiston
@MumbereMusulefiston 3 месяца назад
Kiukweli tuna mushukuru mungu sana kumuona tena dj sma n'a afia pia yule jamaa anaonekana yupo vizuri sana tunamuitaji pia brother sky
@francismichael1258
@francismichael1258 3 месяца назад
Dj nakukubali sana huko vzr ukweli ndio huo
@nassersaid920
@nassersaid920 3 месяца назад
Well done guys....mpo vizuri katika uchambuzi. Keep it up
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 3 месяца назад
Ni mjadala mmoja amazing sana wallah, brothers keep it on Sina tu money ninge wa congratulate mpate maji ya kunywa.
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 2 месяца назад
Dj Sma and Henry 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sulleyally5040
@sulleyally5040 3 месяца назад
Hawa jamaa nawakubali sana nimekua naifutilia sana sns nawala sitaicha mpaka mwisho wa maisha yangu yote
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 3 месяца назад
Sky, Sma dj, Ally na mwinuka. Brothers Allah awaweke sana tunapata elimu kubwa ya utambuzi na mnatujenga kuufahamu uzalendo.
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Naomba kipindi chetu cha Global Position System mjadili Hali nzuri ya Uchumi wa Angola na Zimbabwe baada ya China kuingia katika Nchi hizo. Zimbabwe na Angola wanakimbiza mwizi kimya kimya. Natabiri baada ya miaka 10 watakuwa na Uchumi mkubwa kuliko South Africa, Bostwana na Nambia
@SerahGlam
@SerahGlam 3 месяца назад
Watanzania hatuna msimamo na hatuna uchungu na maisha ya vizaz vyetu vya baadae,pia elimu yetu ni duni na hatuna uelewa but i thnk mwanga unaanza kutuangazia kuelewa ukubwa wa mambo mnatungua kiaikl na kutufundisha tusio yajua,miaka ijayo kipindi hk kitakumbukwa na mtakumbukwa harakat zenu za kutuelimisha SHUKRANI KWA WOTE
@hilarymark7583
@hilarymark7583 3 месяца назад
Tunafurahia sana kipindi hiki
@josephissa4406
@josephissa4406 3 месяца назад
I real like Henry anatumia lugha rahisi na inayoeleweka .. Sma, Ali wote wapo smart .. Next sesion tufungueni akili waafrika hasa kundi letu la vijana..
@EmanuelMkongwi
@EmanuelMkongwi 3 месяца назад
Natisha sanaa wakuu respect
@adolphyamin1245
@adolphyamin1245 3 месяца назад
Brothers, unyama mnaoufanya hapa SNS ni mwingi sana 🔥🙏
@dereckdavid9609
@dereckdavid9609 3 месяца назад
This is it 🔥🔥🔥
@rashadally6871
@rashadally6871 3 месяца назад
GPS TRACKERS GOOD DOOD......
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 месяца назад
Sky Karibu Crown media .Nadhani king kiba ameona isi comment Na atalifanyia kazi . Kaka Sky Na mkubali Sana anajua kutangasa . Nikiwa Nairobi gikombaa
@iddykivu050
@iddykivu050 3 месяца назад
Tunaitaka Sana hiyo Hoja ya kuiongelea Afrika kwa Ujumla
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Ukizungumzia mahusiano ya China na Russia moja kwa moja unazungumzia Umoja wa BRICS ambao umelenga dedollorization na kuwa mbadala wa Jumuiya ya Madola, World Bank na IMF. Natamani kujua Tanzania tumefikia wapi kuwa Wanachama wa BRICS
@user-gw1pe8en7x
@user-gw1pe8en7x 3 месяца назад
Mzee kwa uchumi upi huu waupigaji afu waizi twawaficha nyuma yamlango, atutaki mateso wanamchi wa dola 1 xie
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 2 месяца назад
Masubi anajua
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 3 месяца назад
Mungu jaalia mmoja wenu aje aiongoze tanzania
@sadikathumani1003
@sadikathumani1003 3 месяца назад
Ali masubi ni mchambuzi mzuri sana nakubali hilo lkn ni kama bado hamini nguvu Russia na china dhidi ya west!
