Muandishi hongera kwa kuliona hilo mbowe angekuwa hata ndugu yangu ningemshauri aunge juhudi tu na hao watu wa kijani watanzania Bado tupo kama malofa kuongea kwingi vitendo sifuri kifupi inavunja moyo sana ila Mungu aendelee kuwalinda viongozi wetu hususani Mbowe