Tunaombea watanzania wauone uzuri na utajiri ulioko Tanzania kuliko ulaya, Sisi tunauna kutoka Sweden. Tumekimbia uongozi usiojali wana nchi, njo tofauti na ulaya. Siku hizi habari ni kwamba hata wazungu watatamani kuja Tanzania na DRC kama tunavyo tamani kwenda ulaya. Kwa sababu ya baraka na maendeleo mazuri ya Afrika, hasa Tanzania na DRCongo. Amen.