Hiki ni kichwa sahihi kwa nchi yetu Waliopo wanasikia na wanajua lakini madaraka ya wenye mamlaka nao yanawataka wawatii Lazima tulijuwe hilo waneapa kuwatii
Siku zote kauli ya mpango wa muda mrefu umeusema lakini naona kama unaongea kwa watu wenye masikio wasiosikia...wenye macho wasioona....nchi hii bhana...kwa kweli tukiweka mpango wa Taifa wa Muda mrefu kila Rais apimwe kwa kutekeleza maono ya Taifa
Huyu ni Askofu Namkubali Sana na Yupo na UWEZO mkubwa Sana Kujenga Hoja za Msingi na Ana-maono Makubwa sana HAKIKA Askofu Gwajima Nampenda Sana Sana na Yuko Vizuri Sana na Mungu amlinde Sana.
Ukisha malizana na nja na mahitaji ya msingi lazima akili iwaze makubwa na ya muda mrefu.....hatuwazi wala kupanga ya mda mrefu kwa sababu ya njaa na kushindwa kumudu mahitaji ya msingi....
Dawa ni kuachana na Wazungu na tusimame ka Waafrika ka vile Mali, Burkina Faso na Niger!. Sababu mifumo walotuekea hawa Manyang'au ndio chanzo cha umasikini wanaouvumisha kwenye vyombo vyao vya habari.Wakati sisi sio Masikini!
Namshangaa sana PR kitila mkumbo na mwigulu are they thinking critically for the benefit of our people and national as whole but unfortunately hawaoni hili analosema gwajima
Maono kama Taifa ,,, Sema kama yapo ila wanasiasa wanatuyumbisha sana,, kwanza kuruhusu umaarufu ndio unampa mtu sifa za kuongoza siasa ni hatari sana ,, ipo siku tutapata mwehu 😅😅
Big up Gwajima. Lakini nani anakuelewa? Miaka nenda, miaka rudi tunahangaika na vyumba vya madarasa havitoshi. Mara sukari haitoshi, zahanati hazitoshi. Madawa hayatoshi. Maji safi hakuna, nakadhalika na kadhalika. Kwa nini? Viongozi mjitafakari.
Brother gwajima utaongea sana wanakuelewa sana lakini ndo wa2 hawatak hayo maono kukiwana na maona kama hayo wapigaji nao wataenda wap kwahio lazima wa2 watetea maslahi yao kuliko maono ya nchi
Teknelojia wapi?mna teknelojia yenu nyie?kila kitu mnawategemea wazungu leo mnapanua midomo yenu mnatajataja neno teknelojia,pumbavu mnayo teknelojia ipi?ya kuiba mali za umma???????
Sasa Gwajima kwa nini usiandike wewe? MATHAYO23: Ole wenu hakuna anayekuelewa , wewe ni mtu wa propaganda tu Dunia inataka watekelezaji sio maneno. Nampenda mama kwasababu alienda kwenye royal tour tukamwona anaendesha gari la watalii. Wewe ulisema unafufua misukule, unaleta boti za kuvua samaki mbweni, kuvuna Chuma na makaa ya mawe liganga na mchuma, kila siku maono maono, masikini hana maono hata nafasi yako inajua ndo maana unajiita askofu wa ufufuo na uzima , unaiba kura, unachukua pesa na sadaka za masikini, unawauzia vitabu vya uongo kwa kutumia bibilia mpaka umenunua helicopter ,nk. hiyo ni laana
Wew unafirwa kweli shiga mkubwa. Kaa ukijua Gwajima Hana cheo chochote serikalini zaidi ya ubunge. Kwa hyo wewe ulitakiwa apange nn wakati Hana wizara? Kwa hyo.kazi take yeye kama mbunge ni kuishauri serikani. Kilaza mkubwa