@lucasmartin431
@lucasmartin431 3 месяца назад
Ally Masubi Unaboa sana ....Acha ujuaji Wape na wengine Nafasi waongee
@juliusphaustine
@juliusphaustine 3 месяца назад
Nawakubali sana wakuu by julius from dareslaam
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 3 месяца назад
❤ SNS kupitia sky na timu hongera napata ratha ya kitu adimu
@deusisindwa616
@deusisindwa616 3 месяца назад
Asnt sana,,binafsi nmeioenda chanel hii
@SaidyMwajeka-tr7oj
@SaidyMwajeka-tr7oj 3 месяца назад
Very nice guys big up
@SalumMajorhood
@SalumMajorhood 2 месяца назад
Daaah hapo kwa Afrika yetu naomba muiongelee kwl hatujui inakwenda wp tunataka ukombozi wa Afrika viongozi ndy sababu
@joshemman520
@joshemman520 3 месяца назад
Hongera
@kassimbayuu
@kassimbayuu 3 месяца назад
Hii imekaa vyema sana
@jkifutu7936
@jkifutu7936 3 месяца назад
Nawakubali sana wadogo zangu nopo zangu Tokyo Japan na wapata vizur sana kilasiku
@iddykivu050
@iddykivu050 3 месяца назад
Mimi Nasikiliza Kutokea Douth Africa
@lodricophd728
@lodricophd728 3 месяца назад
Douth ndo wapi mkuu
@ibnujumanne4054
@ibnujumanne4054 3 месяца назад
Ni sahihi maisha yetu yanaswitch kutokana na global social media inaongoza maisha yetu na kuacha muongozo sahihi wa muumba wa ulimwengu but me naamini sns itafika hatua ya kumsha brain za vijana tuliolala kubwa tuweni wazalendo wa kweli
@ibrahimshabani3544
@ibrahimshabani3544 3 месяца назад
mimi Nasikiliza kutoka chalinze nakubali Uchambuzi wenu Nawafwatilia vipindi vyenu sana mko vizuri kuchambua mambo mbalimbali duniani
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 3 месяца назад
Huyu jamaaa mpya ana tone kama ya Mwana FA
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 3 месяца назад
Munajua sana hatuchoki kuwasikiliza
@deocresmodest6148
@deocresmodest6148 3 месяца назад
Nyinyi mko juu sana mkianda mada kuusu muafirica washawishi vijana watoke mjini warudi vijijini wakatengeze pesa nachala wawe matajiri tafiti jenga oja kubwa
@Maryam-qe5lb
@Maryam-qe5lb 7 дней назад
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Vita ya Taiwan na China wala haiko mbali naona China amejiandaa kimya hata uzinduzi wa Aircrfat Carrier Marine Ship, Hypersonic Kenzall Missiles, Balistic Missiles na Mitambo ya J.L0_2 ya kutungua Makombora. China anailengaTaiwan ili aichape vizuri. Mungu ibariki Simulizi na Sauti na Mungu Ibariki Tanzania🇹🇿
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Sio rahis kwa leo mkuu.China akija kujitegemea zaidi hasa upande wa teknolojia hasa za chip, ndipo ataivamia Taiwan.Ila kwa sasa anasoma mchezo wa urusi na namna vikwazo vinavyomuumiza urusi kwa kiasi kikubwa
@abuubuza6866
@abuubuza6866 3 месяца назад
Safi
@ngendakumanajeanmarrie7490
@ngendakumanajeanmarrie7490 3 месяца назад
Nawasikiliza nikia burundi nimemariza kipindi sanane yausiku nawapenda sanaaaa pamoja
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 3 месяца назад
NATAMANI SANA KUISIKILIZA ADI MWISHO ILA BANDO LANGU DAAAH 🥲🥲🥲
@loningoletayo8453
@loningoletayo8453 3 месяца назад
Kuongela Africa in general is very important
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k 3 месяца назад
Sema ruto na mama ake wanazingua xn kuwanyenyekea wazungu wa Marekani na ulaya
@victorkauki8974
@victorkauki8974 3 месяца назад
SNS, Tuongelee kuhusiana na topic kuhusu Idd amini, jinsi magharibi walivyomwita Dikteka.
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 3 месяца назад
Nawapata vixur from doha Qatar 🇶🇦 kuhusu issue ya western kuaminiwa akuna tena ntakupa mfano mmoja, zamani unaweza change dollar mpka uchocholoni lkn now no. Kila sehemu ukienda utambiwa akuna dollar why, coz nafikili akuna akiba za dolla tena na sio kwa bahati mbaya just imagine, nazani now kila mmoja ameona madhala ya kuweka akiba ya dollar
@timotheothadeomgassa4929
@timotheothadeomgassa4929 3 месяца назад
Mfumo wa elimu katika nchi za kiafrika ni mbovu sana na ndio unaopelekea watu wake kuwa namna walivyo
@juliusjoseph8550
@juliusjoseph8550 3 месяца назад
Bonge moja la kolabo
@joshemman520
@joshemman520 3 месяца назад
Kuunga mkono hichi kpnd ukiona ads angalau acha hata moja please usi skip …. Hvyo ndio tuweza ku support hii show
@ngendakumanajeanmarrie7490
@ngendakumanajeanmarrie7490 3 месяца назад
Tatizo laviongozi wetu nivibalaka mjadhala kama huu hawasikilizi wengi niwafisadhi kama afrika mashaliki wakiungana kwakauli moja waende kununua mafuta yaurus hakuna vikwazo wataekea nikwasababu wengi wakomadhalakani kwamsiliahi yamaghalibi shinda ikohapo tutaendelea kua namatatizo nawapenda sana mmetisha kinoma from burundi
Далее
Как дела перцы?
00:25
Просмотров 72 тыс.